UMILISI NA UTENDAJI: TATHMINI YA CHANGAMOTO NA UIMARlKAJI 'NA KISWAHILI KATlKA BAADHI YA SHULE ZA UPILI, ENEO LA NYANZA.
TASNIFU YA
KOKO AS CA MONICA
TAS. IFU RH IMETOLEWA 10VA MADHUMUNI YA KUTOSHELEZA
BA.-\.DHI YA MAHITAJI YA SHAHADA YA UZA~IILI K-\TIKL\ CHUO KIKUl: eHA KENYATTA.
UNGAMO
TASNIFU HIl NI KAZI YANGU MWE YE"VE 1 A HAIJATOLEWA K"VA MAHITAJI YA SHAHADA KATlKA CHUO KINGINE.
Sahihi ---~---- T areh e---
.£2'1
Lt
.---I
a» {
£,
Koko Asca Monica
C50/CE/22433/20 11
TASNIFU HIl IMETOLEWA I(WA IDHINI YETU KAMA "VASIMAMIZI
"VALIOTEULIWA NA CHUO KIKUU CHA KENYATTA.
~~
_
o~
Sahihi~~--- Tarehe
o?:>
,
_
lo~/rw/b
I-~
l-~
_
Daktari Jacktone Okello Onyango
IDARA YA KIS"VAHILI ~A LUGHA ZA KIAFRlKA
CHUO KIK1T CHA KE~YATTA
Sahihi --~--- T
are
h
e
--
.
0
.
2:
:.
j
-
QJ;
:_
/_of
I
JJ,
,
__-Mwalimu Evelyne S. Mudhune
IDARA YA KIS"VAHILI NA LUGHA ZA KIAFRIKi\
SHUKRA I
Ningependa kumshukuru Mungu kwa nguvu na uhai na kwa kuniwezesha kukamilisha
utafiti huu. Vile vile ningependa kuwashukuru wasimamizi wangu Daktari Jacktone
Onyango na Mwalimu Everlyne Mudhune kwa maelekezo merna, mashauri na usimamizi mzuri uliofanikisha kazi hii kukamilika.
Ninawashukuru wahadhiri wote wa Idara ya Kiswahili na Lugha za Kiafrika kama
Profesa Kitula King'ei, Daktari Pamela Ngugi pamoja na Mkuu wa Idara Daktari Richard Wafula. inawashukuru Daktari Alice Mwihaki na Daktari Leonard Chacha Mwita kwa
ushauri mwema na maelekezo.
T.\B .\Rl'KL'
Kazi hii ninaitabaruku kwa wanangu:
Felix Ochieng'
Winnie Achieng
Denick Jude
Eugine J avan
\BSTRACT
ABSTRACT
IKISIRI
Utafiti huu ulinuia kuchunguza umilisi na utendaji wa wanafunzi katika .lugha ya Kiswahili katika baadhi ya shule za upili mkoani yanza (Eneo la Ziwa) na kuchanganua sababu za kuimarika kwa matokeo katikamitihani ya Kiswahili ya kitaifa ya KCSE kwa miaka minn~ iliyopita (2009-2012). Utafiti huu unatokana na sa~abu kwamba shule za Eneo la Ziwa zimekuwa zikifanya vibaya katika mitihani ya Kiswahili
katika kiwango cha kitaifa yaani KCSE. Hata hivyo shule ya Wavulana ya Maranda na shule ya Wasichana ya Kisumu, zilionyesha matokeo mazuri katika miaka miwili mtawalia (2010 na 2011). Utafiti uliangazia iwapo matokeo haya yalijitokeza kighafla
ama yaliimarika kihatua. Utafiti huu ulizingatia matokeo ya wanafunzi wa kidato cha nne katika mtihani wa KCSE kwa miaka minne iliyopita 2009-2012. Uteuzi wa sampuli kimakusudi ulitumiwa kuteua shule nne katika magatuzi manne ambayo ni; Kaunti ya Migori, Homabay, Kisumu na Siaya. Shule hizo zilijumuisha shule za kitaifa na za
magatuzi, shule za wavulana pekee na wasichana pekee. Utafiti ulilenga; kubainisha viwango vya umilisi na utendaji wa wanafunzi wa shule za upili, kueleza changamoto zinazokumba ujifunzaji wa Kiswahili kama lugha ya pili katika Eneo la Ziwa na kuchunguza sababu za kuimarika kwa utendaji wa Kiswahili katika eneo hilo. Nadharia ya Sarufi Zalishi na nadharia ya Kijurnuia na Kibinadarnu zilirumiwa. Data za utafiti zilikusanywa nyanjani na maktabani. Data zilikusanywa kwa kujaza hojaji, mahojiano na kukusanya matokeo ya shule husika. vlbinu ya utafiti ya kimaelezo ilitumiwa kuchanganua sababu za kuimarika kwa matokeo ilhali mbinu ya kitakwimu ilitumiwa kuchanganua matokeo. Uchanganuzi wa data ulifanywa kwa kuainisha mada tofauti
YALIYOMO
ungalTIO 11
Shukrani iii
Tabaruku ., iv .
Abstract. v
Ikisiri vi
Yaliyomo vii
Ufafanuzi wa dhana xi
Orodha ya vifupisho xii
Orodha ya vielelezo na majedwali xiv
Viambatisho xvi
Sura ya kwanza: Utangulizi. 1
1.0 Utangulizi 1
1.1 Usuli wa mada 1
1.2 Suala la Utafiti 6
1.3 Maswali ya utafiti : 8
1.4 Malengo ya utafiti 8
1.5 Sababu za kuchagua mada ya utatiti 8
1.7 Yaliyoandikwa kuhusu mada 12
1.8 Misingi ya nadharia 18
1.9 Mbinu za utafiti 22
1.9.1Mahali pa utafiti 23
1.9.2 Uteuzi wa Sampuli 24
1.9.3 Ukusanyaji wa data 25
1.9.4 Uchanganuzi wa data 25
1.9.5 Uwasilishaji wa data 26
1.9.6 Hitimisho 26
Sura ya pili: Viwango vya umilisi na utendaji.. 27
2.0 Utangulizi 27
2.1 Viwango vya umilisi 27
2.1.1 Umilisi wajuu 28
2.1.2 Umilisi kiasi 33
2.1.3 Umilisi hafifu 34
2.2 Viwango vya utendaji 35
2.2.1 Utendaji wajuu 36
2.2.2 Utendaji kiasi 39
Sura ya tatu : Changamoto katika ujifunzaji wa Kiswahili.. .43
3.0 Utangulizi 43
3.1 Uongozi wa shule 43
3.2 Sera za shule 44
3.3 Mielekeo ya wanafunzi 45
3.4 Upungufu wa vifaa vya masomo 46
3.5 Athari za lugha ya kwanza .47
3.6 Idadi ya vitabu 48
3.7 Uhaba wa tafiti na rnachapisho .49
3.8 Walimu , 50
3.9 Athari za sheng' : 53
3.10 Makosa yanayofanywa na baadhi ya wanafunzi 55
3.11 Hitimisho 58
Sura ya nne: Sababu za kuimarika kwa matokeo ya Kiswahili .59
..to
Utangulizi 594.1 Uongozi wa shule 61
4.2 Sera ya lugha yaKiswahili shuleni 61
4.3 Shughuli za idara ya Kiswahili 64
~.5 Uimarishaji wa vifaa vya masomo 74
4.6 Athari za lugha ya kwanza 76
4.7 Vitabu vingi na bora : 77
4.8 Ongezeko latafiti na machapisho 79
4.9 Walirnu waliohitimu 79
4.10 Kukabiliana na sheng' 82
4.11 Mbinu! mikakati mipya 85
4.12 Vipindi vya ziada : 89
4.13 Hitimisho 90
Sura ya tano :Muhtasari, Matokeo na Mapendekezo 91
5.0 Utangulizi 91
5.1 Muhtasari 91
5.2 Matokeo ya utafiti 94
5.3 Mapendekezo 96
504 Mapendekezo ya tafiti nyingine 97
Marejeleo 99
UFAFANUZI WA DHANA
Baaclhi ya istilahi ambazo zilitumiwa ni kama;
Chamcha/chajio/ Kiamsha kinyw
a-Mitihani mifupi kuhusu mada moja inayofanywa kwa muda
mfupi kila siku wakati wa jioni, asubuhi ama mchana.
Gatuzi - Eneo la utawala lenye kufuata mfumo wa uhawilishaji wa madaraka na ugavi wa matumizi ya rasilimali kutoka serikali
kuu kwenda kwa serikali ndogo, lenye kuongozwa na gavana ;
Pia huitwa kaunti aujimbo.
Kategoria za maneno- Aina tofauti za maneno kulingana na sifa za kisarufi. utaratibu wa kugawa maneno katika makundi mbalimbali
kulingana na kazi zinazofanywa na maneno hayo katika lugha
na sifa zao.
Mkoa wa Nyanza- Kwa sasa ni Eneo la Ziwa
Sintaksia- Ni tawi la isimu arnbalo huchunguza kanuni na namna maneno yanavyopangwa karika rnaandishi au rnazungumzo ili kuleta miundo na mifumo mizuri va maneno kama vile virai, vishazi
na sentensi.
Vmilisi- I i mfumo wa kiasili unaomwezesha mtumiaji wa lugha
kuzalisha na kuelewa idadi isiyo kikomo ya sentensi za lugha.
Utendaji- Ni utumiaji wa ule uwezo wa kiisimu katika muktadha halisi.
AGORO-
BORDETA-
CHAKIBO-
CHAKINYA-
CHAKIRACPE
-
FDSE-
HAW
K-
KCE-KCPE
-KC
SE-
KG-KIE/
KICD-
KK-
KLB-
~EC-ORODHA YA VIFUPISHO
Agoro Sare High School
Bondo Rarieda District English Teachers Association
Chama cha Kiswahili cha Bondo
Chama cha Kiswahili cha N yanza
Chama cha Kiswahili cha Rarieda
Certificate ofPrimary Education
Free Day Secondary Education
Jina la mtihani wa muungano wa shule zifuatazo; Homabay, Agoro
Sare, Kaplong', Ramba, Litein na Siongoroi.
Konsonanti
Kenya Certificate of Education
Kenya Certificate of Primary Education( cheti cha darasa la 8)
.enya Certificate ofSecondary Education Icheti cha kidato 4)
Kisumu Girls National School
Kenya Institute of Curriculum Development
Nadharia ya Kijumuiya na Kibinadamu
Kenya Literature Bureu
KSSHALl
L2
-
MAR-
NK-RA
P-gw,
SZ
-
$Taz
TSC
-
v-
x-
y-
z-Chama cha Walimu Wakuu wa Shule za Upili. Kenya.
Lugha yakwanzal mama
Lugha yapili! Kiswahili
Maranda National School
Na kadhalika
St. Joseph' s Rapogi High School
Swali
Nadharia ya Sarufi Zalishi
Mpaka wa silabi
Tazama .
Teachers Service Commission
Vokali
Watahiniwa waliokosa kufanya mitihani
Wale ambao hawakumaliza mitihani yote
ORODHA YA VIELELEZO NAMAJED\;VALI
Ukurasa
(1.1)Matokeo ya mtihani wa Kiswahili (KCSE), Bondo 2006--- 4
(1.2)Kielelezo eha shule hamsini bora nehini Kenya, 2007, Kiswahili--- 3
(1.3) Matokeo ya mitihani yaKiswahili KCSE 2009 - 2012--- 5
(lA) Kielelezo eha viwango vya umilisi na utendaji katika SZ--- 21
(2.1) Matokeo ya wanafunzi waliojaza hojaj i--- 28
(2.2) Jedwali: Lo! Uwanja wa kuehezea kandanda umelowa maji--- 30
(2.3)Kielelezo eha kurekebisha sentensi---. 31
(2A) Kielelezo katika Jedwali: kuandika kwa umoja--- 31
(2.5) Alama za wanafunzi katika viwango vya umilisi--- 33
(2.6) Kiel elezo eha matokeo ya utendaj i--- 36
(2.7) Kielelezo katika Jedwali: viwango vya utendaji--- 36
t2.~i Kielelezo eha kugeuza sentensi katika kauii ya kutendewa--- 37
(2.9) Kielelezo eha matokeo ya viwango vya umiiisi na utendaji--- 41
(2.10) Kielelezo ehajedwali eha matokeo ya viwango vya umilisi nautendaji--- 41
(3.1)Kielelezo eha uongozi--- 43
(3.2)Kielelezo eha idadi yavitabu---
48
(3.4)Kielelezo cha makosa yawanafunzi------------------------------ 58
(4.1)J edwali la matokeo ya KCSE 2009- 2012---------------------- 59
(4.2)Matokeo ya mitihani ya Kiswahili KCS E2009 - 2012---------------- 60
(4.3)Kielelezo cha idadi ya walimu----------------------------- 80
VIAMBATISHO
A. Idhini ya Utafiti kutoka Wizara ya Sayansi na Teknolojia ya Kitaifa--- 105 B. Idhini ya Utafiti kutoka Wizara ya Elimu, Gatuzi laKisumu--- 106 C. Hojaji--- I07 D. Tuzo Gaz, eti laTaifa Leo---
.
--- 110 E. Tuzo, Gazeti laTaifa Leo--- 111 F. Kongamano la walimu wa Kiswahili nchini, Alliance--- 112G. Orodha ya shule 50bora ,KCSE, 2012--- 113 H. Ramani ya Kenya--- 114 I. Ramani ya Eneo la Zi wa--- 115
SURA YA KWANZA:
VTANGULIZI
1.0 Utangulizi
Sura hii inaeleza usuli wa mada, suala la utafiti, maswali yaliyoongoza utafiti, malengo ya
utafiti, sababu za kufanya utafiti, upeo na mipaka ya utafiti, yaliyoandikwa kuhusu mada,
nadharia pamoja na mbinu za utafiti.
1.1Usuli wa Mada
Kwa muda mrefu, eneo la Nyanza lilihusishwa na matokeo duni katika somo la Kiswahili.
Hali kadhalika ilidaiwa kuwa watu kutoka Nyanza hasa wanaozungumza Dholuo kama Ll
wana matatizo katika umilisi wa lugha ya Kiswahili. Wanyoike (1978:36) na Mbaabu
(1985), wanaeleza kuwa Dholuo ni lugha ya Kinailoti, na kwamba mara nyingi, wanafunzi
wa Kinailoti hasa Dholuo hupata matatizo katika ujifunzaji wa Kiswahili ambayo ni lugha
ya Kibantu. Ritchie (1978), anaeleza kuwa kila lugha huwa na upekee wa mfumo wa
mawasiliano. Upekee huu husababisha tofauti kubwa baina ya lugha tofauti. Tofauti hizi
husababisha ugurnu wa kujifunza lugha ya pili (L2). Baadhi ya matatizo ambayo wanafunzi
hupata katika ujifunzaji wa lugha ya pili hujitokeza katika viwango tofauti tofauti vya
kiisimu King'ei na Musau (2002), Mudhune (1994), 01al (2008) na wengineo. Wanyoike
(1978), Musau (1993) na Mbaabu (1985), wanaeleza kuwa baadhi ya wazawa wa lugha
nyingine karna ya Kinailoti huwa na matatizo katika ujifunzaji wa Kiswahili kwa sababu ya
athari za lugha ya kwanza.
Nchini Kenya, mitihani ya kitaifa husimarniwa na Baraza la Mitihani la Kenya (K EC).
Mitihani hutumiwa kupima kiwango cha ujifunzaji miongoni mwa wanafunzi. Kwa sababu
hiyo utafiti huu uliangalia matokeo ya Kiswahili katika eneo la Ziwa kwa miaka minne
hiki ambapo kwa mara ya kwanza eneo la Ziwa liliongoza katika mtihani wa
Kiswahili.Matokeo hayo pia yalionekana kuimarika kwa kipindi kirefu.(Taz. kielelezo-l.l ).
Ubora wa matokeo hayo haukuwa wa kisadfa tu. Mikakati mingi na harakati mbalimbali
zilihusishwa. Kwa mfano, katika mwaka wa 2006, kamati ya kuchunguza chanzo na athari
za matokeo duni na kupendekeza masuluhisho iliundwa . Kiswahili kilikuwa mojawapo ya
masomo ya kuchunguzwa. Mojawapo ya mapendekezo ya kamati hiyo kuhusu somo la
Kiswahili yalikuwa ni kuimarisha ufunzaji na ujifunzaji wa somo la Kiswahili kwa kuandaa
warsha za kupiga msasa kwa walimu wa Kiswahili. Pili, ilisisitizwa kuwa Chama cha
Walimu Wakuu wa Shule za Upili (KSSHA) kiwe na mpangilio na shughuli za kulenga
kubadilisha mielekeo ya wanafunzi kuhusu Kiswahili, kuboresha utendaji wa Kiswahili na
vile vile kuboresha uwezo wa walimu wa Kiswahili.
Watafiti wengi wamezungumzia mbinu tofauti za kuimarisha ujifunzaji wa Kiswahili kama
vile Njogu (2005), Ndalu (1997), Gesaga (1986), Gichura (1999), Eshiwani (1988) na
Fraser (1959). Njogu (2005), akichangia mjadala kuhusu matokeo duni ya Kiswahili kama
lugha ya taifa katika gazeti la Daily Nation, alielezea kuwa umilisi katika Kiswahili si
kuvumbua misamiati ya kikale na maneno magumu bali ni kufuata sheria na uteuzi
mwafaka wa msamiati. Alijadili baadhi ya matatizo yanayosababisha kutoimarika kwa
matokeo ya Kiswahili kuwa; ufahamu mdogo wa umilisi wa kiisimu, kuzuka kwa kilugha
cha 'sheng', kuwa na mielekeo hasi, ukosefu wa motisha wa kujua lugha vizuri katika
kiwango cha kitaifa na akasisitiza ufunzaji wa Kiswahili nchini. Kulingana na tarakimu za
Education Watch Juzuu 24, 2008, matokeo ya somo la Kiswahili yalikuwa chini m110.Kwa
mfano, katika kielelezo cha gatuzi dogo la Bondo, matokeo ya Kiswahili katika mwaka wa
2006 yalikuwa kama yafuatayo: Taz jedwali la
Cl.
1).Katika Mkoa wa Nyanza kulikuwa na shule tatu pekee miongoni mwa shule hamsini
KCSE. Miongoni mwa shule takriban 5,000, shule ya Rapogi ndiyo iliyokuwa katika
orodha hiyo kutoka eneo la Luo Nyanza. Taz jedwali la (l.2).
(1.2) Kielelezo cha Shule Hamsini Bora Nchini Kenya (2007), Kiswahili
Nambari 39 46 48
kitaifa
Shule Kisii High St.Joseph Rapogi Nyambaria
Wastani 9.2413 9.1096 9.0751
Baadaye pakatokea mabadiliko arnbapo, katika mwaka wa 2010 Maranda ilipata wastani
wa 11.3512 na kuibuka washindi katika mtihani wa Kiswahili. Pia ilikuwa nambari ya nne
kitaifa kwa alama wastani ya 10.5578. Shule ya Wasichana ya Kisumu ilinyakua taji hilo
kutoka kwa Maranda na kuwa washindi katika matokeo ya Kiswahili kwa alama 11.185 na
kwa jumla kuwa nambari sitini na sita miongoni mwa shule takriban 5,000 wastani wa
(1.1) Matokeo ya Mtihani wa Kiswahili (KCSE), Bondo 2006
Jinsia Alama A A-
B
+
B
B-
C
+
CC
-
D
+
D D- E X WASTANIUsajili
Wavulana
1
2
7
0
3
6
6
8
11
0
1
24
1
04
1
75
l
39
11
8
1
00
2
11
7
9
5
1
6
.
3567
Asilimia (%) 2.8 5.4 8.7 9.8 8.2 13.8 10.9 9.3 7.9 16.6 6.2 0.4 0.08 53%
Wasichana
7
1
7
6
1
7
53
6
8
6
2
1
3
5
9
7
7
5
5
6
117
29
2
0
6
.
1
8
4
Asilimia (%) 0.8 2.4 7.4 9.5 8.6 18.8 13.5 10.5 7.8 16.3 4 0.3
-
51.5%2006
6.2976
Na.
MWAKA SHULE USAJILI WASTANI KlTAIFA
2009 KG 234 8.252
MAR 219 9.0868
RAP 171 9.257
AGORO 251 5.1315 2010
KG 241 8.407
MAR 261 11.3512 1
RAP 186 9.1989
AGORO 307 6
.
2011
KG 233 11.185 1
MAR 261 11.0536
RAP 194 10.3927
AGORO 193 9.3367
2012
KG 234 10.047 8
MAR 283 9.8481 16
RAP 207 9.2899
AGORO 217 9.235
(1.3)Matokeo ya Mitihani ya Kiswahili KCSE (2009 - 2012)
Katika matokeo ya mitihani ya 2012, shule kumi na mbi1i za yanza, zikiwemo tisa za Luo Nyanza zilikuwa miongoni mwa shule 50 bora nchini Kenya. Shule ya Wasichana ya
Kisumu ilikuwa nambari 8 na Maranda 16.( Tazama kiambatisho G). Utafiti huu ulinuia kubaini sababu za kuimarika kwa matokeo hayo.
Kulingana na Chomsky (1965), umilisi ni mfumo wa kanuni unaowawezesha watumiaji wa lugha kuzalisha na kuelewa sentensi zisizokuwa na kikomo. Mtazamo wa kiasili wa ujifunzaji lugha unasema kuwa binadamu ana uwezo wa kiasili wa kuelewa sarufi za
Jugha tofauti tofauti (Radford, 1997). Kwa upande mwingine alieleza utendaji ni mfumo wa namna lugha inavyotumiwa katika mawasiliano. Somo la Kiswahili ni la lazima kwa
na KCSE nchini Kenya. Kiswahili ni mojawapo ya masomo muhimu katika kuhitimu
alama za kuingia katika chuo kikuu. Waluo pia hutumia na kuzungumza Kiswahili kwa
vile ni lugha ya taifa. Kiswahili ni lugha rasmi kulingana na Katiba ya Kenya (2010).
Kwa mud a mrefu shule za Nyanza zimehusishwa na Kiswahili kibovu. Shule ya Maranda
ilipoibuka mshindi katika mtihani huu lilikuwa ni jambo la kushangaza. Mwaka wa 2010
na 2011, tulishuhudia washindi wa lugha ya Kiswahili kuwa shule za en eo la Ziwa
ambazo ni Shule ya Upili ya Maranda na ya Wasichana ya Kisumu mtawalia.
Utafiti huu ulichunguza viwango mbalimbali vya umilisi na utendaji katika lugha ya
Kiswahili katika baadhi ya shule za upili eneo la Nyanza. Changamoto zilizokuwa katika
somo hilo la Kiswahili ambazo sasa zimerekebishwa zilichunguzwa na sababu za
kuimarika kwa matokeo hayo katika Kiswahili. Kulingana na Chomsky kiungo
muhimu zaidi katika umilisi wa kiisimu ni kile cha sintaksia. Kwa hivyo; utafiti
ulizingatia kiwango cha sintaksia. Mtihani wa Kiswahili unajumuisha karatasi tatu
ambazo ni insha, lugha na fasihi. Utafiti huu ulizingatia karatasi ya lugha.
1.2 Suala la Utafiti.
Utafiti ulidhamiria kutuelekeza kuthibitisha iwapo wanafunzi wa eneo la Ziwa
wanaweza kuwa na umilisi na utendaji wa Kiswahili wa kuwawezesha kupita mtihani.
Shule za Nyanza zimehusishwa na Kiswahili kibovu kwa muda mrefu. Inaaminika kuwa
si jambo rahisi kwa wanafunzi wa Kiluo kuwa na umilisi wa Kiswahili. Sababu
zilizotolewa ni madai ya Wanyoike (1978), na Mbaabu (1985), kuwa baadhi ya wazawa
wa lugha ya Dholuo huwa na matatizo katika ujifunzaji wa Kiswahili kwa sababu ya
athari za L1.
Chomsky (1965), anafafanua dhana ya umilisi na utendaji katika nadharia yake ya SZ
ambapo anadai kuwa umilisi ni mfumo wa kiasili unaomwezesha mtumiaji wa lugha
kwamba katika ujifunzaji wa lugha mwanafunzi anahitaji kuwa na ujuzi wa sheria na
ufahamu wa L2. Anaeleza kujua viambajengo vya sarufi hufuata hatua zinazotabirika,
vingine hupatikana mapema na vingine baadaye bila kujali L1 ya mzungumzaji.
Kulingana na Mogambi (2007), kanuni ya lugha ya kwanza huathiri lugha nyingine
anayojifunza mzungumzaji.
Utafiti huu ulinuia kuchunguza kuimarika kwa umilisi wa wanafunzi Waluo
wanaojifunza Kiswahili kama L2 miongoni mwa wanafunzi wa baadhi ya shule za eneo
la Nyanza. Kutokana na matokeo mazuri katika somo la Kiswahili, utafiti ulichunguza
mikakati ambayo iliweza kuwekwa ili kufikia kiwango hicho. Matokeo ya viwango hivyo
yalitupa mwangaza kuhusu changamoto ambazo zilikumba shule teule miaka ya nyuma na
namna ambavyo shule hizo zi1iweza kukabiliana na changamoto hizo na kuimarisha
matokeo yao ya Kiswahili.
Momanyi (2009), alidai kuwa mojawapo ya sababu kuu za kufundisha Kiswahili katika
mtalaa wa shule za upili ni kuwapa wanafunzi stadi za kimsingi za kuzungumza, kusoma,
kusikiliza na kuandika miundo ya kimsingi ya lugha ya Kiswahili. Utimilifu wa stadi hizi
za kimsingi zinafaa kudhihirika katika matokeo ya mitihani ya KCSE. Wanafunzi
wanafaa kuonyesha umilisi wao wa lugha katika utendaji.
Kufikia sasa watafiti wengi wamechunguza sababu za matokeo duni katika baadhi ya
masomo na katika maeneo mbali mbali kama; (Gesaga, 1986), (Gichura, 1999),
(Kipkorir, 2005), (Ndalu, 1997) na (Njogu, 2005). Hawa wote walichunguza tu sababu
za kuwa na matokeo duni kwa hivyo pengo ambalo utafiti huu ungependa kujaza ni
kwamba tafiti hizi hazikuangazia sababu za kuimarika katika masomo hayo. Mapitio ya
vitabu yalionyesha kuwa watafiti wengi waliegemea sababu za kijamii na tofauti za Ll na
L2. Pia hawakuzingatia viwango vya umilisi wa wanafunzi katika lugha kwa ukamilifu.
Kiswahili wa wanafunzi katika shule za upili kutoka Luo Nyanza katika kiwarigo cha
sintaksia, changamoto na sababu kuu za kuimarika kwa matokeo ya Kiswahili .
.1.3Maswali ya Utafiti
Utafiti uliongozwa na maswali yafuatayo;
1. Kuna viwango vipi vya umilisi na utendaji wa wanafunzi wa shule za upili katika eneo la
Ziwa katika lugha ya Kiswahili?
2. Ni changamoto zipi hukabili ujifunzaji wa wanafunzi wa sehemu ya Luo Nyanza katika
lugha ya Kiswahili kama lugha ya pili?
3. Ni nini ilisababisha kuimarika kwa matokeo ya wanafunzi katika mitihani ya Kiswahili
katika eneo la Ziwa?
1.4 Malengo ya Utafiti
Utafiti huu uliongozwa na malengo yafuatayo;
1. Kubainisha viwango vya umilisi na utendaji wa wanafunzi wa shule za upili zilizoteuliwa
katika sehemu ya Luo Nyanza katika Kiswahili.
2. Kueleza changamoto ambazo hukumba ujifunzaji wa Kiswahili kama lugha ya pili katika
sehemu ya LlIO Nyanza.
3. Kuchunguza sababu za kuimarika kwa matokeo ya wanafunzi kutoka eneo la Ziwa
katika mitihani ya kitaifa ya Kiswahili.
1.5 Sababu za Kuchagua Mada ya Utafiti
Mada ya utafiti huu ilichaguliwa kwa sababu zifuatazo; kwanza, kupitia mikakati
maalumu ya ujifunzaji iliyotumiwa katika shule teule, inatarajiwa kwamba wanafunzi
wataweza kuinua ujuzi wao katika sarufi. Kufahamu sarufi ya lugha fulani ni muhimu
kwani hujumuisha urnilisi na tajiriba za wasemaji wa lugha hiyo kuhusu miundo yake.
ujumbe usiwafikie watu vizuri. Peck (1988), anaeleza kuwa bila sheria mazungumzo
yatakuwa tu sauti na maandishi kuwa tu michoro.
Sababu ya pili ni kwamba mtafiti alitaka kuchunguza majibu ya wanafunzi na kuwaweka
katika viwango vya umilisi na utendaji. Viwango hivi vilinuiwa kusaidia walimu kuandaa
mbinu zinazofaa kwa kila kikundi ili wanafunzi wote darasani waweze kushughulikiwa
kulingana na uwezo wao ili kufurahia huo umilisi mpya.
lnatarajiwa kuwa matokeo ya utafiti yanaweza kuchochea kuundwa kwa mikakati ya kuhakikisha kuwa wanafunzi wengi wanafaulu katika kujenga umilisi na utendaji wao wa
somo hili. Bloomfield (1927), anaamini kuwa kuna viwango vya umilisi na utendaji baina
ya wanajamii lugha moja. Anaeleza kwamba utendaji unaathiriwa na hali ya maisha ya
mtu.
Sababu nyingine ya kufanya utafiti huu ni kuwahamasisha walimu pamoja na wanafunzi
kuhusu mbinu bora za kuimarisha umilisi wa wanafunzi katika lugha ya Kiswahili. Hii
ni kwa sababu wasomi wengi wanaamini kuwa kuanguka kwa wanafunzi katika somo la
lugha kunasababisha kuanguka kwa masomo kwa jumla (Martha King, 1984). Kwa hivyo
mbinu ambazo hutumiwa na shule ambazo ni vielelezo bora zitatupa mwangaza kuhusu
namna ya kuimarisha somo la Kiswahili.
Mtafiti alinuia kuwachochea walimu wa lugha kuyatambua matatizo ya wanafunzi wao.
Anavyoeleza Non-ish (1983 :80), kuwa walimu wazingatie mbinu zinazofaa za ufunzaji.
Wanaweza
k
u
fa
h
a
mu
vipengele wanavyostahili kusisitiza katika ufunzaji wao na mbinuwanazofaa kutumia. Johnson na Johnson (2001: 173), walipendekeza njia bora za ufunzaji
kuwa faafu na kuzingatia kiini cha ujumbe.
Sababu nyingine ya mtafiti kufanya utafiti huu ilikuwa ni kuchochea washika dau wa
elimu na Wakurugenzi wa Magatuzi wa TSC kuweza kuandaa mafunzo au semina kwa
Kiswahili. Hatua zinazofaa zikichukuliwa, wanafunzi wanaweza kupata umilisi na
utenclaji katika lugha ya Kiswahili bila kuzingatia lugha yao ya kwanza.
1.6 Upeo na Mipaka ya Utafiti
Utafiti huu ulijikita katika umilisi na utenclaji wa wanafunzi wa shule za upili kutoka eneo
la Luo Nyanza katika somo la Kiswahili. Umilisi ulipimwa kupitia hojaji finyu na wazi
kuhusu matumizi ya lugha ambayo iliclhihirishwa katika utendaji. Umilisi una kanuni na
sheria za kufuatwa katika tungo na hizi huonyeshwa katika utenclaji. Anavyoeleza
Chomsky (1965), umilisi ni mfumo wa sheria za lugha. Wanafunzi walipewa maswali
katika sarufi kutoka mitihani ya kitaifa iliyopita. Data za sekondari zilitolewa .kutoka
matokeo ya mitihani ya kitaifa kuanzia mwaka wa 2009 hadi 2012 ili kufanyia
uchanganuzi.
Mbali na viwango vya umilisi na utendaji, utafiti ulichunguza hasa sababu za kuimarika
kwa matokeo katika Kiswahili. Hii ni kwa sababu kipindi cha kati ya mwaka 2009 hadi
2012 kilidhihirisha uimarikaji wa somo hili katika eneo la Nyanza. Suala la kutoimarika
kwa matokeo limegusiwa na Njogu (2005) na Ndalu (1997). Vile vile limejadiliwa katika
sura ya tatu karna changamoto katika ujifunzaji wa Kiswahili. Utafiti ulinuia kuchunguza
namna shule za Nyanza ziliweza kukabiliana na changamoto hizi ili kuimarisha matokeo
yao.
Matokeo ya Somo la Kiswahili hutegemea kufaulu katika mtihani wa karatasi ya insha,
lugha na fasihi. Utafiti huu ulijifunga katika mtihani wa karatasi ya lugha. Sehemu ya
matumizi ya lugha na sarufi. Hii ni kwa sababu sintaksia inadhihirisha vipengele vya
mofolojia. Kulingana na Chomsky kiungo muhimu zaidi katika umilisi wa kiisimu ni kile
cha sintaksia. Finch (2003), anaeleza kuwa sintaksia inahusu namna maneno
yanavyopaugwa katika maanclishi au mazungumzo ili kuleta miundo nu mifumo mizuri
Sampuli lengwa ilikuwa wanafunzi wanaozungumza Dholuo kama Ll kwani wao
hawajaathiriwa na lugha nyinginezo za kiasili. Walichaguliwa kwa sababu ya madai ya
Wanyoike (1978:36) na Mbaabu (1985), kuwa wazungumzaji wa Kinailoti kama vile
Waluo wana matatizo katika ujifunzaji wa Kiswahili.
Wanafunzi hutagusana na Kiswahili kila mahali lakini utafiti ulishughulikia shule za upili
katika Eneo la Luo Nyanza. Kwa hivyo matokeo si jumlifu kwa shule zote nchini.
Ingawa shule ya Maranda na Shule ya Wasichana ya Kisumu ndizo zinazotambulika
kufanya vizuri. Kuna shule nyingine nyingi ambazo pia zinapata matokeo mazuri katika
mitihani ya Kiswahili (tazama kiambatisho G). Eneo la Ziwa lina Magatuzi sita;
Nyamira, Kisii, Siaya, Migori, Hornabay na Kisumu (tazarna kiambatisho J). Magatuzi
manne yalijumuishwa kwa sababu sehemu hii ya Luo Nyanza imegawanywa katika
magatuzi marine. Shule moja kutoka kila gatuzi ilitumiwa kama sampuli wakilishi.
Uteuzi clhamirifu ulitumiwa kuchagua shule nne kutoka magatuzi ya Luo yanza kwa
sababu ni zile zilizopata matokeo mazuri zaidi. Hizi ni; Shule ya Wasichana ya Kisumu
(gatuzi la Kisumu), Shule ya Maranda (Siaya), Rapogi (Migori) na Agoro Sare katika
gatuzi la Homa Bay. Wenyeji wa gatuzi la Kisii na yamira ni Wabantu na lugha zao
zinatokana na nasaba moja na Kiswahili. Shule ya wasichana ni moja kwa sababu utafiti
ulinuia sampuli ya wateule zaidi yaani ubora wa matokeo yake katika mtihani. Kama
anavyoeleza Labov (1966), kwarnba sio ukubwa wa sarnpuli bali ni ubora wa data
unaohitajika katika uteuzi wa sarnpuli.
Sampuli ilikuwa ya wanafunzi 100; ishirini na watano kutoka kila shule. Walimu
walikuwa 20; watano katika kila shule walijaza hojaji na kujibu mahojiano. Wanafunzi
asilimia tano waliteuliwa kutoka kila darasa kujaza hojaji. Vidato vya pili na vya tatu
vilitafitiwa kwani hapo ndipo pan a mafunzo ya msingi. Kidato cha pili wangali
utangulizi wa somo nacho cha nne ni kudurusu. Mbinu ya uteuzi dhamirifu ilitumiwa
kuteua wahojiwa kwa kuchukua matokeo ya mtihani wa muhula. Orodha ya wanafunzi
arobaine bora iliturniwa na kuteua wale ambao ni wazawa Waluo.
Utafiti ulifanywa shuleni palipo na mafunzo rasmi darasani kwa sababu wao ndio
wanaojifunza Kiswahili kama L2.
1.7 Yaliyoandikwa Kuhusu Mada 1.7.1 Maandiko Kuhusu adharia
Chornsky katika kitabu chake cha Syntactic Structures (1957), anashikilia mtazamo
kwamba kila binadamu ana uwezo wa kupata na kujifunza lugha. Chomsky (1965),
anaendelea kueleza dhana ya umilisi na utendaji katika nadharia yake ya Sarufi Zalishi
ambapo anadai kuwa umilisi ni mfumo wa kiasili unaomwezesha mtumiaji wa lugha
kuzalisha na kuelewa idadi isiyo kikomo ya sentensi za lugha. Nadharia ya Sarufi Zalishi
ilitumiwa katika utafiti huu. Chomsky anaeleza kuwa kuna tofauti baina ya kile
tunachokij ua na kile tunachokitenda. Akijadili tofauti kati ya umilisi na utendaj ianaeleza
kuwa mazungurnzo yetu ya kila siku si njia mwafaka ya kuakisi uwezo wetu wa kiisimu.
Tunaweza kufanya makosa kwa sababu ya utelezi wa ulimi. Umilisi wa kiisimu huwa
ubongoni ilhali utendaji wa kiisimu ni kile kinachotoka mdomoni. Hymes (1967),
anaeleza namna ambavyo umilisi unavyotofautiana na utendaji. Anadai kuwa umilisi
huathiri tu utendaji iwapo mzungumzaji ana kasoro fulani katika mawasiliano.
Radford (1997), anadai kwamba mtoto anazaliwa na uwezo wa kijenetiki wa kupata
lugha. Upataji wa lugha unatokea wakati kitivo cha lugha ubongoni mwa mtoto
kinapotagusana na tajiriba ya kiisimu katika mazingira ya kijamii. Mtagusano huu
unavyaza sarufi ya lugha husika. Anaongeza kwamba mtazarno kuhusu upataji wa lugha
ya kwanza unaweza kuelekezwa kwenye ufunzaji wa lugha ya pili. Katika ufunzaji wa
atakayornwandalia mwanafunzi. Hivi ni kuserna kwarnba rnsernaji wa lugha ya pili
atakuja kurnulika vigezo vya kanuni zinazotawala rnaana na rnaumbo ya lugha
anayojifunza. Kazi hii ilichangia ufahamu wetu kuhusu upataji wa L2 rniongoni rnwa
wanafunzi Waluo wanaojifunza Kiswahili.
Onyango (2006), aliyechunguza toni ya vitenzi katika Olunyala, alitumia mihirnili rninne
ya nadharia ya Sarufi Zalishi kueleza tofauti hizo; Kwanza, tofauti baina ya urnilisi
ambao ni ule ujuzi walio nao wazungurnzaji ilhali utendaji ni matumizi halisi ya lugha
katika miktadha rnbalimbali. Pili, sarufi ya lugha huchukukuliwa kuwa kieleiezo cha
umilisi wa rnzungumzaji. Tatu, isirnu hujishughulisha na utazarnaji wa sifa bainifu za
lugha na sarufi iwe na sheria na muundo bainifu za tungo. Kazi hii iiichangia utafiti wctu
katika kubainisha tofauti kati ya umilisi na utendaji.
Chacha na Musau (2001), katika Mbinu za Kisasa za Kufuiidisha Kiswaliili kwa Walimu
wo Shule za Msingi, Upili na Vyuo Vi/ant wanaelezea baadhi ya nadharia za ufundishaji
wa lugha ya pili. Wanajadili nadharia ya KK na mihimili ya nadharia hiyo. Kazi hiyo ni
tofauti na utafiti wetu kwani wao waliangazia nadharia zote za ufunzaji wa lugha ya pili
kwa ujumla. Utafiti huu uiiangazia nadharia rnoja ya KK. Kazi hii ilichangia pakubwa
kueleza namna wanafunzi wa eneo la Ziwa wameweza kuboresha utendaji na matokeo
yao katika mitihani ya kitaifa ya KCSE katika Kiswahili.
1.7.2 Maandiko Kuhusu Ugumu wa Upataji wa Kiswahili kama L2 kwa Wanafunzi
Waluo
Lugha ya Kiswahili na Dholuo ni tofauti kwa namna nyingi. Mbaabu (1985), akieleza
muundo wa sauti za Kiswahili, anaeleza binadarnu ana uwczo wa kutamka sauti zote za
lugha za ulimwengu. Wanyoike (1978:36), Musau (1993) na Mbaabu (1985), wanaeleza
kuwa Dholuo ni lugha ya Kinailoti na wanafunzi wa Kinailoti wana matatizo katika
ujifunzaji wa Kiswahili ambayo ni lugha ya Kibantu. Baadhi ya matatizo ambayo
13
Lt
.
wanafunzi hupata katika ujifunzaji wa L2 hujitokeza katika viwango tofauti vya kiisimu.
Wanaeleza kuwa baadhi ya wazawa wa lugha ya Dholuo huwa na matatizo katika
ujifunzaji wa Kiswahili kwa sababu ya athari za L1. Wanyoike anapendekeza kuwa
wanaotaka kufanya utafiti wa kina wawe walio na umilisi mzuri wa lugha ya Kiswahili na
Mbaabu (1985:75), anaeleza namna ujuzi wa Dholuo kama L1 unavyoingilia Kiswahili.
Anaeleza wakati wa kuongea lugha ya Kiswahili watu wengi huingiza maneno ya L1
katika sentensi za Kiswahili. Baadhi ya sababu zikiwa; ukosefu wa umilisi kamili wa
lugha ya Kiswahili husababisha utata. Kwa mfano, kila lugha ina methaJi zake tofauti.
shida kutafsiri methali kutoka lugha moja hadi nyingine bila kugeuza maana na mpangilio
wa sauti katika kuunda maneno. Matokeo ya utafiti wake kuhusu Dholuo ni kuwa; majina
ya Luo hayajapangwa katika makundi ya umoja na wingi kama yalivyopangwa katika
Kiswahili. Hakuna viambishi vinavyotofautisha vitu vilivyo hai na visivyo hai na Mjaluo
anapozungumza Kiswahili huwa amepanga fikira zake kwa mpangilio wa lugha ya
Dholuo. Yeye hutafsiri kwa Kiswahili na neno moja la Dholuo huwa na matumizi mengi
kuliko tafsiri yake katika Kiswahili. Kwa mfano, {kendo} - {oal tenal mekoni} ..
King'ei na Musau (2002), wanaongeza kuwa matatizo ya kimatamshi miongoni mwa
wazungumzaji wa Kiswahili yanatokana na lugha za mama za wazungumzaji. Sauti za
lugha ni tofauti na kila lugha ina idadi fulani ya vitamkwa. Matokeo ya utafiti wao ni
kwamba; kwanza, Kijaluo hakina sauti zifuatazo; lvi, Iz/,1 shl na /gh/, kwa mfano, kutofautisha [shuka/suka] huwatatiza. Pili, vokali za Dholuo ni nyingi kuliko tano za
Kiswahili - li,e,a,o,u,E,J,O,U/. Jambo la tatu ni kurefusha vokali. Lugha zote mbili
huweka shadda kwenye silabi ya pili kutoka mwisho wa neno. Hata hivyo, zinatofautiana
Kwa mfano, $ja $te $do$ (mpishi). [ ja'tedo ]. Neno [ugali] katika Dholuo litakuwa [uga:li]. Vile vile lugha nyingi huwa na mipangilio tofauti ya konsonanti na vokali.
Upekee wa Dholuo ni kuwa hupendelea zaidi mpangilio wa konsonanti vokali (KV)
mwanzoni mwa kila neno. Kwa hivyo, wazungumzaji hutatizika wanapokumbana na
mfuatano wa konsonanti konsonanti (KK) mwanzoni mwa neno kwa mfano,
Kiswahili Dholuo
Mtu, mbwa mutu, umbwa
Wilkins (1974), alibaini kuwa mtoto atachukua miaka mitatu au minne kujifunza Ll ili
kufikia umilisi bora. Hivyo basi, yule anayejifunza L2 ili kufikia kiwango hicho
kutategemea muda anaotumia katika matumizi ya L2. Kazi hizi zinafaidi utafiti huu
kwani zinafafanua ugumu ambao wanafunzi Waluo hupata katika ujifunzaji wa Kiswahili
kama lugha ya pili. Tofauti ni kwamba kazi hii ilichunguza namna wanafunzi Waluo
waliweza kukabiliana na matatizo hayo.
Komora (1971), katika A Kiswahili Course Teachers Book J anadokeza kuwa wanafunzi
ambao huzungumza lugha sawa au iliyo karibu na Kiswahili watajifunza haraka zaidi
kuliko wale ambao huzungumza lugha tofauti na Kiswahili. Crispus na Kamal (1984),
katika Mbinu za Kufundisha Kiswahili, wanaeleza kuwa wanafunzi wanapoenda shuleni
wanafaa kuandaliwa kujifunza Kiswahili. Wengine watachukua wiki mbili kujifunza hasa
wale wanaozungumza Kiswahili nyumbani kama watoto wa pwani na wale wa mjini.
Wanaozungumza Kibantu watachukua wiki sita ilhali kutoka lugha nyingine kama
Dholuo na Kikalenjin watahitaji wiki nane au zaidi. Kazi hii ilidhihirisha tofauti iliyopo
baina ya lugha hizi mbili.
Tofauti nyingine zilionyeshwa na Mudhune (1994), katika A Contrastive Analysis
Approach to the Learning of Swahili Morphosyntax by Luo Learners. Tasnifu hiyo
Kiswahili yalihusu vivumishi, vihusishi, vimilikishi na tarakimu kwa vile hakuna
upatanisho wa kisarufi. Alionyesha kuwa makosa hayo huhamishwa hadi Kiswahili
ambapo Kiswahili . ni mojawapo ya lugha za Kibantu. Kiswahili sanifu (na lugha
nyingine za Kibantu) huwa na ngeli za nomino. Nomino ndizo hutawala sentensi yote.
Kwa mfano, {m}
+
{tu} ni ngeli ya kwanza, {watu} ni ngeli ya pili. Kisha hakunauhusiano wowote wa kimofolojia kati ya nomino na maneno mengine. Kwa mfano,
dhok ariyo - ng'ombe wawili. Kazi yake ni tofauti na utafiti wetu kwani utafiti wetu
haulinganishi lugha hizo mbili bali inaeleza ugumu ambao wanafunzi wanaweza kupata
katika ujifunzaji wa lugha ya Kiswahili.
Olal (2008), alishughulikia utohozi wa maneno mkopo ya Dholuo kutoka Kiswahili.
Alionyesha kuwa mageuzi ya kifonolojia katika maneno mkopo ya Dholuo hudhihirisha
istilahi zinazotofautiana na maneno asilia ya Kiswahili. Anaeleza kuwa Dholuo ni lugha
toni. Kazi yake ilisaidia kufafanua tofauti kati ya lugha hizi mbili na matatizo ya
wanafunzi Waluo wanaojifunza Kiswahili.
1.7.3 Maandiko Kuhusu Mbinu za Ufunzaji naUboreshaji wa Matokeo ya Kiswahili
Njogu (2005), alichunguza matokeo mabaya katika mtihani wa kitaifa na kuelezea
matatizo ya Kiswahili kama lugha ya taifa. Alidokeza baadhi ya matatizo kuwa; ufahamu
mdogo wa umilisi wa kiisimu, kuzuka kwa kilugha cha 'sheng', kuwa na mielekeo hasi
kuhusu uwezo wa Kiswahili, ukosefu wa motisha wa kujua lugha ya Kiswahili vizuri
katika kiwango cha kitaifa na akasisitiza ufunzaji wa Kiswahili nchini. Kazi yake
ilisaidia kujua ni kwa namna gani shule za Nyanza zilisuluhisha baadhi ya matatizo hayo
ili kuboresha matokeo yao katika KCSE.
Kulingana na Ndalu (1997), mbinu za kufundisha Kiswahili ni kama vile; kuwafunza
kurekebisha makosa pale yanapotokea na kujua viwango na asili ya wanafunzi ili kujua
ni wanafunzi gani watahitaji muda mrefu zaidi kujifunza. Kazi yake ilisaidia kufafanua
baadhi ya changamoto zinazokabi1i lugha hii ya Kiswahili.
aye Gesaga (1986), alichunguza mambo yanayoathiri utendaji wa lugha ya Kiingereza.
Alishughulikia uhusiano baina ya alama za CPE (mtihani wa darasa la nane) za
wanafunzi wanapoingia katika kidato cha kwanza na a1ama wanazopata katika KCE
(mtihani wa kidato cha nne), tajiriba za walimu, vifaa na mbinu za ufunzaji na ujifunzaji.
Utafiti wake unatofautiana na kazi yetu kwani eneo la utafiti wake 1ilikuwa Kiambu,
katika sorno la Kiingereza na pia aligawa kazi yake katika shu1e bora, wastani na dhaifu
na utafiti huu ulifanywa kati ya miaka 1983-1985. Tofauti zilizoko ni kwamba kwa sasa
mfumo wa elirnu umebadi1ika na mitihani inayofanywa sasa ni KCPE, darasa la nane na
KCSE kidato cha nne. Vile vile shule zimeainishwa katika vitengo vinne hasa mtihani wa
KCSE mwaka wa 2011 ambazo ni shu1e za kitaifa, shule za magatuzi, shule za wi1aya na
za kibinafsi. Utafiti wetu ulizingatia shule zilizofanya vyema katika lugha ya Kiswahili
pekee. Kazi yake ilisaidia mtafiti kujua vipenge1e vya kuchunguza hasa anapomnukuu
Martha King (1984), anayesema:
"Kwajinsi kufaulu kwa elimu kunahusiana na umilisi wa lugha basi pia kuanguka
kwa shule kunahusiana na kuanguka kwa 1ugha'. Kufaulu na kuanguka kwa
wanafunzi kunategemea na kufungamana na jinsi wanavyoshirikiana na kuunda
maana kupitia lugha."
Mtafiti anakubaliana naye kuwa ni muhimu kupunguza matokeo mabaya katika 1ugha
mwanafunzi anapotaka kufau1u katika mtihani. Kulingana na Gichura (1999), jambe
muhimu zaidi linaloathiri masomo hasa ya wasichana ni mielekeo yao. Alipendekeza
umuhimu wa kuchunguza rnazingira katika elimu kama nadharia ya Dewey inavyosema
Kipkorir (2005), na Eshiwani (1988), walichunguza sababu za kijamii na kiuchurni na
namna zinavyoathiri matokeo bora. Kazi ya Kipkorir inachangia kazi hii pale
anapowanukuu Cohen and Marion (1994), wanapoeleza kuwa uteuzi wa sampuli
kimaksudi hutumiwa pale mtafiti anapokuwa na sababu ya kufinya sampuli kwa
madhumuni ya kupata sampuli iliyokusudiwa kuwa na habari zinazohitajika hasa
ukizingatia malengo ya utafiti. Kipkorir alitumia nadharia ya Mgawanyiko wa Kitabaka
katika jamii lakini utafiti wetu unatumia nadharia ya KK. Hata hivyo, Fraser (1959),
anadai kuwa katika kila kiwango cha uwezo kutakuwa na tofauti katika matokeo ambayo
huweza kuelezwa kwa sababu tofauti tofauti.
Kwa jumla, mapitio ya maandiko haya yalitumiwa kufafanua tofauti kati ya umilisi na
utendaji, kueleza changamoto zinazowakabili wanafunzi katika ujifunzaji wa Kiswahili
kama L2 katika eneo la Ziwa na jinsi ya kuimarisha matokeo ya Kiswahili.
1.8 Misingi ya N adharia
Nadharia zilizoongoza utafiti huu ni Sarufi Zalishi (Chomsky, 1965) na nadharia ya
Kijumuia na Kibinadamu (Richards na Rodgers, 2001).
1.8.1 Nadharia ya Sarufi Zalishi
Chomsky (1957), katika kitabu chake cha Syntactic Structures anashikilia mtazamo
kwamba kila binadamu ana uwezo wa kupata na kujifunza lugha. adharia ya Sarufi
Zalishi (SZ) iliasisiwa nu Noam Chomsky katika chapisho lake la (1965), Aspects of the
Theory ofSyntax. Umilisi wa kiisimu unahusiana na ujuzi wa muundo wa lugha. Umilisi
huo hautegemei sifa za kijamii bali mazingira faafu ya mtoto kukua. Chomsky
ametofautisha umilisi kuwa ubongoni ilhali utendaji ni kile kinachotoka mdomoni.
1.8.1.1 Mihimili ya Nadharia ya Sarufi Zalishi
Mihimili ya nadharia ya SZ ni kama ifuatayo:
1. Sarufi Zalishi hunuia kueleza uwezo au umilisi wamzawa wa lugha. Umilisi na
Utendaji ni dhana za kimsingi katika SZ.
I!. SZ inaeleza tungo zote ambazo zinaweza kuzalishwa katika lugha fulani.
111. Hueleza sentensi ambazo si sahihi na zile ambazo ni sahihi katika lugha husika.
IV. Sifa za SZ ni kwamba inajieleza kinaganaga na kwa uwazi kupitia kanuni hi vi kwamba
rnsomaji wa sarufi hii hapaswi kutumia makisio yoyote au ujuzi wowote kujaribu kubaini
yanayoelezwa na sarufi hii.
v. Sheria za SZ ni kielelezo na maagizo yake ni kama yale yanayopewa kompyuta.
Maagizo hayo hayaelezwi. Kwa mfano, maagizo yanayosema;
S KN
+
KT (yaani iandikwe hivi; Sentensi ni kirai nomino na kirai tenzi)VI. Sarufi Zalishi inaweza kubashiri hivi kwamba haielezei tu tungo ambazo tayari
zimezuliwa au kutungwa. SZ inaweza kuzua kwa kubashiri tungo zote ambazo kuna
uwezekano wa kuzitoa katika lugha husika au pengine sentensi ambazo hazijawahi
hata kamwe kutolewa.
Vii Nadharia ya SZ inaweza kuonyesha sentensi ambazo sio za lugha husika.
Viii Ina uwezo wa kufasiri baadhi ya semi kuwa na usarifu japo hatujawahi kuzisikia hapo
mbeleni.
Nadharia hii ilitumiwa kukadiria na kuchanganua data za matokeo ya wanafunzi katika
shule teule. Kutokana na matokeo ya zoezi la sarufi katika Kiswahili, wanafunzi
waliwekwa katika viwango mbalimbali vya urnilisi na utendaji. Mihimili yote hapo juu
ilitumiwa katika kuchanganua majibu ya wanafunzi katika sura ya pili. Upungufu wa
nadharia hii ni kutoweza kueleza utendaji wa wanafunzi ambao ulijalizwa na nadharia ya
8.1.2 Dhana za Sarufi Zalishi
Umilisi- ni uwezo wa kiisimu. Chomsky (1965), anaueleza kama ule uwezo wa
mzungumzaji asilia wa lugha wa kuimudu lugha yake. Kupitia umilisi mzungumzaji
asilia wa lugha anaweza kudondoa sentensi ambazo ni sahihi na ambazo si sahihi kisarufi. I-Iumwezesha mzungumzaji asilia kudondoa zile sentensi ambazo zinawezekana kutolewa katika lugha hiyo na zile ambazo haziwezekani kutolewa. Pia anaweza kutambua maumbo
na miundo tofauti ya tungo moja na aweze kutambua utata katika sentensi.
Kwa mujibu wa Radford (1997:274), Sarufi Bia ni ujuzi wa umilisi lugha uliowakilishwa
ubongoni mwa msemaji lakini kushirikiwa na wanadamu wote. Umilisi wa L2 ulipimwa
kupitia majibu ya sarufi na matumizi ya lugha ya wanafunzi, alama walizopata na
uzingativu wa sheria za kisintaksia.
Bloomfield (1927), anaamini kuwa kuna viwango vya umilisi na utendaji baina ya
wanajamii lugha moja. Bloomfield anaeleza kwamba utendaji unaathiriwa na hali ya
maisha ya mtu. Finch (2003), alieleza kuwa uwezo wetu wa kuzalisha mifumo mizuri ya
uundaji wa maneno unategemea; kwanza, umilisi wetu wa aina za maneno. Pili, uwezo
huo umo ndani/ ubongoni.
Utendaji - Ni yale matumizi ya lugha katika muktadha halisi (Chomsky, 1965). Ni uturniaji wa ule uwezo wa kiisimu katika muktadha halisi. Utendaji humwezesha mzungumzaji asilia wa lugha kubadilisha tungo na kuzitumia vilivyo kutoka mtindo
mmoja hadi mwingine. Kwa mujibu wa Dell (1965), utendaji wa kiisimu 111 kama
mwangwi unaoakisi umilisi kamili. Huweza kuathiriwa na sababu za kijamii.
Kwa mujibu wa nadharia ya SZ pamoja na mihimili yake kama ilivyoelezwa 'hapo juu, mtafiti aliweza kuzua kiele1ezo kifuatacho ili kufafanua viwango vya umilisi na utendaji
(1.4) Kielelezo cha Viwango vya Umilisi na Utendaji katika SZ
Mawasiliano
Umilisi utendaji
1
1
Viwango vya umilisi viwango vya utendaji
Umilisi wajuu umilisi kiasi umilisi hafifu utendaji wa juu utendaj kiasi
(tafsiri yangu)
1.8.2 Nadharia ya Kijumuia na Kibinadamu
Naclharia hii iliasisiwa na Jack C. Richarcls and Rodgers, T. S. (200 I),katika kitabu chao
cha Approaches and Methods in Language Teaching. Mct'afferty, Jacobs na Icldings
(2006), pamoja na Richards (2001), wanapendekeza namna ya ufundishaji wa lugha ya
pili ambapo mwalimu ana jukumu la mshauri na msaiclizi wa mwanafunzi, naye
mwanafunzi ni mshauriwa na msaidiwa. Wanaeleza kuwa ujifunzaji wa L2 uchukuliwe
kama utoaji wa ushauri na nasaha wa kimatibabu. Mwalimu anafaa kuchukua nafasi ya
daktari na kumsikiliza mwanafunzi, ampe nafasi ya kujieleza na kisha kuonyesha ule ujuzi
mpya. Naclharia hii inasisitiza ufunzaji ulio na utu na ubinadarnu. Chacha na Musau
(200 t), wakimnukuu Richards wanaeleza kuwa kuna mitazamo mbalimbali ya ufunzaji
1.8.2.1 Mihimili ya Nadharia
Mihimili ya nadharia ya KK ilifupishwa kama ifuatayo;
I. Usalama wa wanafunzi ni muhimu kwani wakiwa na wasiwasi na kutojisikia salama
hawawezi kujifunza lugha vizuri.
11. Kutomakinika kwa wanafunzi kupunguzwe kwa kuwapa majukumu tofauti tofauti
darasani.
Ill. Wanafunzi wakijifundisha mada au stadi fulani wanapaswa kuhimizwa kuonyesha ujuzi
huo mpya darasani kwa mazungurnzo au maandishi.
IV. Wanafunzi wanafaa kuwa na fahari na kufurahia ujuzi huo na mwalimu anafaa awape
nafasi hiyo.
v. Wanafunzi wanafaa kujifunza lugha kwa njia rnbalimbali karna vile tafsiri, kujirekodi
katika kanda za kunasia sauti, vikundi, ucharnbuzi, usikizaji na rnazungumzo yajumla.
VI. Mwisho ujifunzaji ni jukumu la jumuia ya wanafunzi pamoja na mwalirnu. Washiriki
wanafaa kujifunza kwa kutangamana na wenzao. Kwa hivyo kujifunza ni jukumu la
ushirikiano wa jumuiya.
adharia hii ilitumiwa katika utafiti huu ili kuonyesha changamoto katika ujifunzaji wa
Kiswahili, kufafanua utendaji wa rnzungumzaji au rnwanajamii, na narnna wanafunzi
waliweza kuboresha utendaji wao katika mitihani ya Kiswahili ya kitaifa.Walimu
walihojiwa na wanafunzi walijaza hojaji kueleza rnbinu za ufunzaji kama rnatumizi ya
vifaa, vitabu, idadi ya walimu pamoja na vipindi vya ziada au ratiba maalumu na hii
ilionyesha namna mihimili hiyo inavyotenda kazi.
1.9 Mbinu za Utafiti
Orodho (2003), alieleza mbinu za utafiti kuwa mwongozo au utaratibu unaotumiwa kuzua
majibu kwa maswali ya utafiti. Utafiti huu ulifanywa maktabani na nyanjani. Mbinu za
ambapo hojaji zilitungwa mapema na kupewa wanafunzi na walimu kujibu. Kulingana na
Kombo na Tromp (2006), hojaji hutumiwa kwa sampuli teule na kubwa na katika maeneo
mbalimbali kwa hivyo huokoa wakati. Majibu hupatikana baadaye. Hii inaaminiwa kutoa
majibu haraka na kwa uhakika. Wanafunzi wanachukuliwa kuwa wahojiwa faafu.
Wanafunzi wanatoka katika jamii na katika shule ambapo Kiswahili kama L2
inayochunguzwa inatumiwa. Inaaminika kuwa wao wanaweza kutoa data muhimu na za
kuaminika kwa utafiti huu.
Walimu walijaza hojaji na wasrmarruzi wa somo la Kiswahili walihojiwa. Walimu
wanachukuliwa kama watekelezaji wa sera za lugha shuleni. Wao ndio wanaomiliki mada
za kufundisha kwa wanafunzi kwa hivyo, wanachukuliwa kuwa wahojiwa wanaofaa
Zaidi katika utafiti kwani wanaweza kutoa maoni yao, ya wanafunzi wao na hata kuhusu
sera za lugha shuleni kama anavyoeleza (Kembo- Sure, 1996).
Utafiti pia ulifanywa maktabani ambapo vitabu mbalimbali vinavyoelezea nadharia
vilitumiwa. Tasnifu mbalimbali zilichunguzwa na machapisho mengine muhimu. Vitabu
hivi vilitumiwa kufafanua mada hii ya utafiti.
1.9.1 Mahali pa Utafiti
Utafiti ulifanywa eneo la Luo Nyanza kwa sababu wakazi wa eneo hili ni wazungumzaji
wa Dholuo wanaojifunza Kiswahili kama L2. Inaaminika kwamba Waluo hawana umilisi
kamili wa Kiswahili kama wanavyodai Wanyoike (1978) 11aMbaabu (1985), kuwa
baadhi ya wazawa wa lugha ya Dholuo huwa na matatizo katika ujifunzaji wa Kiswahili
kwa sababu ya athari za L1.
Mbinu ya uteuzi kimaksudi ilitumiwa kuchagua shule nne ambazo ni; Maranda, St.
Joseph's Rapogi, Agoro Sare na KisUI1111Girls kwa kuangalia ufaulu wazo wa kiwango
Vidato vya pili na vya tatu vilitafitiwa kwani hapo ndipo pana mafunzo kamili, kidato cha
tatu wako tayari kwa mtihani. Kidato cha kwanza ni utangulizi wa somo nacho cha nne ni
kudurusu. Mbinu hiyo ilitumiwa ili kupata data kamili za kuaminika na zilizohitajika.
1.9.2 Uteuzi wa Sampuli
Kombo na Tromp (2006), wanaeleza kuwa sampuli kusudi huwa mwafaka pale ambapo
kundi au sehemu fulani inaaaminiwa ndiyo ina data mwafaka inayoafiki malengo ya
utafiti. Mbinu hiyo ilihakikisha mtafiti ametumia shule bora katika mitihani ya kitaifa.
Uteuzi wa sampuli dhamirifu ulitumiwa katika utafiti huu. Kipkorir akiwanukuu Cohen
na Marion (1994), anaeleza kuwa uteuzi wa sampuli kimakusudi hutumiwa pale .mtafiti
anapokuwa na sababu ya kufinya sampuli kwa madhumuni ya kupata sampuli
iliyokusudiwa kuwa na habari zinazohitajika hasa ukizingatia malengo ya utafiti. Utafiti
ulifanywa katika shule nne za upili ambazo ziliteuliwa kwa kufanya vyema katika
Kiswahili kutoka eneo la Luo Nyanza, ambao hawajaathiriwa na lugha nyingine za
Kibantu.
Labov (1966:283), anaeleza kuwa kanuni katika uteuzi wa sampuli ni kuwa upana na
usawa wa uteuzi unafaa kuwa wakilishi kwa sampuli yote. Hivi ni kusema kwamba shule
zilizoteuliwa zinawakilisha shule zote za eneo hilo. Shule moja ya wasichana pamoja na
shule tatu za wavulana zilifanyiwa utafiti. Shule ya wasichana ni moja kwa sababu utafiti
ulinuia sampuli dhamirifu, yaani shule zinazofanya vyema katika Kiswahili. Shule hizo
zilijumuisha zile za kitaifa ambazo ni Maranda na Kisumu Girls na za magatuzi ambazo
ni; Agoro Sare na St.Joseph's Rapogi. Kabla ya mwaka 2012 shule zote nne zilikuwa
katika kategoria ya shule za mikoa.
Kulingana na Du Plooy (2002), Cohen na Marion (1994) na Canale (1983),
walipendekeza mbinu ya uteuzi wa sampuli dhamirifu kuwa mbinu bora katika kuteua
kutoka kila shule na walimu 20; watano kutoka kila shule walijaza hojaji. Wanafunzi
asilimia tano waliteuliwa kutoka kila darasa.
1.9.3 Ukusanyaji wa Data
Ubora wa kazi yoyote ya utafiti hutegemea ubora wa data iliyokusanywa ili
kuchanganuliwa (Kombo na Tramp, 2006). Data zilikusanywa kutoka shule nne teule
kwa kutumia hojaji na mahojiano. Wanafunzi walipewa mtihani wa matumizi ya lugha
kujibu. Majibu hayo yalitumiwa katika uchanganuzi.
Vifaa vingine vya ukusanyaji data vilivyotumiwa ni kama vile; hojaji, mahojiano,
utazamaji, vitabu, kalamu na vipakatalishi. Walimu walipewa hojaji kujaza, wasimamizi
wa somo la Kiswahili walihojiwa. Data ya matokeo ya mitihani ya kitaifa kutoka shule
hizo zilirejelewa katika uchanganuzi.
1.9.4 Uchanganuzi wa Data
Matokco yalioanishwa na kupangwa. Kombo na Tromp (2006), wanapendekeza data
kupangwa kutoka ghafi hadi taarifa, taarifa hadi ukweli uliothibitishwa na ukweli huo
kuwa elimu. Uhifadhi wa data ulifanywa katika karatasi, daftari, tarakilishi na majedwali.
Uchanganuzi ukaongozwa na nadharia ya SZ na nadharia ya KK. Mihimili ya SZ ilisaidia
katika kubainisha viwango vya umilisi na utendaji wa wanafunzi. Mihimili ya KK
ilisaidia kutathmini changamoto katika ujifunzaji wa Kiswahili na jinsi walivyoboresha
matokeo ya Kiswahili. Data hizo zilipangwa kulingana na mada tofauti tofauti kwa
kurejelea malengo ya utafiti.
Uchanganuzi ulifanywa kwa kutumia mbinu za kimaelezo na za kitakwimu. Maelezo
yalitolewa kuhusu mada tofauti na kutoa muhtasari wa kiini. Brown (1990); anaeleza
umuhimu wa idadi ya utukiaji na viwango vya asilimia katika mbinu ya kitakwimu.
kiisimu kwa kutumia nambari. Kuonyesha kipashio fulani cha kiisimu kilitokea mara
ngapl.
Majibu ya hojaji na mahojiano yalitumiwa. Hii ni kwa sababu hojaji na mahojiano hutoa
majibu yenye uwazi na kwa undani. Hojaji za wanafunzi zilisahihishwa. Baada ya kupewa
alama juu ya 30, alama hizo ziliwekwa katika asilimia. Ili kufikia malengo ya utafiti huu,
uchunguzi ulilenga kujibu maswali yanayoongoza utafiti huu.
1.9.5 Uwasilishaji wa Data
Data ziliwasilishwa kwa njia ya maelezo kwa kiasi kikubwa. Maelezo ni kuandaa ripoti
ya muhtasari wa mada zote muhimu na kuonyesha uhusiano wao (Kombo na
Tromp,2006). Picha, jedwali, na michoro pia zilitumiwa pale palipohitajika. Data kutoka
alarna za wanafunzi na matokeo ya shule mbalimbali zilitumiwa. Picha zilitumiwa
kulinganisha shule teule katika majibu yao. Michoro na majedwali yalitumiwa kuonyesha
asilimia ya alama ya wanafunzi. Maelezo yalitolewa kuhusu majedwali hayo. Matokeo ya
utafiti yamejadiliwa kwa kurejelea maswali ya utafiti, malengo ya utafiti na mihimili ya
nadharia iliyoongoza utafiti huu.
Hitimisho
Sura hii imeeleza kiini cha utafiti na utaratibu uliozingatiwa katika kufanikisha utafiti 11UU.
Katika sura hii mbinu za utafiti zilionyeshwa. Data zilizopatikana zilipangwa na
kutumiwa katika uchanganuzi. Katika sura inayofuata, viwango vya umilisi na utendaji
vitashughulikiwa kwa kuangazia sifa mbalimbali za kila kiwango kwa kuchunguza majibu
ya wanafunzi katika hojaji. Kielelezo cha viwango vya umilisi na utendaji (1.4)
SURA YA PILI
VIWANGO VYA UMILISI NA UTENDAJJ
2.0 Utangutizi
Sura hii inachunguza viwango mbalimbali vya umilisi na utendaji wa wanafunzi katika
shule zilizoteuliwa katika eneo la Nyanza. Wanafunzi walipewa maswali katika sarufi ili
kubainisha na kuwaweka katika viwango vya umilisi na utendaji. Matokeo yalichunguzwa
kwa muktadha wa sifa za viwango vya umilisi na utendaji. Rejelea kielelezo (1.4).
2.1Viwango vya Umilisi
Umilisi ni ule uwezo wa mzungumzaji asilia wa lugha kuimudu lugha yake (Chomsky,
1965). Kupitia umilisi mzungumzaji asilia wa lugha anaweza kudondoa tungo ambazo si
sahihi na zile ambazo ni sahihi kisarufi katika lugha husika. Anaweza pia kutambua
maumbo na miundo tofauti ya tungo moja. Vile vile, anaweza kutambua utata katika
sentensi za lugha yake husika. Bloomfield (1927), anadai kuwa kuna viwango vya umilisi
na utendaji baina ya wanajamii lugha moja. Kwa mujibu wake Bloomfield, utendaji
huathiriwa na hali ya maisha ya mtu na hata umilisi wake wa ndani. Kutokana na
maelezo yaliyotolewa hapo juu mtafiti aliweza kuzua vigezo kadhaa vya kuonyesha
umilisi kwa jumla. Kulingana na Chomsky (1965), umilisi umo ubongoni wala
hauonekani. Kwa hivyo, vigezo hivi vinaweza kudhihirishwa tu katika utendaji wa
wanafunzi. Vigezo vya umilisi ni kama ifuatavyo;
I. Mwanafunzi awe na uwezo wa kuonyesha tungo zote ambazo zinaweza kuzalishwa
katika lugha fulani.
11. Awe na ujuzi wa sheria zinazotawala lugha husika. Chomsky (1965), anaeleza umilisi
ni mfumo wa sheria za lugha, unaeleza ujuzi wa sheria.
IV. Mwanafunzi aweze kuzua kwa kubashiri tungo zote ambazo kuna uwezekano wa
kuzitoa katika lugha husika au pengine sentensi ambazo hazijawahi hata kamwe
kutolewa.
v. Mwanafunzi aweze kudondoa sentensi ambazo si sahihi na zile ambazo ni sahihi katika
lugha husika.
VI. Aweze kuonyesha sentensi ambazo sic za lugha husika.
VII. Awe na uwezo wa kufasiri baadhi ya semi kuwa na usarifu japo hajawahi kuzisikia hapo
awali.
VIII Aweze kutambua utata katika sentensi husika.
VIII. Aweze kubainisha sentensi zilizo na ukubalifu na zisizo na ukubalifu.
Kwa mujibu wa vigezo hivi, wanafunzi walipewa mazoezi katika sarufi na matumizi ya
lugha na kutokana na majibu waliwekwa katika viwango vitatu vya umilisi ambavyo ni;
umilisi wa juu, umilisi kiasi na umilisi hafifu. Viwango hivi vinajadiliwa hapa chini;
2.1.1 Umilisi wa Juu
Umilisi wa juu ndio upeo wa juu katika umilisi wa lugha. Katika sehemu hii wanafunzi
walipewa maswali na wengi wao walidhihirisha kuwa na umilisi wa ha1i ya juu kwa
kupata alama kati ya 20- 30 kwa jumla ya a1ama 30. Ni wawili tu waliokuwa na alama
40% na 26.67%. Fraser (1959), anadai kuwa katika kila kiwango cha umilisi kutakuwa
na tofauti katika matokeo ambayo huweza kuelezwa kwa sababu tofauti tofauti. Haya
ndiyo matokeo ya wanafunzi wa1iojibu hojaji;
(2.1) Marokco ya Wanafunzi Waliojaza Hojaji (katika asilimia)
shule Jdadi ya Alama ya juu Wastani Alama ya
wanafunzi chini
KisumuGirls 25 86.66 70 50
Maranda 25 91.67 59.03 40
Rapogi 25 93 76.69 56.66
Matokeo haya pia yameonyeshwa kwa alama mbalimbali kama yafuatayo:
Alama A A- B+ B B- c+ C c- D+ D D- E
Shule
KG
7 8 2 4 2 ".) 0 0 0 0 0 0MAR 4 2 2 4 2 2 4 4 0 0 0 0
RAP 13 3 2 2 1 2 1 0 0 0 0 0
ACORO 6 7 4 5 0 2 0 1 0 0 1 0
Jumla
30
20
10
15
5
95
5
0
0
1
0
Matokeo ya utafiti yalibaini kwamba, kati ya wanafunzi 100, wanafunzi 80 walipita
vizuri, 9 walikuwa na alama za wastani na 11 walipata alama za chini. Katika kitengo
hiki, wanafunzi wana ujuzi wa hali ya juu ya lugha yaani wana umilisi bora wa lugha.
Burke (1966), anaeleza kuwa kila mtoto anazaliwa na uwezo wa kupata lugha yoyote
kimiujiza kwa urahisi na kwa kasi mno. Si kwa kuwekewa masharti au kupewa
vishawishi, kwamba kwa kutafsiri usemi anaokumbana nao baadaye anakuwa mweledi.
Wanafunzi hawa hujipata katika mazingira ambapo wao huzungumza na kuandika kwa
Kiswahili kila wakati. Zifuatazo ni baadhi ya sifa za wanafunzi katika kiwango hiki:
1. Wanafunzi wana uelewa wa hali ya juu wa lugha husika, Chomsky (1965), anaeleza
kuwa Saruf Zalishi (SZ) inaeleza tungo zote ambazo zinaweza kuzalishwa katika lugha
fulani, Wanafunzi waliweza kudhihirisha kwa kuzalisha sentensi tofauti tofauti. Katika sw.
la 17 la kueleza aina za sentensi, mwanafunzi 67 alitunga sentensi sahili kuwa; Mama
analima. Scntensi ambatano kuwa; Baba anakula huku Maria anatazama runinga.
Sentensi changamano kuwa; Ng'ombe aliyepotea amepatikana.
11. Wanafunzi wana uwezo wa kutumia miundo tofauti tofauti ya tungo. Wanafunzi
waliweza kubainisha aina za maneno katika sentensi. Finch (2003), anaeleza kwamba
aina za maneno. Pili, uwezo huo umo ndanil ubongoni. Kwa mfano, katika swali la 14
(kiambatisho
La! Uwanja wa
C); Bainisha aina za maneno katika sentensi hii;
maji sana
I
N
v
kuchezea kandanda umelowa
T N T N E
(2.2) Jedwali: Lo! Uwanja wa Kuchezea Kandanda Umelowa Maji
Alama Utukiaji Asilimia
2 2
2 2
3 3
9 9
13 13
19 19
36 36
17 17
100 100
o
1.5
2
2.5
3
3.5
4
Jumla
Katika jedwali hili, asilimia 36 ya wanafunzi walipata alama tatu na nusu, asilimia kumi
na saba ndio waliopata alama zote nne. Hata hivyo, kuna asilimia mbili pekee ambao
hawakupata jibu sahihi dhihirisho kuwa viwango ni tofauti. Asilimia 84 walipita ilhali
16% pekee ndio walioanguka.
Ill. Ni wale walio na ubunifu mkubwa katika matumizi ya lugha. Mhimili wa kwanza
unasema kuwa SZ hunuia kueleza uwezo au umilisi wa mzawa wa lugha. Kulingana na
Dell (1962), umilisi kamili huonyeshwa kwa ubunifu mkubwa katika matumizi ya lugha.
(2.3) Kielelezo cha Kurekebisha Sentensi. Rekebisha sentensi ifuatayo;
---Waya yangu imepotea
13
• Nunge
• Mbili
87
Katika swali hili 87% walipata jibu sahihi. Asilimia 13 wakakosa jibu. Kwa mfano, wengi
walipata jibu kuwa; Waya wangu umepotea.
IV. Wana ujuzi wa sheria zinazotawala lugha husika. Chomsky (1965), umilisi ni mfumo wa
sheria za lugha, unaeleza ujuzi wa sheria. Kwa mfano, hali ya umoja na wingi,
mnyambuliko wa vitenzi na kadhalika. Kwa mfano, katika swali la 15 (kiambatisho c),
majibu yalikuwa hivi;
(2.4) Kielelezo katika Jedwali: Kuandika kwa Umoja
Miche hii ni mizuri sana, itafaa
10090
80 .~ 70
.2 60
IU
s:: 50
;
!:
.
40 I!Q 30 ~
IU 20 :E 10
1
o
~~---~----~--~---87 .Idadi 9 3 1o
1 1.5 2Alama
Katika swali hili wanafunzi 87% walipata alama zote mbili ilhali 9% hawakupata jibu
sahihi.
Awe na uwezo wa kufasiri baadhi ya semi kuwa na usarifu japo hajawahi kuzisikia
hapo awali. Katika kategoria hii, ni wale ambao kulingana na Berko (1958):
a. Hawajaathiriwa na vigezo visivyofaa kisarufi. Kwa mfano, swali la 13 (iii) Rekebisha
sentensi hii: Humu ndio natokapo. Wengi wao walipata jibu kuwa; Humu ndimo
natokamo au Hapa ndipo natokapo. 56% walipata alama zote, 28% wakapata alama
mojana nusu na 16% wakapata alama moja.
b. Berko aliongezea kuwa wazungumzaji wenye umilisi wa juu ni wale hawajaathiriwa
na vikwazo vya kumbukumbu. Wanafunzi wengi waliweza kukumbuka mada zote
walizofundishwa siku moja, mbili au wiki moja au mbili zilizotangulia. Wanafunzi
wana uwezo wa kukumbuka kanuni na sheria za lugha ya Kiswahili.
c. Kigezo kingine ni kutomakinika darasani. Wanafunzi kuwa na usikivu wa hali ya juu
ndiposa waweze kuelewa na kukumbuka mafunzo. Kwa mfano, katika swali la 10; Je,
unawcza kukumbuka mada ulizofundishwa jana--- juzi ---- wild i1iyopita?----
-Majibu yao yalionyesha kuwa wengi waliweza kukumbuka waliyofundishwa hata
wiki iliyopita. Kwa mfano, mwanafunzi na. 67 alijibu; Jana- Aina za nyimbo, juzi
-Shairi, Wiki i1iyopita - Muhtasari.
d. Wanafunzi hawa pia hawajaathiriwa na kuhamisha uzingativu na matarajio yao. Kuna
wale wanafunzi ambao hawawezi kutulia katika somo kwa saa moja au mbili
mfululizo. Wakati mwingine wao hukinai somo hila na kufunga bongo zao.
VI. lsitoshe, wanafunzi katika kiwango hiki ni wale wanaoweza kudondoa sentensi
ambazo si sahihi na zile ambazo ni sahihi katika lugha husika. Kwa mfano, swali la 13
(ii) Rekebisha sentensi: Chumvi kiko katika mezani. Matokeo ya utafiti
yalionyesha kuwa asilimia 70 waliweza kupata alama zote mbili. Walidondoa kosa la
vii. Waliweza kutambua utata katika baadhi ya sentensi husika. Kwa mfano, katika swali la 14
la kubainisha aina za maneno katika sentensi, waliweza kubaini neno Lo! Kuwa ni
kihisishi.
Vlll. Kulingana na uchunguzi alioufanya Cazden (1967), miongoni mwa watoto Wanegro, anadai
kuwa watoto wa tabaka la juu huwa na umilisi wa lugha zaidi ya wale wa tabaka la chini.
Aghalabu umilisi huu hupatikana hasa watoto wanapovunja ungo ama wanapobaleghe.
Wakati huu huwapata watoto wengi wakiwa katika shule za upili kwa hivyo wao hujenga
umilisi wa hali ya juu.
IX. Watoto wanaozaliwa katika familia za uwililugha au wingi lugha pia huwa na nafasi nzuri ya
kuwa na umilisi bora kuliko wanafunzi wengine (Cazden, 1967). Wanafunzi wengi waliojaza
hojaji walikuwa katika kiwango hiki kama inavyoonyeshwa katikajedwaii hili;
(2.5) Alama za Wanafunzi katika Viwango vya Umilisi
Shule Umilisi wajuu Umilisi kiasi Umilisi hafifu
•
Ala. kati ya 20-30 Alama 15 -19 Alama 01 -14
Kisumu Girls (%) 88% 8 3.8
Agoro sare (%) 88 8 4
Rapogi H. (%) 84 12 4
Maranda (%) 84 12 4
Matokeo yanaonyesha kuwa asilimia kubwa ya wanafunzi walipata zaidi ya 84%.
2.1.2 Umilisi Kiasi
Hawa ni wanafunzi ambao walidhihirisha umilisi wa wastani yaam umilisi wao 111
wastani. Walionyesha sifa zifuatazo;
I. Katika kiwango hiki, wanafunzi walipata alama kati ya 15 - 19 juu ya alama 30
11. Katika kiwango hiki, wanafunzi wanaweza kutazama na kuelewa kanuni za kiisimu lakini
anaeleza kuwa katika kila kiwango cha uwezo kutakuwa na tofauti katika matokeo
ambayo huweza kuelezwa kwa sababu tofauti tofauti.
Ill. Uelewa wa wanafunzi huwa wa kiasi tu. Kwa mfano, waliweza kutambua aina mbili za
sentensi na kueleza vizuri lakini wakashindwa kueleza aina ya tatu.
IV. Ubunifu wao ni wa kiwango cha wastani. Kwa mfano, katika kuandika aina za sentensi,
baadhi yao walishindwa kutunga sentensi changamano. Asilimia 64 walipata aina zote
tatu za sentensi, 20% walipata alama za wastani na 16% walipata alama mbili pekee.
v. Wanafunzi hujifunza kwa kukariri, baadaye wanakuwa na mazoea. Kwa mfano, baadhi
ya wanafunzi waliandika aina za maneno kwa maneno wala sin kwa ishara. Kwa mfano,
mwanafunzi na. 58 aliandika, Lo!- kihisishi, uwanja- nomino, wa- kivumishi,
kuchezea- kitenzi, kandanda- nomino, umelowa- kitenzi, maji- nomino na s
ana-kielezi,
VI. Wanafunzi wana uwezo wa kutumia baadhi ya sheria za lugha. Leech (1974), alisisitiza
umilisi wa sheria za lugha. Kwa mfano, kuandika hali ya umoja ya sentensi. Waliweza
kubainisha aina za maneno katika sentensi. Kwa mfano, asilimia tatu za wanafunzi
walipata alama moja na nusu katika swali 15 katika kielelezo (2.4). Katika swali la 14
asilimia tisa walipata alama mbili na asilimia kumi na tatu walipata alama mbili na nusu
kama ilivyo katika kielelezo (2.2).
VII. Huweza kukumbuka mada walizofundishwa katika siku chache kama siku mbili
zilizopita,
2.1.3 Umilisi Haflfu
Hiki ni kiwango cha umilisi mdogo wa mzungumzaji wa lugha husika. Wanafunzi walio
na umilisi hafifu walionyesha sifa zifuatazo;
1. Katika kiwango hiki, wanafunzi wana uelewa mdogo sana wa lugha. Kwa rnfano; wengi
11. Hawa walipata alama kati ya 0- 14 juu ya jurnla ya alama 30.
111. Wanafunzi hawana ubunifu wa kutosha kwani wana makosa ya kufanya tafsiri si si si.
Kwa mfano, katika jedwali (2.4) 13% walikosa jibu. Wengi walipendelea kuandika
majibu yao katika ngeli ya I-ZI. Asilimia 27 walikuwa na kosa la kutozingatia nge1i.
IV. Kutoweza kutumia miundo tofauti tofauti ya tungo. Walivuruga muundo wa sentensi.
Kwa mfano, katika swali la 12,wengine walitoajibu lifuatalo; Ng'ombe yule alizalishwa
ndama mkubwa jana badala ya Ndama mkubwa alizaliwajana na ng'ombe yule.
v. Kutozingatia baadhi ya sheria zinazotawala lugha. Katika sw. "la 12 (ii), wengine walitoa
jibu kama; Mavu hawa wamemsumbuliwa Nyatoge kwa muda mrefu sana.
VI. Kukosa kudondoa sentensi ambazo si sahihi na zile ambazo ni sahihi. Kwa mfano, katika
sw 13 (ii), asilimia 13 walipata sufuri. Taz. Jedwali la (2.3).
2.2 Viwango vya Utendaji
Utendaji ni utumiaji wa ule uwezo wa kiisimu katika muktadha halisi. Kulingana na
Bloomfield (1927), anaamini kuwa kuna viwango tofauti tofauti katika umilisi na utendaji
baina ya wanajamii lugha moja. Anaeleza kuwa viwango vya utendaji huathiriwa sana na
hali ya kijamii. Kategoria hii imegawanywa katika viwango viwili ambavyo ni; utendaji
wa juu na utendaji kiasi. Matokeo ya wanafunzi waliohojiwa yalionyesha kuwa wanafunzi
wengi walijua kuzungumza na kuandika vizuri kwa Kiswahili. Pia walidhihirisha umilisi
wao wa lugha katika majibu waliyotoa. Kuna vigezo kadhaa ambavyo vinadhihirisha
viwango vya utendaji kama vile:
1. Wanafunzi wanaweza kudhihirisha umilisi wao wa lugha katika utendaji.
11. Alama za wanafunzi katika hojaji zilitumiwa kuonyesha viwango vya utendaji ..
111. Utendaji humwezesha mzungumzajr kubadilisha tungo na kuzitumia vilivyo kutoka
mtindo mmoja hadi mwingine.