MANDHARI KATlKA HADITHI FUPI: ULINGANISHAJI WA
DIWA I ZA PENDO LA HEBA NA HAD/TH/ NYINGINE A
MlZllNGU YA MANABH NA HADITHI NYJNGINE.
E
TT'
E
TASINIFU
YA
MUUSYA JUSTUS KY ALO CSO/CEl13896/09
I'TASNIFU HII IMEW ASILISHW A ILl KUTOSHELEZA BAADID YA MAHITAJIYASHAHADA YAUZAMILIKATIKA IDARA YA. KlSWABII.ly CD 0 KUru CBA KE TI
\(
"
U
I
E.
S'
L
R
2012
IKIRARI
Tasnifu hii ni kazi yangu mwenyewe na halijatolewa kwa mahitaji ya shahada katika . chuokikuuJringine chochote.
Sahihi ~ ~... Tarehe.~.'.J.~.~.)..~.~.~ Muusya Justus Kyalo
Wasimamizi
Tasnifu hii imetolewa katika Chuo Kikuu cha Kenyatta kwa idhini yetu kama wastmamlZl
Sahihi. . ~ .•.••....
-
.Tarehe...
2!.{./JL.["J--D
I
L-Prof Kitula King'ei,
SHUKRANI
Kwanza namshukuru Mola kwa kunipa kipawa eha usomi na kunifungulia nafasi ya kupata elimu katika mazingira ambayo yaIilruwa adui mkuhwa waelimu. Nawapongeza pia wazazi wangu kwa kunivumilia nilipokuwa nashughulikia utafiti huu. Aidha nasema kongole kwa mwalimu na mwandani wangu Moses Wambua, kinara wa shule ya upili ya Kangii kwa kuwa mwanga katika maisha yangu ya kielimu, na kwa kunishajiisha kujizatiti maishani kando na kuamini kuwa nilikuwa na uwezo mkubwa kiusomi.
Vilevile namvulia kofia mpenzi wangu Ann kwa kunivumilia nilipokuwa najishugbulisha na utafiti huu. Nilifurahia jinsi ambavyo ulikuwa unanikumbusha kuendeJea na utafiti hasa mambo yahpotokea kuwa magumu..Aidha uliehangia sana utafiti wenyewe kwa kuhakikisha kuwa utafiti uliwafikia wasimamizi wangu kwa wakati uliofaa,
Nitakuwa mtovu wa fadhila iwapo sitawapongeza wasomi wenzangu tulioshirikiana
mkikimkiki kufanikisha masomo yetu ya shahada ya uzamili. Ushirikiano wetu huo
ulinifaa sana Hawa walikuwa engi, Mifano yao ni kama vile Peter Ndwiga, Walter
Webhuka,Robert Ombaye, Joyce Muema, Leah Mwangi, na Martha Aberi.
Aidba shukrani zangu za dhati ni kwa marafiki na washirika wangu wa karibu kwa
kunifaa kwa hali na mali. Bw. Musyoka na Bi. Mwanzia wote wa shule ya upili ya
Kaluva walinipa moyo pamoja na ushauri kuhusu utafiti katika kiwango hiki, Pokeeni
shubani zangu. ViJeviJe ushirikiano wangu na Bw. Kamanda wa shuJe ya upili ya
Mua ulikuwa wa manufaa makubwa katika utafiti huu. Wengine ambao walichangia
ufanisi wa utafiti huu kwa hali na mali ni Francis Kilonzi, Charles Mwonga, Winfred
Munyao, Alex Vundi Mutwa miongoni mwa wengine. WaJionifaa ni wengi mno na
haitawezekana kuwataja wote. Popote mlipo nyote nawashukuru kwa wingi wa
TABARUKU
MpenziAnn:
Nyuma kule tutokako Na mbele kule tuendako Safari yasako kwabako
MAELEZO YA ISTILABI
Diwani: Mikusanyiko ya kazi ya fasihi,kama vile mkusanyiko wa masbairi au mJrusanyiko wa hadithi fupi
Hadithi fupi: Hadithi inayojifunga katika idadi ndogo ya wahusika na tukio fulani maalum.
I !
Mandhari: Mahali au makazi maalum yaliyojengwa na mtunzi na mnamotukia matukio mbalimbali ya kazi ya fasihi.
/
Matumizi ya lugha : Jinsi ambavyo mwandishi hufinyanga lughaili kuwasilisha ujumbe na kuzua athari kwa msomaji.
Ubia: Kufanana kwa vipengele fulani katika kazi mbalimbali za
fasihi.
I'
Upekee: Jinsi vipengele fulani vya kazi za fasihi vinavyotofautina kwa mfano mandhari katika hadithi fupi mbalimbali kuwa tofauti.
Finominolojia:
Nadharia:
Utafiti:
Tajiriba:
Nadharia inayohusu uchunguzi wa miundo ya tajiriba au kazi ya kifasihi kama inavyoonekana na mtazamaji.
Mpangilio wa mawazo au mwongozo uliotungwa hili
kuelekezwa jinsi ya kufanya au kutekeleza jambo fulani kama uhakiki wa kazi za fasihi,
Uchunguzi wa kitaaluma wenye lengo la kugundua ukweli fulani au maarifa
Ujuzi au maarifa aliyo nayo mtu kutokana na kufanya kazi
au kuishi kwa muda mrefu.
IKISIRI
Utafiti huu ulisbugbulikia mandbari katika h3dithi fupi, Utafiti ulizingatia mtazamo
Iinganishi. Katika kuendeleza kazi hii mtafiti aliteua diwani mbili za hadithi fupi, Pendo La Heba na Hadithi Nyingine ya King'ei na Wafula na ile ya Mizungu ya
Manabii a Hadithi Nyingine ya Habwe.
Mandhari ni mazingira ya wahusika katika kazi ya fasihi. Mazingira haya yaweza
kuwa ya kihistoria au yakawa ya kijiografia Kipengele biki ni muhimu sana katika
kujenga kazi yoyote ya fasihi kama vile badithi fupi, Utafiti buu uliongozwa na
nadharia ya Finominolojia, Nadharia ya Finominolojia ni msingi wa kuchunguza vitu halisi, jinsi vilivyo au jinsi vinavyoonekana Inahusu uchunguzi kuhusu mazingira
fuJani ambayo mtu hutagusana nayo.
Data ya kimsingi ilipatikana maktabani kutokana na kazi teule. Aidha mtafiti alisoma
makala, vitabu na tasnifu kupata ujumbe unaohusiana na mada hii, Pia, alizingatia nUandao ili kufahamu masuala ibuka yanayehusiana na hadithi fupi. Data
itichanganuliwa kwa kuzingatia mihimili ya nadharia iliyoteuliwa na matokeo
ABSTRACT
This study aimed at analyzing setting in short stories: a comparative approach. To make the study a success two anthologies of short stories were selected. These are
Pendo fa Heba na Hadithi Nyingine edited by King'ei and Wafula, and Mizungu ya Manabii na Hadithi Nyingine edited by Habwe.
Setting is an environment where characters are found in a literally work. Setting can be historical or geographical. The research was guided by Phenomenology theory.
Phenomenology is the study of real objects,the way they are seen. It involves study in a given environment which surrounds an individual.
Main) the data was obtained.in the library nom the selected text The researcher also read books, thesis, and other materials related to the topic of study. The researcher
will also use the internet to familiarize himself with current issues related to the study.
YALIYOMO
SURA YA KWANZA
YAUYOMO K.
IKIR.ARI , 1
SHUKRANI '" ii
TABAltUKU '" ,. '" iv
MAELEZO YA ISTLAHI v
IKISIRI , viii
ABSTRACT .. , , , '" ...•... ix
YALIYOMO , viii
1.0 Utangulizi 1
I.I Suala la utefiti..; , _. 2
1.2 Maswali ya utafiti ,. 4
].3 Malengo ya utafiti '" ; '" 4
15 Sallabu za kucbagua mada ... 4
\
1.6 Upeo na mipaka , 7
1!7 Misingi yanadharia... 8
1.8 Yaliyoandikwa kuhusu mada , '" . . 10
1.9.0 Mbinu za utafiti , 21
I.9.1 Mabali pa utafiti ... '" ... ... ... ... .... ... ... ... ... ... ... ... ... .... ... ... ... .. 21
1.9.2 Uteuzi wa sarnpuli... 21
1.9.3 Ukusanyaji wadata... 22
1.9.5 Uwasilishaji wa data... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ....... . 23
SURA YAPILI
2.0Utangulizi 25
2.1 Historia ya Hadithi Fupi 25
2.2 Vyombo~Halina Asasi ambazo zimecbangia Ukuaji wa Hadithi Fupi 33
2.3 Migogoro kuhusu Hadithi Fupi 34
2.4 Fafanuzi zaidi za Hadithi Fupi 38
2.5 Uhusiano katiya vipengele vya Hadithi Fupi " 41
2.5.1 Muundo na umbo 44
2.5.2 Dhamira '" 46
2.53 Mtindo _. 47
2.5.4 Mandhari 49
2.6 Hitimisho '" '" .., 50
SURA YATATU I'
3.0 Utangulizi 52
3.1.0 Pendo la Heba na Hadithi Nyingine .... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... 52
3.1.1.0 Pendo laHeba 53
3.].].] Taswira '" .. , ,. '" '" '" '" .. , '" , 53
3.1.1.2 DayoJojia ... ... ... ... ....... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... .... 54
3.1.2.1 Ngano ndani ya hadithi ,. 54
3.1.2.2 Jazanda , 55
3.1.3.0 Jitu 1a Kisasa , 56
3.1.3.1 Ngano ndani ya hadithi... 56
3.1.3.2 Taswira... 56
3.1.4.0 Jabaoamu , , 57
3.1.4.1 Taswira 57
3.1.4.2 Usimulizi 58
3.15.0 Genge __ 59
3.1.5.1 Tashbihi 59
3.1.5.2 Majazi , 60
3.1.6.0 Kisasi 62
3.1.6.1 Usimulizi... 62
3.2.0 Mizungu ya Manabii na Hadithi Nyingine ,.'" 63
3.2.1.0 Mizungu yaManabii __63
3.2.1.1 Kuchanganya ndimi 64
3~2.2.0Dukuduku la Mkimbizi 65
3.2.2.1 Usimulizi __. 65
3.2.3.0 Kutiwa Jando 65
3.2.3.] UsimuJizi 65
3.2.3.2 Majazi 66
3.2.4.0 Siriya Mume 67
3.2.4.2 Dayolojia 67
3.2.5.0 Uchochoro wa Mauti 68
3.2.5.1 Ulinganishi 68
3.2.5.2 Kuchanganya ndimi 68
3.2.5.3 Majazi 69
3.2.5.4 Taswira 69
3.2.6.0 Jua Litawaka 69
3.2.6. 1 Usimulizi 69
3.2.6.2 Cbuku , _.. 70
3.3 Hitimisho 71
SURA YANNE
4.0 Utangulizi 73
1 4.1 Pendo JaHebanaHadithi Nyingine 74
4.].0 Utangulizi _. 74
4.L 1 Pendo la Heba-John Habwe 74
4.1.2 Mtembo-Rayya Timammy 76
4.13 Jitu 1a Kisasa-Wafula R.M 78
4.1.4 Jahanamu-Mwenda Mbatiah 79
4.1.5 Genge-Kitula King'ei , : 82
4.1.6 Kisasi-Catherine Ndungo " '" 84
4.2.0 Mizungu ya Manabii na Hadithi Nyingine '" 85
4.2.1 Mizungu ya Manabii -Emmanuel Mbogo , 85
4.2.3 Kutiwa Jando-Hannah Mwaliwa . 87
4.2.4 Siri ya Mume-Owen Me Onyango '" 89
4.25 Uchochoro wa Manti-John Habwe . 90
4.2.6 Jua Litawaka-Rebeeea Nandwa ,., 91
4.3 Hitimisho 92
SURA YATANO
5.0 Utangulizi '" , 94
5.1 Muhtasari u.. 94
5.2 Matokeo ya Utafiti , , 98
5.3 Umuhimu wa Utafiti 100
5.4 Changamoto ZiJizoatbiri Utafiti '" ] 0]
5.5Mapendekezo .-102
MarejeJeo 104
SURA YAKWANZA
1.0 Utangulizi
Hadithi fupi ni mojawapo ya tanzu za fasihi andishi. Mohamed (1995:95) anasema
kuwa utanzu huu wa hadithi fupi ni utanzu wenye mkanganyo mno na hasa
unapolinganishwa na utanzu wa novela au riwaya Hii ni kwa sababu japo tanzu hizi
tatu butumia lugba ya nathari,badithi fupi agbaIabu huwa na tokio moja tn.
Ntiba (2011) anaeleza kuwa utanzu wa hadithi fupi za Kiswahili una historia fupi
zaidi katika fasihi ya Kiswahili ukiJinganishwa na tamthilia, riwaya na ushairi.
Anaongeza kuwa baditbi fupi ya kisasa katika Kiswahili ni maendeleo ya jamii. Li ha
ya uchanga wake, huu ni utanzu ambao unaendelea na kukua kwa haraka sana, Hii
ndio maana utafiti huu ulidhamiria kuchunguza jinsi matumizi ya lugha hujenga
mandhari katika hadi1bi fupi
Kulingana na Mohochi (1997) utanzu wa hadithi fupi umepuuzwa, Hata hivyo
anasema ni utanzu muhimu sana kwa jamii ya leo kama tanzu zingine za fasihi
I'
andisbi Naye Wamitila (2002:61) anahoji kuwa baditbi fupi huitwa hivyo kwa sababu
husimuliwa kwa ufupi. Kutokana na sifa hii, wahusika wake huwa wachache.
Mandhari aghaJabu huwa ni moja Maudhui yake pia huwa ni finyu, sambamba na
matumizi ya Iugha Upekee kama huu unaufanya utanzu huu kijitegemea na
kutofautishwa na riwaya au hata novela, Kwa hivyo utafiti huu ulichunguza upekee
Katika nchi za Magharibi, inakisiwa kwamba utanzu wa hadithi fupi ulizuka miaka
mia hamsini iliyopita Naye McOnyango (2006) anasema kuwa utanzu wa hadithi fupi
katika Afrika Mashariki ulizuka miaka sitini iliopita Kwa mujibu wa Habwe
(2010:7) hadithi fupi imekuwa njia kuu ya kushauri, kuarifu, kutumbuiza kuliwaza, kurekodi habari na kuelekeza katika jamii nyingi. Anaongeza kusema kuwa hadithi
fupi hnweza kushughulikia jambo lolote mradi liwe linasibu maisha ya binadamu.
Hivyo basi utafiti ulikusudia kuchunguza ni kwa jinsi gani mandhari huchangia katika
kuwasilisha ujumbe wa mwandshii katika hadithi fupi.
Mara nyingi wahusika katika hadithi fupi hawabadilishi mazingira. Aidha, mandhari katika hadithi tofauti huweza kulingana, Pia mandhari katika hadithi fupi zingine tofauti buweza kutofautiana Hali kama hii ndiyo ilimpelekea WamitiJa (2002:180)
akimnukuu Derrida kudai kuwa matini moja husoma matini nyingine. Hapa Derrida
aIinuia kumaanisha kuwa kueleza mandhari ya hadithi fupi moja hukusaidia katika
kuielewa mandbari katika badithi nyingine. Ni kutokana na ukweli huu ambapo utafiti
huu ulikusudia kuchunguza mandhari katika hadithi fupi kwa kuzingatia mtazamo
linganishi. Utafiti ulionyesha mwingilianomatini kwa misingi ya mandhari.
Japo hadithi ni utanzu wa kale zaidi katika jamii baada ya ushairi, umuhimu wake
ndio umepata kubainika na kutbaminiwa Utunzi wake vileviJe ndio umeweza Jrushika
kasi.Aidha uhakiki wake umeanzakutiliwamaanani. Ni katikamuktadbahuu ambapo utafiti buu uJikusudia kuhakiki mcbango wa mandbari katika kuwasilisha maudbui ya
1.1 Suala la utafiti
Utafiti huu ulijishughulisha na uchunguzi wa mandhari katika hadithi fupi teuJe.Suala
Ja mandhari ni muhimu katika usomaji na uhakiki wa kazi za kifasihi kama vile
hadithi fupi za Kiswahili. Maudhui yanayosawiriwa hufungamana na mandhari.
Aidha, matumizi ya Jugha ndiyo buwezesha mandhari kujengwa kwa jinsi fulani. Mwandisbi wa hadithi fupi anatumia ubanaji katika utunzi wake.
Kwa sababu hii uchunguzi huu ulidhamiria kubainishajinsi ambavyo lugba butumika
katika kujenga mandhari ya badithi fupi, Mandhari ni mabali au makazi maalum
yaliyojengwa na mtunzi na mnamotukia matukio mbalimbali ya kazi ya fasihi.
Mandhari huwa ni mubimu sana katika kazi za fasihi, Hii ni kwa sababu ni katika
mazingira haya ambapo wahusika hupatikana. Wahusika ndio hutumiwa na
mwandisbi kuwasiJisha ujumbe wake. Mathalan ikiwa mandhari imechorwa yenye
nyumba duni zilizochafuka na ambazo ni kuukuu inamaanisha kuwa mandhari hiyo
inatumiwa kuwasiJisba maudhui ya umaskini, Hivyo basi, utafiti buu uJicbunguza
mchango wa mandhari katika Jruwasilisha ujumbe wa mwandishi
Aidha, usomi awali uliweza kubainisha kwamba hakuna utafiti ambao tayari umefanywa kuhusu mandhari katika badithi fupi na jinsi mandhari hiyo bujengwa na
matumizi ya lugha Utafiti huu vilevile uJilinganisha usawiri wa mandhari wa
waandishi mbalimbali wa hadidhi fupi.Ulilinganisha pia na kubainisha jinsi uteuzi wa
1.1 Maswali ya utafiti
Utafiti huu uliongozwa na maswali yafuatayo:
a) Je,kuna tofauti jinsi waandishi wanavyosawiri mandhari katika hadithi fupi?
b) Ni ubia gani wa matumizi ya lugha unaojitokeza katika hadithi fupi?
c) Ni kwa njia gani mwandishi wa hadithi fupi huonyesha upekee katika matumizi yake ya lugha?
1.2 Malengo ya utafiti
Utafiti huu ulilenga:
a) Kudhihirisha jinsi waandishi wanavyosawiri mandhari katika hadithi fupi.
b) Kubainisha ubia katika matumizi ya lugha ya waandishi tofauti katika hadithi
fopi
c) Kuthibitisha kuwa kila mwandishi wa hadithi fupi huwa na upekee katika
matumizi yake ya lugha.
l.3Sababu za kuchagua mada
Ari' ya kushughulikia mada hii ilitokana na sababu mbalimbali. Kwanza baadhi ya
wabakiki kama vile Wamitila (2002), McOnyango (2006), Mbatiah (2000) na Habwe
(2010) wanataja kuwa aghalabu hadithi fupi huwa na mandhari moja isiyobadilika
badilika, Wanaonyesha pia kuwa matumizi ya lugha ya waandishi wa hadithi fopi ni
fiDYU.Ufinyu huu huwa DI kwa vipengele vyote vya hadithi fupi. K wa sababu hii,
lugha ya waandishi wa hadithi fupi. Utafiti ulibainisha kuwa kukiwa na ufinyu huu
ujumbe wa mwandishi huweza kuwasilishwa kikamilifu kwa hadhira lengwa.
Pili. mtafiti alichagua mada hii kwa kutambua kuwa mandhari ni muhimu katika
kuelewa ujumbe katika hadithi fupi. Hii ni kwa sababu kipengele hiki huwa ni
muhimu katika kuwasilisha maudhui Kwa sababu hii ikawa muhimu kuchunguza
mandhari mbalimbali na matumizi ya lugha katika hadithi fupi.
Tam, usomajj awaJj umebainisba Jruwa tafiti nyingi zi]jzofanywa kuhusu vipengele
vya kazi za fasihi zinahusu tanzu za riwaya, tamthilia na ushairi. Zilizofanywa kuhusu
hadithi fupi ni chache. Kwa mfano, Ntiba (2011) ametafiti kuhusu dhamira na mtindo
katika hadithi fupi. Hii ina maana kuwa pameJruwa na haja ya tafiti zaidi kufanywa
Maoni ya Mohochi (1997) ni kuwa utanzu wa hadithi fupi umeonewa sana kwa
misingi ya utafiti na uhakiki. Maoni haya yanashabihiana na ya Msokile (1992).
Msokile anaeleza kuwa utanzu huu haujashughulikiwa kikamilifu, Anaongeza kusema
kuwa hata wataalam wachache waliojaribu kushughulikia utanzu huu kwa ajili ya
ulmkiki hawajaweza kuzama. Ni kutokana na kauli kama hizi ambapo mtafiti
alichagua mada hii ili aweze kutoa mchango katika kupanua mawanda ya uelewa wa
utanzu huu.
Nne, kwa mujibu wa Mbatiah waandishi wengi hawachukulii utanzu wa hadithi fupi
yanashikiliwa na Wamitila (2002:66). Huyu anasema kuwa kazi za kwanza za
waandishi maarufu wa fasihi ya Kiswahili zilikuwa ni hadithi fupi. Anapiga hatua na
kuma mifano ya waandishi kama baa. Anataja Zainabu Burham, MS. Mohamed na S.A. Mohamed . Hii ni sababu nyingine iliyopelekea mtafiti kuchagua mada hii ili kuendeleza utanzu huu. Utafiti u1ithibitisha kuwa utanzu wa hadithi fupi
unajisimamia kwani husawiri mandhari na kuzingatia matumizi ya lugha kama tanzu
zingine za fasihi andishi.
Tano,jamii hubadiJika kadiri ya wakati. Jinsi jamii inavyobadiJika ndivyo mandhari
inavyobadilika. Vivyo hivyo, usawiri wa mandhari katika kazi za fasihi hubadilika. Kati ya mambo yanayochangia kubadilika kwa jamii, na hivyo mandhari ni maendeleo
ya kiteJrnoJojia Katika misingi hii, mada hii iJiteuJiwa ili kuchunguza mandhari na
mabadiliko yakekama yanavyosawiriwa katika hadithi fupi.
Sababu ya sita na ya mwisho ya kuchuguliwa kwa mada hii ni kwamba matokeo a
utafiti yatakuwa ya manufaa sana kwa wanajamii. Kwa mfano, matokeo yatawafaa
I'
waandishi wa hadithi fupi na fasihi ya Kiswahili kwa jumla, Hii ni kwa sababu utafiti ulipendekeza njia bora zaidi za kusawiri mandhari katika uandishi. Ulibaini pia njia
bora za kutumia lugha hasa katika hadithi fupi. Waandishi na wasomi wengine wa
fasihi nao watanufaika na mbinu nyingine za kuhakiki mandhari na matumizi ya Jugha
1.4 Upeo na Mipaka
Utafiti huu ulichunguza mandhari zinazosawiriwa na waandishi wa .hadithi fupi
pamoja na matumizi ya Jugha ya waandishi hawa Diwani zitakazotumiwa niPendo La
Heba na Hadithi Nyingine (1996) ya King'ei na Wafula na Mizungu ya Manabii na
Hadithi Nyingine (2010) ya Habwe.
Suala hili lilishughulikiwa katika muktadha wa hadithi fupi kumi na mbili kutoka
katika diwani hizi mbili. Diwani hizi zina vipengele ambavyo vilituwezesha kupata
data ya JrusbughuJikia katika utafiti huu, Hadithi mahsusi zilitungwa na watunzi
tofauti ambao walisawiri mandhari tofauti. Aidha, matumizi yao ya lugha ni tofauti
kutegemea malengo yao. Diwani hizi pia zilihaririwa na watunzi maarufu katika
ukanda huu wa Afrika Masbariki. Katika kila hadithi iliyoteuJiwa, mandhari
iliainishwa na kuchunguza matumizi ya lugha ambayo waandishi walitumia kujenga
mandhari katika kazi zao.
Uteuzi wa diwani hizi ulifanywa kimakusudi kwa sababu kadhaa Kwanza diwani
m6ja ni ya awali (1996) na nyingine ni ya hivi majuzi (2010). Tafauti hii ya kiwakati
-ilikuwa ni muhimu hasa kwa sababu utafiti huu ulizingatia mtazamo linganishi Pili.
mandhari ya hadithi hizi ni tofauti kwa sababu ni za waandishi tofauti. Hii ina maana
kuwa waandishi hawa na hata wahariri ni watu waliokulia katika mazingira tofauti na
hasa katika maeneo tofauti. Aidha, ni za watu walio na tajiriba inayotofautiana katika
1.6.0 Misingi ya Nadharia
Utafiti huu uJiongozwa na Nadharia ya Finominolojia,
1.6.1 Nadharia ya Finominolojia
Neno Finominolojia linatokana na maneno mawili: "finomina" na "olojia". Finomina
ni vitu haJisi jinsi viJivyo. Olojia ni uchunguzi. Hivyo basi Finominolojia ni
uchunguzi wa vitu. halisi jinsi vilivyo au vinavyoonekana, Ni uchunguzi kuhusu
mandhari fulani ambayo mtu. hutagusana nayo. Ni uchunguzi wa jinsi vitu
vinavyoonekana au vitu kama vilivyo kuJingana na anayevitazama.
Kulingana na Oxford Advanced Learner's Dictionary (2005:1089) Finominolojia ni
tawi la falsafa linalohusiana na mazingira ya tu.nachoona, tu.nachohisi na kadhalika
kinyume na kile kiJichoko au ukweJi uJioko kuhusu uJimwengu. UkweJi ni kuwa
mwandishi anaposawiri mandhari.fulani kama vile katika hadithi fupi huwa anaeleza
tajiriba yake na ya jamii inayomzunguka Finominolojia huweza kuelezwa kama
sayansi ya haJi haJisi Hapa kuna suaJa la ithibati. Ithibati ni dhana inayoonyesha
kupatikana kwa ukweli kupitia kwa mawazo ya mtu..
Mwasisi mkuu wa Nadharia ya FinomiJojia ni Edmund HusserJ aJiyepata wafuasi
wengi katika Chuo Kikuu cha Gottingen na Munich nchini Ujerumani. Baadaye
nadharia hii ilienea Ufaransa na hata Marekani na kwingineko. Waasisi wengine
Heidegger, Jean Paul Satre, Mourice Merleau-Ponty, Edith Stein, Max Scheler, Nicolai Hartmann, Eric Voegelin miongoni mwa wengine wengi.
Wasomi wa baadaye wa nadharia hii walisema kwamba maelezo kuhusu
Finominolojia yapaswa huhusisha maana ya vitu au haJi katika mazingira yetu kama
vile mabdcio,vita, ala,na wakati kama tunavyogusana navyo. Kulingana na Nadharia
ya Sayansi ya Auguste Comte Finominolojia ni uchanganuzi wa uhalisia ambao
sayansi yoyote ingeeleza,
Mihimili ya Nadharia ya Finominoloji ni pamoja na:
1. Kuchanganua aina ya mandhari kwa kuhihusisha na muktadha unaohusika, 2 Kuchanganua aina ya mazingiJa kwa kuzingatia sifa zake za kimsingi na
kuzieleza.
3. Kujihusisha na kuchunguza vitu huru katika haJi haJisi.
4. Kuchunguza jinsi maana inavyopatikana katika mandhari yetu inatokana na
matukio ya kihistoria yanayokusanyika kwa kipindi kirefu.
I'5. Kuhusika na kuchanganua hali halisi ya uelewa na dhamira, kwa kukisia kuwa
hutokea katika ulimwengu asili,
Katika kazi za fasibi vipengele kama vile mandhari na matumizi ya lugha baviwezi
Utafiti huu ulitumia mihimili mitatu ya nadharia hii. Kwanza ni kuwa
Finominolojia huchunguza jinsi maana kama inavyopatikana katika mandhari yetu
inatokana na matukio ya kihistoria yanayokusanyika kwa kipindi kirefu. Mhimili
huu ulitumiwa kueleza mchango na maana ya mandhari katika hadithi fupi.
Mbimili wa pili unahusu asili ya maana ya vitu vinavyotuzunguka na mandhari ya
mtn, Mhimili hun ulitumiwa kulingaoisha mandhari katika hadithi fupi na
kuonyesha uhusiano wake kimaana.
Mhimili wa tatu ni ule unaosema kuwa Finominolojia huhusisha upunguzaji.
Matumizi ya lugha huweza kuwasilisha maudhui kwa maneno machache. Hapa
mahlmizi ya Jugba katika hadithi teuJe yaJiJinganishwa
1.7.0 Yaliyoandikwa kuhusu Mada
Sahemu hii ilishughulikia yalioandikwa kuhusu mada Dizingatia yalioandikwa
kuhusu hadithi fupi, mandhari na matumizi ya lugha.
1.7.1 Badithi fupi
Misingi ya hadithi fupi inahusishwa kwa kiasi kikubwa na mhakiki wa Kimarekani
aliyeitwa Edgar Allan Poe. Ntiba (2011) anasema kuwa huyu ndiye mwasisi wa
utanzu wa hadithi fupi. Mnamo mwaka wa 1842, Poe alieleza sifa za hadithi fupi
maana kuwa hadithi fupi husomwa kwa kipindi kifupi. Mwasisi mwingine wa utanzu
huu ni Brendar Mathews. Huyu ndiye anaaminika kuwa wa kwanza kutumia neno la
Kiingereza, short story kumaanisba hadithi fupi. Kulingana na Wamitila (2002:66) utanzu huu umekua sana katika fasihi za lugha za Ulaya Hata hivyo, anaongeza
kusema kuwa suaJa hili sio suala la kushangaza kwa sababu fasihi ya Kiswahili bado
inaendelea kukua
Mengi yamesemwa kuhusu utanzu wa hadithi fupi katika fasihi ya lugha ya
Kiingereza Parker (1965:] -88) ameshughulikia maudhui ya hadithi fupi.Ameonyesha
baadhi ya maudhui yanayopatikana katika badithi fupi. Haya ni pamoja na mapenzi,
njaa na kadhalika Kwa mujibu wa Parker, hadithi fupi inayofaa ni ile
inayomwelekeza msomaji kuelewa maisha ya sasa na hata kutabiri ya baadaye.
Bailey (2002) anachangia kukua kwa hadithi fupi kwa kushughulikia vijenzi vya
hadithi fupi. Anaeleza kuwa wakati katika hadithi fupi ni mfupi buku wahusika
wakiwa wacbacbe. Kwa sababu hii, mwandisbi buwa bana uburu waJa nafasi ya
kuwakuza wahusika wake kikamilifu. Naye Mwanzi (1987) anatoa ufafanuzi zaidiwa
sifa za hadithi fupi. Anasema kuwa hadithi fupi za kisasa zina mizizi yake katika ngano.
Baadhi ya wasomi wanakubaliana kuwa hadithi fupi ilijitokeza na kusbugbuIikiwa
kama utanzu wa fasihi andishi katika kame ya kumi Da tisa (McClare:1980 na
ukilinganishwa na riwaya, ushairi na hata tamthilia. Naye Dlamini (1981) anahoji kuwa hadithi fupi za Kiafrika zilikuwa zikitajwa tu katika fasihi ya Kiafrika kwa
,
jumla na uhakiki wake ukapatikana chini ya uhakiki wa riwaya Hapa
kinachosisitizwa sana ni maelezo kuhusu hadithi fupi za Kimagharibi. Hata hivyo,
rnaelezo yanaonyesha baadhi ya sifa za hadithi fupi za Kiafrika.
Kuna baadhi ya wataalamu ambao wameeleza maana ya hadithi fupi katika muktadha
wa Kiafrika. Maelezo haya yalikuwa muhimu kwa utafiti huu. Hii ni kwa sababu diwani za hadithi fupi za Kiswahili ndizo zilizotumiwa katika utafiti. Hata hivyo, ni
watafiti wachache ambao wameshughulikia hadithi fupi katika muktadha wa Kiafrika.
Maoni ya hawa yalishughulikiwa hapa Sengo (1982) arneshughulikia suala la hadithi
fupiza KiswahiJi kwa ujumla Ameonyesba tofauti kati ya utanzu wa hadithi fupi na
tanzu zingine za fasihi andishi kama vile riwaya, tamthilia na ushairi. Aidha, arneshughulikia usahili wa hadithi fupi, ubunifu parnoja na rntindo wake.
Hakuna fasili ambayo inaweza kutufunulia maana ya hadithi fupi kwa muhtasari
kWani zinatofautiana sana katika urefu, maudhui, mtindo na muundo. Kibera (1988) anahoji knwa hadithi fupi ni muhimu sana katika ukanda wa Afrika Mashariki Utafiti
wake pia ni rnuhimu kwani mawanda ya hadithi fupi katika Afrika Mashariki ni
mafupi.Naye Msokile (1992) anajadili maoni ya wataalarnu wengine wa haditbi fupi. Hawa ni pamoja na Saroyan n~ Esenwein arnbao katika ufafanuzi wa hadithi fupi
walisisitiza vipengele vya ufupi na idadi ya maneno. Mtaalamu mwingine ni Mohochi.
Hapa alinuia kuonyesha kuwa hadithi fupi ni utanzu wa fasihi wenye kujitegemea na
wenye kaida mbalimbali zinazoongoza ujenzi wa fani yake.
Mukopi (2005) naye alitafiti ni kwa njia gani sifa za usimulizi zinavyoingiliana na
sifa za uandishi katika hadithi fupi za Kiswabili. Aliweza kukana kuwa hadithi fupi
ilitokana na mazimulizi ya ngano za kale. Utafiti wa Mukopi unatofautiana na utafiti
wetu kwa misingi kwamba utafiti huu ulijikita katika kucbunguza na kulinganisha
mandhari na matumizi ya lugha katika hadithi fupi. Haukujihusisha na masimulizi ya
kale.
Utanzu huu wa hadithi fupi ni utanzu wenye mkanganyo. Kulingana na Mohamed
(1995:94) utanzu wa hadithi fupi huchukua mkondo mmoja usiokuwa na vitawi vingi.
Hii ina maana kuwa bakuna ndani yake masimulizi ambayo bayahusiani moja kwa
moja na mwelekeo wa mkondo mkuu wa hadithi ambayo kwa kawaida inambusu
rnhusika rnrnoja au inawahusu wahusika wacbacbe.
Wamitila (2003:237) pia anachangia kuhusu hadithi fupi kwa kueleza kuwa hadithi
fupi ni hadithi inayojifunga kwa idadi ndogo ya wabusika na tukio fulani maalum,
inayoonyesba mabadiJiko ya sebemu na wakati wa matukio (mandhari) kwa upana na
isiyojiingiza kwenye undani wa wahusika. Wamitila (2002:vii) anapiga batua na
kusema kuwa badithi fupi ni utungo wa kinatbari ambao buwasilisba kisa na ujumbe
kwa kuturnia njia ya mkato na kutegemea ubanifu wa kisa kikubwa, Kimsingi kitu
na mhusika mmoja mkuu au wahusika wawili. Hata hivyo, anachokikumbuka
msomaji wa hadithi fupi sio mhusika bali ni tukio lenyewe. Huku ni kusema kuwa
tokio katika badithi fupi ni muhimu..
Kwa maoni ya Forster (1927:42) hadithi ni masimulizi juu ya matukio yaliyopangwa
kama yalivyotokea kiwakati. Hivyo basi kufaulu kwa mtunzi yeyote wa hadithi fupi
hutegemea uwezo wake wa kubuni na kupanga masimulizi. Akimuunga mkono Ohly
(1992: X) anaongeza kuwa hadithi fupi hujengwa katika tukio lisilo na mawanda
mapana na arnbalo Iirnechotwa kutoka katika jarnii.
1.7.2 Mandhari
Mandbari nirnahali au rnakazi rnaalum yaliyojengwa na rntunzi rnnarnotukia matukio
mbalimbali ya kazi ya fasihi, Njogu na Chimerah (2008:46) wanaeleza kuwa ni
mazingira ya wahusika parnwe na matukio, na inahusu mahali wanamokaa wahusika
na kuingiliana Mazingira haya ni ya kijarnii na ya kiuchumi ya wahusika hao, na nafsi
zao za kitabaka Kufahamu rnandbari kunatusaidia kueJewa hisia, imani, tabia na manmbile ya wahusika. Mandhari pia inatupa mwelekeo kuhusu maudhui.
Mandbari buweza kuwa ni popote. Mbatiab (200]:45) anaongeza kusema kuwa
mazingira yanaweza kuwa nyumbani, njiani au kwenye uwanja wa vita. Ni sura ya
mahali basa ikiwa ya kuvutia Hivyo basi,rnandbari ni rnahali popote arnbapotokio la
Kulingana na Moss na wengine (1987:46) mandhari ni mahali ambapo hadithi
hutokea Huweza kuwa moja au ikabadilika Moss anaongeza kuwa mandhari huwa ni
muhimu sana katika kuelewa hadithi, Aidha, anasema kuwa watu ni sehemu ya mandhari. Hapa tunazingatia jinsi wanavyowaza, wanavyoongea, wanavyovaa na hata tabiazao.
Kwa mujibu wa Wamitila (2003:210) mandhari hutumiwa kueleza sehemu ambako
tendo fulani hutendeka, Neno hili huweza kutumika kwa mapana kueleza pia mazingira ya kiteknoJojia ya tendo fulani Anaongeza kusema kuwa mandbari ina
nafasi na umuhimu 'mkubwa katika hadithi fupi, na kwamba ni lazima msomaji
ajitahidi kuangalia kama kuna uhusiano kati ya mandhari na vipengele vingine vya
utunzi kama wahusika, dhamira, maudhui, ujumbe na kadhalika, WamitiJa anahoji kuwa mazingira huweza kuwa ya kijamii, kitamaduni, kisasa, kihistoria na kadhalika. Hoja hii ina maana kuwa hadithi fupi inaweza kuwa na aina moja ya mandhari au
zaidi kati ya bizi tnlizotaja
I'
Naye Kezilahabi (1983) anahisi kuwa mandhari ni tatizo kubwa kwa waandishi wa
Kiswahili. Anadokeza kuwa kuna mandhari ya aina mbili: mandhari ya kubuni na
mandbari halisi, AnaeJeza kuwa mwandishi anayetumia mandhari ya kubuni tatizo la
mandhari si kubwa kwake. Tatizo ni kwa yule anayetumia mandhari halisi. Aidha,
anaongeza kuwa waandisbi wanaotumia mazingira wanayoyaeJewa vyema huweka
hadbarani matatizo. Kuhamisha wahusika kiholela husababisha mabadiliko ya
Baadaye Wamitila anaongeza kusema kuwa mandhari ni mahali na wakati ambapo
tukio au hadithi husimuliwa, (2007). Mahali hapa hurejelea mazingira ya kijiografia,
kitamaduni na thamani na bata mawazo ambayo yanayatawala mazingira yenyewe.
Anahoji kuwa hadithi fupi inalenga mandhari finyu, ile tu inayohusiana na mgogoro
mkuu. Kisa chenyewe pia hutokea kwenye kipindi kifupi.
Mandhari ya hadithi fupi kulingana na McOnyango (2007) ni lazima iwe mahali
pamoja Hapa pana maana kuwa wahusika katika hadithi fupi hawapewi nafasi ya
kubadilisba mazingira sana Waandisbi mbalimbali butumia mandbari mbalimbali
katika kazi zao za fasihi. Katika riwaya ya Rosa Mistika (1971) Kezilahabi ametumia
mandhari ya shambani katika kijiji cha Ukerewe. Hata hivyo, wahusika wake baadaye
waliweza kubadiJisha mandhari yakawa ya mjini na kadhalika,
Mohamed S.M katika riwaya ya Nyota ya Rehema (1976) ametumia mandhari ya
pwani, kwenye kisiwa, Hapa shughuli za ukulima zinathaminiwa sana Baadaye
baadbi ya wahusika wanabadiJi mandhari. Hata kuna wale wanaoenda UJaya Katika
,-riwaya ya Utengano (1980) Mohamed S.A anatumia mandhari ya pwani. Hata hivyo
wahusika wanabadilisha mandhari kutoka eneo moja la pwani hadi lingine. Kwa
mfano, Maimuna anatoka Liwazoni na 'kwenda Pumziko, Baadaye anaenda Bobea
kisha Futoni na mwisho akaishi Hitama.
Mandhari inayotawala riwaya ya Vipanya vya Maabara (2007) iliyoandikwa na
mandhari halisi ya kijiografia. Hata hivyo, wahusika wanabadilisha mazmgira.
Wanaenda maeneo mengine kama Naivasha Naye Muusya katika Sinema Bila Malipo
(2010) anasawiri mandhari ya kijijini, nyumbani kwa Mzee Nungu. Baadaye baadhi
ya wahusika wanahamia mjini Busia na hata katika taasisi za elimu kama vile Chuo
Kikuu cba Samani,
Kitsao anatumia mandhari ya kijijini katika tamthilia ya Uasi. Hata vivyo, mandhari
hii inabadilika kutoka nyumbani kwa John, kwenda nyumbani kwa Mzee Chande,
nyumbani kwa Nyamawi na hata njiani.
Kuna mazmgira ya kihistoria katika tamthilia ya Mashetani (1971). Matukio
yanayosawiriwa yanafungamana na matukio ya kihistoria yalitokea baada ya
mapinduzi yaliyofanyika visiwani mwaka wa 1964. Katika tamthilia ya Nitoolewa
Nikipenda (1982) Wa Thiong'o na Mirii wanatumia mandhari ya kihistoria, Inahusu
matukio ya wakati wa ukoloni na yale yaliyofuata nchi za kiafrika zilipojinyakulia
uhnm, Mandhari ya kijiogmfia ni mkoa wa kati nchini Kenya
Mberia katika tamthilia ya Maua Kwenye Jua La Asubuhi (2004) ametumia
mandhari ya nchi ya Kiafrika iliyo na makabila mengi. Katika nchi hii vita vya
kikabila hutokea mara kwa mara na watu wengi kuuli a huku mali ikiharibiwa.
Katika diwani ya hadithi fupi ya Arusi ya Buldoza na Hadithi Nyingtne, mandbari ya
hadithi ya "Dakika ya Mwisho" ni kwenye Hoteli. Hoteli hii iliitwa Lover's Corner,
Katika diwani ya Shingo ya Mbunge na Hadithi Nyingine (Wamitila :2007), kuna
hadithi " Tingatinga" ya Mbogo. Katika hadithi hii, mandhari ni ya mjini. Nayo
diwani ya Mimba fingali Mimba na Hadithi Nyingine (McOnyango :2006) kuna
hadithi ya "Mimi Sijui". Hadithi hii inatumia mandhariya uwanjani. McOnyango
anasawiri uwanja uIiokuwa unafanyika Mechi ya kandanda,
Katika diwani ya Kurudi Nyumbani na Hadithi Nyingine (Mbatiah: 2007), Mwangi
anatumia mandhari ya nyumbani katika hadithi "Mioyo ya Chuma". Hapa ni
nyumbaoi kwa Mzee Kakai, Vilevile katika diwani yaMayai Waziri wa Maradhi na
Hadithi Nyingine, (Wamitila : 2004) kuna hadithi ya "Siku ya Mganga". Katika
haditbi hii Mpilipili ametumia mandhari ya mahali pamoja, Ni ya nyumbani kwa
Mganga MwaibaJe. Katika diwani yaMwendawazimu no Hadithi Nyingine, (Mbatiah:
2000) mandhari kuu katika hadithi ya "Jitu la Kisasa" ya Wafula ni nyumbani kwa
Mzee Lomo, katika kijiji cha Lambaka, Hapa ni pale palipokuwa na bafla ya mazishi.
1.7.3 Matumizi ya Lugba
Tafiti na maandishi ya awali kubusu matumizi ya lugha yalikuwa ya umuhimu sana
katika utafiti wetu. Hii ni kwa sababu matumizi ya lugha ni kati ya vipengele
vilivyochunguzwa katika utafiti huu. Wafula na Njogu (2007) wanataja kuwa
matumizi ya lugha hudhihirika katika muktadha maalum. Naye Chesaina (1996:69)
anaeleza matumizi ya lugha kama jinsi ambavyo waandishi hufinyanga lugha ili
mzuri wa hadithi fupi ni yule ambaye matumizi yake ya lugha yatakuwa na athari kwa
msomaji wa hadithi hiyo.
Kwa mujibu wa Wamitila (2003:240) matumizi ya lugha ndiyo nyenzo kuu katika
uandishi wa kifasihi. Anaongeza kuwa matumizi ya lugha ya mwandishi wa hadithi
fupi huathiri kwa kiasi kikubwa jinsi msomaji anavyoathiriwa na kazi hiyo. Mwanzi
(1997) katika tasnifu yake ya uzamifu anashughulikia mtindo wa hadithi fupi za
Ngugi wa Thiong'0, Leonard Kibera na Gtace Ogot. Hapa anazungurnzia matumizi ya
Jugha kama viJe taharuki, mazungumzo na ishara Hata bivyo, ucbunguzi huu
haukuzingatia ulinganishaji wa matumizi ya lugha ya waandishi mbalimbali. Suala
hili ndilo lililoshughulikiwa katika utafiti huu.
Pasipo na matumizi ya lugha mwandishi hawezi kutoa mawazo yake. King'ala
(1985:26) anadai kuwa mwandishi buwezeshwa na matumizi ya lugha kuwasilisha
mawazo yake kwa msomaji wake. Anaendelea kusema kuwa matumizi ya lugha ya
mwandishi yaweza kuwa yanavutia wasomaji au yakawa dufu, ambayo hayawatii
moyo wasomaji. Haya yote hutegemea ufundi wa msomaji katika kutumia lugha.
Hivyo basi, ni matumizi ya lugha ambayo hufanya ujumbe wa mwandishi ueleweke
vyema au usieleweleke na msomaji. Kwa misingi hii, mwandishi rnzuri ni lazima
atumie nahau, methali, tashbihi, isitiari na kadhalika, Kwa kufanya hivyo, uaadishi
Wasomi wengi wanakubaliana kuwa matumizi ya lugha yana shabaha mbalimbali
kutegemea matakwa ya watumiaji wa lugha hiyo. Ukweli ni kuwa msanii huongozwa
na hisia zake au viungo alivyonavyo moyoni vinavyomkereketa na kumlazimisha
aandike mambo yanayomkera ili jamii iweze kuona mgogoro na matazizo yaliyomo
katika jamii na hivyo kutafuta ufumbuzi wa migogoro hiyo.
Matumizi ya lugha ni uteuzi wa maneno maalum na utumiaji wake kwa nia ya
kuelezea vizuri au kudhihirisha ukwasi wa lugha alio nao mtunzi. Kaui na Wafula
(2008) wanaongeza kusema kuwa matumizi ya lugha buonyesha usanii wa
mwandishi. Utafiti huu unanuia kuonyesha jinsi ambavyo matumizi haya ya lugha
huweza kutofautiana kutoka mwandishi mmoja hadi mwingine.
Matumizi ya lugha ya waandishi mbalimbali hutofautiana. Hata hivyo, wakati
mwingine hulingana. Kwa mfano, Walibora (1996) ametumia methali namna kwa
katika riwaya ya Siku Njema. Kezilahabi naye butumia lugba ya moja kwa moja na
ambayo ni nyepesi, kama vile katika riwaya yaRosa Mistika (1971). Mohamed (2010)
ametumia majazi katika riwaya ya Nyuso za Mwanamke. Naye Muusya (2010)
ametumia maswali ya balagha sana katika riwaya yaSinema BilaMalipo.
TamthiJia nyingi za Kiswahili zimeweza kutumia jazanda Hizi m pamoja na
Mashetani (1971), Kifo Kisimani (2001), Maua Kwenye .Jua La Asubuhi (2004) na
Utafiti huu hivyo basi ulinuia kuchunguza mandhari na matumizi ya lugha ya
waandishi mbalimbali katika hadithi fupi. Vipengele hivi pia vililinganishwa ili
kuhaini ulingano na tofauti.
1.8.0 Mbinu za utafiti
1.8.1 Mahali pa utafiti
Utafiti ulifanywa maktabani. Mtafiti aJipitia vitabu, majarida na makaJa nyingine
zinazoonyesha historia na mabadiliko katika hadithi fupi, mandhari na matumizi ya f
lugha. Pia kupitia kusoma maktabani mtafiti alijifahamisha na nadharia ya
Fioominolojia Hii ni nadharia iliyoongoza utafiti hull. Pia aJisoma kazi za awali
.J
zinazohusiana na utafiti huu ili kubainisha yaliyoandikwa kuhusu mada.Aidha, mtafiti
alitumia mtandao ili kubainisha masuala ibuka kuhusiana na mada hii. Hatua hii
ilichangia katika kuimarisba utafiti wenyewe.
1.8.2 Uteuzi wa sampuli
Sampuli katika utafiti huu ilizingatia mbinu kusudio. Hii ni kwa sababu ililenga
diWam mbili, Moja ni diwani iliochapisbwa awali na nyingine ni ya hivi karibuni.
Diwani hizi niPendo la Heba na Hadithi Nyingine (1996) naMizungu ya Manabii na
Hadithi Nyinyine (2010). Tofauti hii ya kiwakati ilikusudiwa ili kuwezesha
uliaganishi kwani utafiti huu ulizingatia mtazamo linganishi. Katika diwani hizi mna
jumla ya hadithi 22. Hapa utafiti ulitumia hadithi 12. Katika kuteua hadithi hizi pia
tulitumia mbinu kusudio. Hii ni kwa sababu hadithi zilizochunguzwa ni zile
ilitosheleza data tuliyohitaji katika utafiti hull. Kutoka kila diwani, hadithi sita mahsusi ziliteuliwa kama ifuatavyo:
Pendo La Heba na Hadithi Nyingine.
Pendo la Heba Uk. 1- 10
Mtembo Uk.27-31
Jitu la Kisasa Uk. 39-43
Jahanamu Uk.44- 50
Genge Uk. 5]-59
Kisasi Uk.66-71
Mi::ungu yaManabii naHadithi Nyingine.
Mizungu ya Manabii Uk. 31-60
Dukuduku la Mkimbizi Uk.61- 80
Kutiwa Jando Uk.81-90
Siri yaMume Uk. 137- 150
Uchochoro wa Mauti Uk. 151- 162
Jua Litawaka Uk. 189-204
1.8..3 ~ kusanyaji wa data
Utafiti huu uliJenga kukusanya data ya kimaeJekezo. Mtafiti aJielezea historia ya
hadithi fupi,jinsi matumizi ya lugha katika hadithi fupi hujenga mandhari na pia jinsi
Katika utafiti huu mbinu iliyotumika katika ukusanyaji wa data ni usomaji wa hadithi
fupi. Hizi ni hadithi kumi na mbili zilizoteuliwa kutoka kwenye diwani teule. Vitabu
vingine, majarida na maandishi mengine kuhusu suala hili la utafiti yalisomwa Tafiti
za awali zenye mada zinazohusiana na utafiti huu zilipitiwa. Katika ukusanyaji wa
data hii, mtafiti aliongozwa na malengo ya utafiti.
1.8.4 Uchanganuzi wa data
Data iliyokusanywa ilichanganuliwa ili kufikia malengo ya utafiti. Uchanganuzi
ulimulika mchango wa matumizi ya lugha katika kujenga mandhari ya hadithi fupi. Uchanganuzi utatumia mtazamo linganishi. Mtafiti alitathmini uhusiano uliopo baina
ya waandishi mbalimbali wa hadithi fupi katika matumizi ya lugha na usawiri wa
mandhari. Aidha katika uchanganuzi, mtafiti aJitatbmini tofauti ilioko baina ya
waandishi tofauti tofauti wa hadithi fupi katika matumizi ya lugha na katika usawiri
wa mandhari.
1.8.5 Uwasilishaji wa matokeo ya utafiti
,-Matokeo ya data iJiyokusanywa yaliwasiJishwa kwa njia ya maelezo kwa kuzingatia
maJengo ya utafiti. Sura ya kwanza ambayo ni utangulizi ilishughulikia maswala ya
kikaida kwa mujibu wa matakwa ya idara ya Kiswahili, Chuo Kikuu cha Kenyatta.
Haya ni mambo kama vile suala la utafiti, madhumuni, maswali ya utafiti, sababu za
kucbagua mada,upeo na mipaka, misingi ya nadharia na yaliyoandikwa kuhusu mada, Sura ya pili ilishughulikia historia na maendeleo ya hadithi fupi. Utafiti uliangazia
tatu ilishughulikia jinsi ambavyo rnaturnizi ya lugha ya rnwandishi hujenga rnandhari
katika hadithi fupi, Sura hii pia iiionyesha kuwa rnaturnizi tofauti ya lugha ya
waandishi tofauti huzua mandhari tofauti tofauti katika hadithi fupi,
Sura ya nne ilionyesha jinsi ambavyo rnandhari irnesawiriwa katika hadithi tofauti. Pia
ilionyesha vile ambavyo rnandhari huchangia katika kuwasilisha rnaudhui ya
mwandisbi wa hadithi fupi, Sura ya tano inaknwa ndiyo ya mwisho. Sura hii
SURA YAPILI
BISTORIA NA MAENDELEO YA BADITHI FUPI KA TlKA KISWABILI
2.0 Utangulizi
Katika sura hii tulishughulikia historia ya hadithi fupi katika lugha ya Kiswahili. Pia
katika sura hii tuIifasiri dhana ya hadithi fupi na kuiweka wazi kwa kuitofautisha na
dbana zingine kama vile novela, riwaya na ngano. Kwa kufanya hivi mlitathmini
fasiri ambazo zimetolewa na wataalamu mbalimbali kuhusu hadithi fupi.
Lengo la utafiti buu lilikuwa ni kucbunguza jinsi matumizi ya lugba bukuza mandhari
katika hadithi fupi na vile mandhari hiyo huchangia katika kuwasilisha ujumbe wa
mwandishi. Utafiti huu uIitumia hadithi fupi teuIe za Kiswabili. Vilevile katika sura
hii tulishugbulikia vipengele vingine vinavyokamiJisbana na kuchangiana katika
kuwasilisha ujumbe wa mwandishi wa hadithi fupi. Vipengele hivi ni pamoja na
dhamira ya mwandishi, wahusika, muundo wa hadithi fupi na kadhalika,
2.t
Bistoria ya Baditbi FupiI'
Wataalarnu arnbao wameweza kujihusisha na ukuaji wa hadithi fupi ni parnoja na
Mbatiab (2000), WamitiJa (2002), Arege (2004) McOnyango (2006) King' ei na Kobia
(2007), Habwe (2010) miongoni mwa wengine. Hawa wameweza kushughulikia "
historia ya fasihi ya Kiswahili hadithi fupi ikiwepo . Kwa mujibu wa wasomi hawa
utaniu mkongwe zaidi ni ushairi. Baadhi yao wanasema kuwa ushairi huo ulikuwa
unasimulia hadithi. Tanzu zingine za fasihi andishi ni riwaya, novella na tamthilia.
Mashairi ya Kiswahili yalianza kuhifadhiwa punde Waarabu walipokuja pwani ya
Afrika Mashariki. Hiki ni kipindi kabla ya miaka ya 900 k.k Wakati huu hati za
KiaIabu ndizo zilitumiwa kuandika mashairi hayo.
Historia ya tanzu zingine kama vile riwaya, novella, tamthilia na hadithi fupi
inahusishwa na nyakati za majilio ya watu wa kutoka Ulaya Magharibi. Hizi ni tanzu
za fasihi cmdisbi.Tanzu hizi ziliweza kuandikwa wakati huo na kuhifadhiwa kwa hati
za Kirumi. Maandishi haya yalianza katika kame ya kumi na sita. Kabla ya wakati
huu,kazi ya nathari iliyopatikana kwa lugha ya Kiswahili ilikuwa ni masimulizi, yaani
ngano kama vile Hekaya za Abunuwasi.
Kuhusu hadithi fupi za Kiswahili Mulewa (2008) anaeleza kuwa utanzu huu unaweza
kueleweka vyema katika muktadha wa historia nzima ya fasihi ya Kiswahili. Fasihi hii
nayo ni ile ambayo imeandikwa pamoja na ile ambayo busimuliwa tu. McOnyango
(2006) anaeleza kuwa utanzu mkongwe wenye ukuruba na ule wa hadithi fupi ni ule
wa hadithi za Waswahili za kupokezanwa kizazi hadi kingine kwa njia ya mdomo;
yaamngano.
Ukweli ni kwamba kila jamii iJikuwa na masimulizi kama haya.
.Habwe (20I0) naye anafafanua kuwa hadithi fupi imekuwa njia kuu ya kushauri,
Anaongeza kusema kwamba katika Afrika, masimulizi yalikuwa yanafanywa jioni
baada ya shughuli za kutwa Katika kila jamii kulikuwapo na wataalam waliokuwa na
ujuzi na uzoefu wa kutamba hadithi. Rata hivyo Habwe amebainisha wazi kwamba
hadithi fupi za kisasa kama tunavyozijua siku hizi hazitokani na masimulizi ya kale
bali zinatokana na athari za fasihi ya Kiingereza.
Wasomi wengine wanakubaliana kuwa hadithi fupi ni hadithi tu, ziwe ni za kisasa
zilizoandikwa au zile za jadi zilizosimuliwa tu. Jinsi ambavyo kila jamii ilikuwa
tofiwti na nyingine ndivyo iJiJruwana bistoria tofauti ya baditbi .
Mhakiki wa Kimarekani Edgar Allan Poe anachukuliwa kama mwasisi wa utanzu huu
wa hadithi fupi pamoja na mhakiki aliyefahamika kama Brander Mathews. Mathews
anaaminika Jruwa ndiye mtu wa kwanza Jrutumia neno Ja Kiingereza "short story"
kumaanisha hadithi fupi. Kulingana na Wamitila (2002) fikira za Poe zinazorejelewa
sana ni zile za mwaka wa 1842.
Mlaka mingi baadaye utanzu wa hadithi fupi za kisasa ndio uliweza kufika katika
eneo la Afrika Mashariki. Zilianza kuandikwa kwa lugha ya Kiswahili katika kame ya
•
20_Kwa mujibu wa McOnyango (2006) tafiti za awaIi kubusu badithi fupi katika
lugha ya Kiswahili zilifanywa na watu kama vile Albert Gerard. Gerard anasema
kuwa tangu miaka ya 1950 tafsiri za KiswahiJi za baditbi fupi za Kichina na Kirusi
kikwetu zinazokaribiana na hizi tafsiri kulifanya kuzipokea kuwa rahisi. Baada ya
kupokea tafsiri hizi, Waswahili walianza kutunga na kuandika hadithi zao fupi.
Mchango wa Mohamed (2005) unatusukumiza kuamini kuwa hakuna mpaka kati ya
hadithi fupi na masimuJizi yaliyopatikana katika jamii za Kiafrika Anasema maisha
yaJreya utotoni aIiishi katika kibanda kimoja na wanawake kadhaa akiwemo mamake.
Anaeleza kuwa wanawake hawa walikuwa na vipawa vya kutongoa, kusimulia,
kuimba na kadhalika kwa umahiri mkubwa Naye Mohamed akawa anawahusudu
wanawake hawa kwa ubingwa wao. Katika kujikakamua kuwa kama woo ndipo
alitokea kuwa mwandishi. Hata hadithi zake za kwanza zilitokana na masimulizi
.waliyokuwa wakisimuliwa wakiwa watoto na wazazi woo. Kile ambacho amefanya
Mohamed ni kuonyesha athari za masimulizi ya awaIi katika hadithi fupi za kisasa
Mbatiah ameepuka kuzungumzia uhusiano ulioko kati ya asili ya hadithi fupi na
masimulizi. Badala yake Mbatiah (2000) anaeleza kuwa waandishi wa hadithi fupi
huweza Jrutumia mitindo ya fasihi simulizi katika kazi zoo. Kwamaoni yake utanzu
I'
wa hadithi fupi hutumia mitindo ya ngano kama utanzu mwingine wowote wa fasihi
andishi. Anaongeza kusema kuwa waandishi wa utanzu huu wamefanya majaribio ya
kutumia mbinu za ngano simulizi katika kazi zoo. Mfano mzuri ni wa kazi za Taban )0
Liyong. Huyu wahusika wengi wa kazi zake ni wanyama. Gabriel Ruhumbika katika
hadithi yake ya 'Dua Ja Kuku Lilivyompata Mwewe' ameweza kutumia mbinu ya
Katika miaka ya 1960 hadithi fupi za Kiswahili zilianza kutokea katika magazeti hasa
nchini Tanzania Hadithi zingine zilianza kushirikishwa kwenye mashindano ya
uandishi wa badithi fupi. Hadithi fupi zilizoshiriki katika mashindano zilisomwa
katika idhaa ya BBC na baadaye zikachapishwa katika mifululizo ya diwani. Kwa
mfano diwani ya Mapenzi ni Kikohozi, Kinywa jumba la maneno na Pavumapo
Palilie.
Baada ya miaka ya 1960 utanzu wa hadithi fupi katika lugha ya Kiswahili uliendelea
kukua, Wamitila (2002) anaeleza kwamba rnaendeleo makubwa katika uwanja wa ucbapishaji yalidhihirika kuanzia miaka ya sabini Machapisho yaliyotokea ni pamoja
na Pepeta za Yahya, Zaka fa Damu na Hadithi Nyingine (1974) na Uwike Usiwike
Kutakucha (1978) na Ruhumbika Katika miaka ya 1980 machapisho yaliyotolewa ni
pamoja na: 'iiakuja kwa siri (1981) ya Msokile, Dhuluma na Hadithi Nyingine (1980
) ya Banzi,naNipe Nikupe naHadithi Nyingine (1982) ya Banzi.
Kwa rnujibu wa Ntiba (lOll:24) bakukuwapo na rnacbapisbo rnengi ya diwani ya
hadithi fupi katika miaka ya tisini, Mfano wa diwani za hadithi fupi zilizochapishwa
ni Pendo fa Heba na Hadithi Nyingine (1996) ya King'ei na Wafula. Ntiba anaeleza «
kuwa ni katika rniaka ya 2000 arnbapo kulitokea rnJrurupuko wa machapisho ya
haditbi fupi za Kiswahili. Diwani zilizotolewa wakati huu ni pamoja na:
Mwendawazimu na Hadithi Nyingine (2000) na Mwendah, Mayai Waziri waMaradhi
Wamitila, Kurudi Nyumbani na Hadithi Nyingine (2007) ya Mbatiah, Likizo ya Mauti
na Hadithi Nyingine (2007) na King' ei na Kobia naMizungu ya Manabii na Hadithi
Nyingine (20t 0)yaHabwe.
Pamoja na yote haya Mohamed (2005) anahisi kuwa bado fasihi ya Kiswahili ina
mikusanyiko miehache ya hadithi fupi. Anasema sababu za mikusanyiko hii kuwa
micbache bazijulikani vyema Lakini mwenyewe anakisia sababu kadbaa. Kwanza
anasema huenda ni vile utunzi wa utanzu huu ni mgumu na kwamba hakuna watunzi
mahiri wa kuutunga. Pili ni kwamba huenda wasomaji wa fasihi ya Kiswahili
hawajazoea· wala kukomaa kiasi eha kusoma utanzu huu, Na tatu anakisia kuwa
huenda waehapishaji wa vitabu huogopa tu kutoa diwani za hadithi fupi wakidhani
hazitapata mauzo.
Mohamed anasema kuwa vyovyote viwavyo uandishi wa hadithi fupi ni mgumu kiasi
kwa vile muundo wake uhitaji kubana mambo kama vile visa visivyowanda na
kucbukua vitawi na viebipukizi, kumtumbukiza msomaji ghafla katika kiini eha
hadithi yenyewe, kumbana katika taharuki na kumpa hatima ya angusho la ghatla
lenye mtikiso na mshangao. Kile ambacho Mohamed anasisitiza hapa ni kwamba
ugumu katika utunzi wa baditbi fupi busababisbwa na ukweli kuwa mwandishi
hapewi uhuru wa kujifaragua kwa urefu.
Hata hivyo utanzu huu umeweza kuimarika mno. Mohochi (1995) anaeleza kuwa
\ .
kame ya kumi na tisa, hali imekuwa ya maendeleo. Watunzu wengi wameweza
kujihusisha na utunzi wa hadithi fupi, Wameweza kutunga kuhusu masuala
mbalimbali Raya ni pamoja na elimn, unyanyasaji wa kijinsia, dini, uongozi mbaya, siasa, ukinzano wa ukale na usasa, historia, uchumi, ubakaji, maradhi ya ukimwi na kadhalika
Baadhi ya diwani za hadithi fupi ziliweza kuhusisha mkusanyiko wa hadithi za
mwandishi mmoja Hizi ni pamoja na Kicheko
em
Ushindii 1978) ya Mohamed S.M,Arusi yo Buldoza na Hadithi Nyingine (2005), Sodiki Ukipenda na Hadithi Nyingine
(2005) na Mfuko Mtupu na Hadithi Nyingine (2005) za Mohamed S.A. Hata hivyo siku hizi nyingi za diwani zinazotolewa ni rnikusanyiko ya hadithi fupi zilizoandikwa
na waandishi mbalimbali Diwani hizi ndizo zina uwezo mkubwa wa kuhakiki jamii
ya Kiafrika. Hii ni kwa sababu kila mwandishi huwa na tajriba tofauti na wenzake.
Hivyo rnatukio yanayoshughulikiwa huwa ni rnapana. Hata rnitindo ya uandishi huwa
pena Hii ni kwa sababu kila mwandishi huwa na mtindo tofanti
,-Tafiti zifuatazo zimeweza kufanywa katika utanzu huu wa hadithi fupi katika miaka
ya hivi karibuni:
Fani katika Hadithi Fupi katika KiswahiJi (Mohochi 1995)
Mtindo na Maudhui katika Hadithi Fupi za Kiswahili (Mbuthia 2003)
UmabuJuti katika Hadithi Fupi za KiswabiJi (Mukopi 2005)
Wahusika katika Hadithi Fupi za Kiswabili (Mulewa 2008)
Tafiti hizi ni ishara kuwa japo utanzu huu ni mchanga, unaendelea kukua kwa haraka
sana, Kando na utanzu huu kushughulikia masuala ya kisasa, umeweza kutambulika katika asasi za kielimu, Mbatiah (2000) alitoa wito wa umuhimu wa utanm huu utambuliwe. Alipendekeza hadithi fupi zifundishwe katika taasisi za elimu.Miaka michache baadaye pendekezo lake lilitiwa maanani. Nchini Kenya hadithi fupi za
KiswahiIi zilianza kufundishwa katika shule za upili kama sehemu ya fasihi ya
Kiswahili. Kwa sasa (2012) diwani yaMayai Waziri wa Maradhi na Hadithi Nyingine
imetahiniwa mara sita katika mtihani wa kitaifa wa kidato cha nne, KCSE.
Baadhi ya hadithi fupi zimeweza kuandikwa kwa kuzingatia nadharia mpya ya
uandishi na uhakiki wa fasihi. Hii ni nadharia ya uhalisiaajabu au uhalisiamazingaombwe. Mohamed (2005) anaeleza Jruwa mtazamo huu wa kifasihi
uwekuwa maarufu sana katika siku za hivi majuzi. Ni mtazamo unaowakilisha kubadilika kwa fasihi ya Kiswahili. Utanzu huu urnekuwa ukibadilika pamoja na
fasibi nzima Hadithi fupi zilizondikwa kwa kutumia mtazamo huu zimeweza kuwa na
mnaso mkubwa Jambo hili linajitokea wazi kwani pale ambapo katika diwani kuna
..
hadithi yenye kuzingatia mtazamo huu, aghalabu anwani ya hadithi hiyo ndio
huteuliwa kuwa anwani ya diwani nzima
Mifano ya diwani kama hizi ni Sadiki Ukipenda no Hadithi Nyingine ( 2(05) ya
Mohamed S.A. Katika mkusanyiko huu, hadithi 'Sadiki Ukipenda' imeandikwa kwa misingi ya nadharia ya uhalisiaajabu. Pia kuna hadithi ya 'Arusi ya Buldoza' katika
Nayo pia iliteuliwa kuwa anwani ya kitabu kizima. Mfano mwingine wa hadithi kama
hizi ni ile ya 'MayaiWaziri wa Maradhi' katika mkusanyiko wa Mayai Waziri wa
Maradhi na Hadithi Nyingine (2004) ya Wamitila
tj- f
b.
~ ,;2.2 Vyombo, Bali na Asasi ambazo zimechangia Ukuaji wa Badithi Fupi :.>
...:
,
$
Vyombo vya habari kama vile magazeti, runinga na redio vimetumiwa kusambaza ~.:hadithi fupi Pia vyombo hivi vimeweza Jrutumiwa katika kuchamhua hadithi fupi
zenye maudhui mbalimbali. Kwa mfano gazeti la TaifaLeo limekuwa na makala
ambayo imekuwa ikishughuJikia lugha na fasihi ya Kiswahili. Kwenye fasihi, mambo
.
\ ambayo yameweza kushughulikiwa ni uchambuzi wa badithi fupi, historia ya badithifupi na kadhalika Gazeti hili pia limeweza kuchapisha hadithi fupi ili zisomwe na
wasomaji wake kwenye gazeti.Hii ni ithibati tosha kuwa utanzu wa hadithi fupi wa
lugbayaKiswahili umewezakupigabatua
Vituo vya redio kama vile Redio Citizen KBC idhaa ya Kiswahili na QFM vimeweza
kujihusisha na uchambuzi wa fasihi ya Kiswahili kama vile hadithi fupi. Vituo vya •
runinga vilevile vimeweza kukuza badithi fupi Vituo hivi ni pamoja na runinga ya
KBC, runinga ya Citizen na kadhalika Kando na stesheni hizi kuchambua vipengele
vya haditbi fupi,vinacbangia kueneza baditbi fupi.
Mashirika ya uchapishaji aidha yamechangia kukua na kuenea kwa hadithi fupi katika
Kiswahili. Mashirika haya yamewezesha watu wengi kupata na kusoma hadithi fupi.
wasomaji. Mashirika haya m pamoja na Longhorn Publishers, Jomo Kenyatta
Fountation, Phoenix Publishers, Moran Publishers, Focus Publishing Ltd, Oxford
University Press na kadhalika,
Taasisi za elimu zimechangia sana kukua na kuenea kwa hadithi fupi za Kiswahili.
Taasisi hizi ni pamoja na shul~ za msingi, shule za upili na vyuo vikuu. Kama
tulivyoeleza awali, hadithi fupi zimekuwa zikitahiniwa nchini Kenya katika mtihani
wa kitaifa kidato cha nne, KCSE. Diwani ya Mayai Waziri wa Maradhi na Hadithi
Nyingine (2004) imekuwa ikitahiniwa kwa muda sasa
Diwani ya Damu Nyeusi na Hadithi Nytngine (2007) nayo imeteuliwa ianze
kutahiniwa mwaka wa 2013. Ili kufanikisha ufundishaji wa hadithi fupi shuleni,
miongozo huweza kuandikwa ikichambua diwani za haditbi fupi, Mfano wa miongozo
.hii ni Mwongzo wa Damu Nyeusi na Hadithi Nyingine (King'ei, Muusya na Mwangi:
2012). Hadithi fupi pia hufunzwa katika vyuo vikuu. SuaJa hili limeendeleza sana
haditbi fupi,
2.3Mgogoro kuhusu Baditbi Fupi
Kwa mujibu wa lribemwangi (2007:vi) utanzu wa hadithi fupi ni utanzu unaozua
mjadala baina ya wabakiki na waandisbi wa hadithi fupi. Mjadala buu unabusu vigezo
vya knpimia hadithi fupi. lribemwangi anahisi kuwa ni jambo lisilo wazi kuweka
mpaka baina ya hadithi fupi na tanzu zingine za kinathari hasa novella na riwaya Hii
Walibora na Mohamed (2007:3) wanasema kuwa mgogoro kuhusu umuhimu na dhana
ya utanzu na kanuni zake ulianza kutokea nyakati za akina Plato, Socrates na
Aristotle, basa walipojadili dbana ya tamthilia
Sikn hizi kunao makundi matatu yanayotofautiana kuhusu suala la dhana. Ntiba (2011) anaserna kuwa kundi la kwanza linaongozwa na Benedetto Croce. Wengine
waliojihusisba na kundi hili ni pamoja na Giovanni Gentile, Antonio Gramsci na RG
Collingwood. Kundi hili linashikilia kuwa dhana ya utanzu ni potofu. Hii ni kwa
sababu inamzuia rnsornaji kuisoma kazi kama ilivyo, na badaJa yake kurnwelekeza
,
.kujadIli sana kanuni za utanzu na arnbazo baadhi yake zinaweza kukosekana
Akitetea kauli hii, Croce ananukuu katika Heather Dubrow (1982:83-84) na kusema
kuwa rnwainisbo wa tanzu bupotosba rnwelekeo wa rnsornaji anayejaribu kuisoma
kazi fulani kwa kutumia kanuni tangulizi za utan7J) huo. Anaongeza kusema kuwa
kanuni hizo humfanya msomaji kutojali utambuzi unaomjia akilini papo kwa hapo
kwa vile hufuata kanuni na mantiki ilivyokwisha wekwa ili ifae kazi zote za utanzu
,-huo,
Kundi Ja pili ni lile ambaIo linajaribu kuonyesha urnubirnu wa tanzu basa katika
taaluma ya fasihi. Kundi hili naJo lilihusisha wasomi kama Urnberto Eco na John
Locke. Mtazarno wa kundi hili unaelekea kupinga ule wa Croce na wenzake.
Linaonyesba kuwa fasihi huweza kusorneka na kueleweka vyema ikiwa imegawika
mawili tangulizi. Kundi hili hufuata kauli ya quintilian iliyochapishwa katika Heather
Dubrow(1982:52). Kauli hii inasema kuwa wakati ambapo tunapaswa kuiga aina ya
muundo wa watangulizi wetu, ni muhimn pia kubuni njia mpya ya uandishi, Hivyo
basi kwa mujibu wa kundi hili si kila wakati tunapaswa kufuata kanuni za utanzu na
kwamba tunapozifuata, huwa si lazima tuzifuate kikamilifu.
Ntiba (2011) naye anachangia kwa kusema kuwa ni vigumu kufikia fasili ya utanzu
wa hadithi fupi ya knkubaliwa na kila mtu. Kauli hii ni kweli kwa sababu wataalamu
wengi na basa wale wanaojihusisha na baditbi fupi za Kiingereza wanapendekeza
idadi maalum ya maneno ambayo hadithi fupi inapaswa kutimiza. Hata hivyo
kunakuwapo na mgogoro baina yao kuhusu maneno hayo yanapaswa kuwa mangapi.
Nao wasomi na waandishi wa hadithi fupi za Kiswahili wanapinga huko kuhesabu
maneno ya hadithi. Wanadai kwamba dhana ya neno si moja katika lugha tofauti..
MathaJao dhana hii inatofautiana katika lugha ya Kiingereza na ile ya Kiswahili.
Tofauti hutokana na matarajio kwamba kila hadithi hutokana au kujihusisha na
utamaduni tofauti. Wataalamu wanashikilia kuwa hadithi fupi hutakiwa kutokana na
ntamaduni ambapo hadithi hi 0imeibuka
Poe baada ya kusoma kitabu cha Tales (1938) cha Nathaniel Hawthorne kuhusu
hadithi fupi alieleza;
Hadithi fupi ni sura katika riwaya, tukio au kitukio ambacho
msomaji na kumfanya aamini kuwa ingeweza kuharibika ikiwa itakuzwa
na kuwa ndefu au kama itafanywa sehemu ya kazi kubwa.
Poe aliweza kutoa mapendekezq kuhusu mambo muhimu ya kuangaliwa katika
uandisbi wa hadithi fupi. Mapendekezo bayo yameweza kutumiwa na waandishi
weogi kama mwongozo wa kuandika hadithi fupi Akimnukuu Poe, lribemwangi (2007:vii) anaelezea mapendekezo hayo kama ifuatavyo:
Iwe fupi kiasi cha Jrutoatbiri msuko wa kisanaa.
Iwe na urefu wa kuweza kusomeka katika mkao mmoja.
ltumie maneno yatakayoitoa athari aliyoinuia mwandisbi
]weze kusababisha hisia au atbari ya aina moja
[we na matumizi mazuri ya maneno ili kusababisha mguso wa hisia kuliko wa
kiakili.
Akichangia kuhusu mapendekezo haya ya Poe, Maupassant alisisitiza kuwa hadithi ~
fupi inapaswa kuwa na mwisho wa ghafla na wa kusisimua, Anafafanua kuwa mwandishi wake ana jukumu 1a kuelezea ukweli kuhusu sehemu fulani ya nchi anayojihusisha nayo na matendo yanayosimuliwa yawe ya kuaminika na yalingane na
hali hahsi ya jamii inayozungumziwa
Ntiba (2011) anakiri kuwa mgogoro uliopo kwa sasa ni katika kule kujaribu
utata wa kuelezea ni nini hadithi fupi. Fasili ambazo zimetolewa na baadhi ya
waandishi na wahakiki zimezua mjadala mkubwa.
.
Kuna sababu kadhaa ambazo zinafanya kuwe na ugumu wa kutoa fasili inayokubalika
na watu wote ya hadithi fupi. KuJingana na Mbatiah (2000) sababu moja ni kwamba
hadi1hi fupi inakaribiana sana na riwaya na kukaribiana zaidi na novella. Kwa
kiwango kikubwa tanzu hizi zinatumia stadi za utunzi zinazofanana. Pili utanzu huu
huweza kubadilika kutoka sifa yake moja hadi nyingine, kutoka mwandishi mmoja
hadi mwingine na pia hutofautiana kwa mitindo ya Jruandika haditbi fupi, Sababu
nyingine ni kuwa, waandishi wengi hutumia utanzu huu kama ngazi ya kupandia
kwenye uandishi wa nathari ndefu kama vile noveJIa na riwaya.
Mohamed (2005) anakiri madai ya Mbatiah. Anaeleza kuwa alipokuwa akiandika
hadithi zake za kwanza aliweza kujifunza mambo mengi. Mambo haya ni pamoja na
kusanii, kubuni, kuelewa hisia mpya za binadamu, utu, ukweli, mapenzi. chuki, uhuru,
kujiamini, kupambana, kutetea haki yake na mambo mengine mengi kuhusu maisha.
I'
Pia aliweza kujifunza stadi za lugha. Hii ina maana kuwa mwandishi huyu alitumia
utanm huu wa hadithi fupi kujifunza kuandika. Baadaye alianza kuandika riwaya na
kuwa mwanariwaya mashuhuri katika ukanda wa Afrika Masharikii.
Hii ina maana kuwa utanzu wa hadithi fupi aghalabu bunyimwa uhuru wake na badala
2.4 Fafanuzi Tofauti za Badithi Fupi
Wataalam na wahakiki wa hadithi fupi wameweza kueJeza dhana ya hadithi fupi kwa
njia mbalimbali. Fafanuzi hOOni pamoja na zifuatazo:
Mbatiah (2000) anaeleza hadithi fupi kama masimulizi yaliyoandikwa kinathari juu ya
tajriba fulani ya maisha, Aghalabu mwandishi huiwasilisha tajriba hiyo kwa kujikita
katika tnkio moja Uti wa mgongo wa utanzu huu ni badithi Ufafaanuzi huu
unasisitiza sana vipengele vya hadithi fupi ambavyo ni usimulizi na tukio kuwa moja
Wamitila (2002) anafafanua badithi fupi kama utungo mfupi wa kinathari
unaojishughulisha na suala fulani kuu wenye wahusika ambao hawakuzwi kwa kina
na unaotumia mbinu za kimaelezo za kibanifu zenye uelekezi wa kiwango cha juu.
Utungo huu hautumii mandhari pana na una athari kuu umoja Unaweza kusomwa
kwa kikao kimoja kifupi. Ufafanuzi huu umezingatia sifa kadhaa za hadithi fupi. Hata hivyo suala muhimu ni ubanifu katika uandishi wa hadithi fupi, Hii ni kwa maana ni
kutokana na ubanifu huu ambapo ufupi wa hadithi hujitokeza, wahusika wakawa hawakuzwi vya kutosha na mandhari inayoshughulikiwa kuwa finyu.
Arege na wengine (2004) wanaeJeza kuwa hadithi fupi ni utanzu wa fasihi ambao
hubainishwa kwa ufupi wake unapolinganishwa na tanzu nyinginezo kama riwaya na
tamthilia Maelezo haya yamejikita katika sifa ya ufupi ya hadithi fupi Hata hivyo
Kwa mujibu wa Wasike na wengine (2005) hadithi fupi ni kazi ya fasihi ambayo
inaweza kusomwa katika kikao kimoja, ina maudhui yasiyo changamano, wahusika
wachache na ploti iliyo sahili. Maelezo baya yanazingatia ufupi a muda wa kusoma
pamoja na usahili wa ploti ya hadithi fupi.
Kulingana na McOnyango (2006)~badithi fupi ni tungo bunifu Ienye muundo wa
masimulizi mafupi ya maandishi ya kinathari, lenye tukio moja kuhusu mhusika
mmoja kwenye mandhari madogo yeny~ mtiririko rnzuri wa vitendo na huwasilisha
hisia moja kwa msbikamano na wnoja kati ya vipengeJe mubimu vya tungo zima
Ufafanuzi huu umekipa msisitizo kipengele cha ubunifu pamoja na kile cha mnato wa
hadithi.
Wataalam wengine waliotoa ufafanuzi wa hadithi fupi ni King'ei na Kobia (2007).
Hawa wanaeleza hadithi fupi kama utunzi wa kinathari unaomulika suala au tukio
moja na unaweza kusomwa katika kikao kimoja Wawili bawa kwenye maelezo yao
wanasisitiza kipengele cha tukio moja katika hadithi fupi.
flab e (2010) amefafanua badithi fupi kama utungo mfupi unaosimulia tukio la
kubuni au halisi Iinalotokea katika jamii na kuwasilishwa kisanii, Huwa fupi ili
kusimulia tukio kwa ufupi, lakini kwa ukamiJifu wake. Hujikita katika kipindi kifupi
cba maisba ya binadamu. Laweza kulishughulikia jambo lolote mradi liwe linasibu
maisha ya binadamu. Katika ufafanuzi wake, Habwe anasisitiza kuwa asili ya kile
Mtazamo wa mtafiti ni kwamba hadithi fupi ni kazi ya sanaa inayosimulia kuhusu
tajriba ya jamii kwa njia ya kubana Kutokana na ubanifu huu, mandhari yake huwa ni
finyu,dhamira ya mwandishi huwa ni moja na wala wahusika wake huwa hawajengwi vya kutosha kando na kuwa wanakuwa wachache.
Kutokana na maelezo haya ya wataalam mbalimbali, ni dbahiri kuwa kuna vipengele vyajumla kadhaa ambavyo huweza kutambulisha hadithi fupi. Kwa sababu hii Wright
(1989) anapendekeza kuwa badala ya kuweka mipaka ya wazi na kusema kuwa matini
fulani ni badithi fupi au siyo baditbi fupi, ni bola kucbunguza kwa makini vipengele
mbaIimbaIi vya hadithi na kuona kama matini ina vipengele hivyo au la. Vipengele
muhimu vya haditbi fupi vilivyojitokeza katika fafanuzi hizi tuJivieleza hapa chini.
2.5Uhusiano kati ya Vipengele vya Haditbi Fupi
Ili kazi ya fasihi iweze kuainishwa kama hadithi fupi inafaa kuwa na vipengele
kadbaa VipengeJe bivi ndivyo tulivyosbugbuJikia bapa Hata bivyo ni muhimu Jrutaja
hapa kuwa waandishi wazuri wa kazi zote za sanaa ya lugha hawatakiwi kujifunga na
~
kanuni kali zisizobadilika, (Walibora na Mohamed 2007). Kauli hii ina maana kuwa kazi yoyote nzuri ya sanaa hujaribu kuwa mpya kupitia majanbio ya ubunifu wa aina
fulani. Hivyo basi, hadithi fupi huweza kuwa tofauti kutegemea mtunzi. Pamoja na
hayo kuna vipengeJe vya kimsingi vya baditbi fupi Hivi ni pamoja na:
Hadithi fupi huwa ni tungo bunifu kwa kuwa masimulizi yenyewe huwa
Ntiba (2011) mwandishi wa hadithi fupi ni sharti azue kisa au tukio ili kulihadithia.
Anaongeza kusema kuwa hata kama jambo ambalo anasimulia aliwahi kuliona au
kulisikia, hu1akiwa alihadithie kwa kuingiza au kudondoa vitukio ili hadithi isomeke
kama kazi ya kisanaa bali isiwe ripoti ya moja kwa moja. Kijumla, hadithi fupi huwa
ni tungo bunifu kwani hutokana na mawazo ya mwandishi.
Usimulizi ni kipengele kingine muhimu kuhusu hadithi fupi. Hadithi fupi hutumia
lugha ya kimasimulizi, Hii ni lugha ya kimaelezo ambayo hutoa ujumbe kuhusu
jambo, mtu,mabaJi,tukio na kadhaJika.MasimuJjzj baya buwa niya moja kwa moja.
Idadi ya maneno vilevile huwa ni kigezo cha kupimia hadithi fupi. Sifa hii ndio
inayoathiri vipengele vile vingine. Hii ina maana kuwa kutokana na ufupi wa hadithi
mawanda yanayoshughuJikiwa buwa ni finyu, Wabusika buwa ni wachacbe nayo
mandhari ikiwa haibadiliki sana Ufupi huu pia unazua nadharia kuwa hadithi fupi
inapaswa kusomwa kwa kikao kimoja. Kikao hiki kinapaswa kuwa cha kati ya nusu
saana saamoja
Wamitila akimnukuu Henry (2002) anasema hadithi fupi inafaa iwe na maneno kati ya
250 na ]500. Hata hivyo kuna lugha ambazo hazitumii idadi ya maneno kama kigezo
cha baditbi fupi. Lakini Ntiba (20]]) anasema kuwa maneno yakipita ]0,000 basi