• No results found

Mandhari katika hadithi fupi: ulinganishaji wa diwani za pendo la heba na hadithi nyingine a mizungu ya manabii na hadithi nyingine

N/A
N/A
Protected

Academic year: 2020

Share "Mandhari katika hadithi fupi: ulinganishaji wa diwani za pendo la heba na hadithi nyingine a mizungu ya manabii na hadithi nyingine"

Copied!
124
0
0

Loading.... (view fulltext now)

Full text

(1)

MANDHARI KATlKA HADITHI FUPI: ULINGANISHAJI WA

DIWA I ZA PENDO LA HEBA NA HAD/TH/ NYINGINE A

MlZllNGU YA MANABH NA HADITHI NYJNGINE.

E

TT'

E

TASINIFU

YA

MUUSYA JUSTUS KY ALO CSO/CEl13896/09

I'TASNIFU HII IMEW ASILISHW A ILl KUTOSHELEZA BAADID YA MAHITAJIYASHAHADA YAUZAMILIKATIKA IDARA YA. KlSWABII.ly CD 0 KUru CBA KE TI

\(

"

U

I

E.

S'

L

R

2012

(2)

IKIRARI

Tasnifu hii ni kazi yangu mwenyewe na halijatolewa kwa mahitaji ya shahada katika . chuokikuuJringine chochote.

Sahihi ~ ~... Tarehe.~.'.J.~.~.)..~.~.~ Muusya Justus Kyalo

Wasimamizi

Tasnifu hii imetolewa katika Chuo Kikuu cha Kenyatta kwa idhini yetu kama wastmamlZl

Sahihi. . ~ .•.••....

-

.

Tarehe...

2!.{./JL.["J--D

I

L-Prof Kitula King'ei

,

(3)

SHUKRANI

Kwanza namshukuru Mola kwa kunipa kipawa eha usomi na kunifungulia nafasi ya kupata elimu katika mazingira ambayo yaIilruwa adui mkuhwa waelimu. Nawapongeza pia wazazi wangu kwa kunivumilia nilipokuwa nashughulikia utafiti huu. Aidha nasema kongole kwa mwalimu na mwandani wangu Moses Wambua, kinara wa shule ya upili ya Kangii kwa kuwa mwanga katika maisha yangu ya kielimu, na kwa kunishajiisha kujizatiti maishani kando na kuamini kuwa nilikuwa na uwezo mkubwa kiusomi.

Vilevile namvulia kofia mpenzi wangu Ann kwa kunivumilia nilipokuwa najishugbulisha na utafiti huu. Nilifurahia jinsi ambavyo ulikuwa unanikumbusha kuendeJea na utafiti hasa mambo yahpotokea kuwa magumu..Aidha uliehangia sana utafiti wenyewe kwa kuhakikisha kuwa utafiti uliwafikia wasimamizi wangu kwa wakati uliofaa,

(4)

Nitakuwa mtovu wa fadhila iwapo sitawapongeza wasomi wenzangu tulioshirikiana

mkikimkiki kufanikisha masomo yetu ya shahada ya uzamili. Ushirikiano wetu huo

ulinifaa sana Hawa walikuwa engi, Mifano yao ni kama vile Peter Ndwiga, Walter

Webhuka,Robert Ombaye, Joyce Muema, Leah Mwangi, na Martha Aberi.

Aidba shukrani zangu za dhati ni kwa marafiki na washirika wangu wa karibu kwa

kunifaa kwa hali na mali. Bw. Musyoka na Bi. Mwanzia wote wa shule ya upili ya

Kaluva walinipa moyo pamoja na ushauri kuhusu utafiti katika kiwango hiki, Pokeeni

shubani zangu. ViJeviJe ushirikiano wangu na Bw. Kamanda wa shuJe ya upili ya

Mua ulikuwa wa manufaa makubwa katika utafiti huu. Wengine ambao walichangia

ufanisi wa utafiti huu kwa hali na mali ni Francis Kilonzi, Charles Mwonga, Winfred

Munyao, Alex Vundi Mutwa miongoni mwa wengine. WaJionifaa ni wengi mno na

haitawezekana kuwataja wote. Popote mlipo nyote nawashukuru kwa wingi wa

(5)

TABARUKU

MpenziAnn:

Nyuma kule tutokako Na mbele kule tuendako Safari yasako kwabako

(6)

MAELEZO YA ISTILABI

Diwani: Mikusanyiko ya kazi ya fasihi,kama vile mkusanyiko wa masbairi au mJrusanyiko wa hadithi fupi

Hadithi fupi: Hadithi inayojifunga katika idadi ndogo ya wahusika na tukio fulani maalum.

I !

Mandhari: Mahali au makazi maalum yaliyojengwa na mtunzi na mnamotukia matukio mbalimbali ya kazi ya fasihi.

/

Matumizi ya lugha : Jinsi ambavyo mwandishi hufinyanga lughaili kuwasilisha ujumbe na kuzua athari kwa msomaji.

Ubia: Kufanana kwa vipengele fulani katika kazi mbalimbali za

fasihi.

I'

Upekee: Jinsi vipengele fulani vya kazi za fasihi vinavyotofautina kwa mfano mandhari katika hadithi fupi mbalimbali kuwa tofauti.

(7)

Finominolojia:

Nadharia:

Utafiti:

Tajiriba:

Nadharia inayohusu uchunguzi wa miundo ya tajiriba au kazi ya kifasihi kama inavyoonekana na mtazamaji.

Mpangilio wa mawazo au mwongozo uliotungwa hili

kuelekezwa jinsi ya kufanya au kutekeleza jambo fulani kama uhakiki wa kazi za fasihi,

Uchunguzi wa kitaaluma wenye lengo la kugundua ukweli fulani au maarifa

Ujuzi au maarifa aliyo nayo mtu kutokana na kufanya kazi

au kuishi kwa muda mrefu.

(8)

IKISIRI

Utafiti huu ulisbugbulikia mandbari katika h3dithi fupi, Utafiti ulizingatia mtazamo

Iinganishi. Katika kuendeleza kazi hii mtafiti aliteua diwani mbili za hadithi fupi, Pendo La Heba na Hadithi Nyingine ya King'ei na Wafula na ile ya Mizungu ya

Manabii a Hadithi Nyingine ya Habwe.

Mandhari ni mazingira ya wahusika katika kazi ya fasihi. Mazingira haya yaweza

kuwa ya kihistoria au yakawa ya kijiografia Kipengele biki ni muhimu sana katika

kujenga kazi yoyote ya fasihi kama vile badithi fupi, Utafiti buu uliongozwa na

nadharia ya Finominolojia, Nadharia ya Finominolojia ni msingi wa kuchunguza vitu halisi, jinsi vilivyo au jinsi vinavyoonekana Inahusu uchunguzi kuhusu mazingira

fuJani ambayo mtu hutagusana nayo.

Data ya kimsingi ilipatikana maktabani kutokana na kazi teule. Aidha mtafiti alisoma

makala, vitabu na tasnifu kupata ujumbe unaohusiana na mada hii, Pia, alizingatia nUandao ili kufahamu masuala ibuka yanayehusiana na hadithi fupi. Data

itichanganuliwa kwa kuzingatia mihimili ya nadharia iliyoteuliwa na matokeo

(9)

ABSTRACT

This study aimed at analyzing setting in short stories: a comparative approach. To make the study a success two anthologies of short stories were selected. These are

Pendo fa Heba na Hadithi Nyingine edited by King'ei and Wafula, and Mizungu ya Manabii na Hadithi Nyingine edited by Habwe.

Setting is an environment where characters are found in a literally work. Setting can be historical or geographical. The research was guided by Phenomenology theory.

Phenomenology is the study of real objects,the way they are seen. It involves study in a given environment which surrounds an individual.

Main) the data was obtained.in the library nom the selected text The researcher also read books, thesis, and other materials related to the topic of study. The researcher

will also use the internet to familiarize himself with current issues related to the study.

(10)

YALIYOMO

SURA YA KWANZA

YAUYOMO K.

IKIR.ARI , 1

SHUKRANI '" ii

TABAltUKU '" ,. '" iv

MAELEZO YA ISTLAHI v

IKISIRI , viii

ABSTRACT .. , , , '" ...•... ix

YALIYOMO , viii

1.0 Utangulizi 1

I.I Suala la utefiti..; , _. 2

1.2 Maswali ya utafiti ,. 4

].3 Malengo ya utafiti '" ; '" 4

15 Sallabu za kucbagua mada ... 4

\

1.6 Upeo na mipaka , 7

1!7 Misingi yanadharia... 8

1.8 Yaliyoandikwa kuhusu mada , '" . . 10

1.9.0 Mbinu za utafiti , 21

I.9.1 Mabali pa utafiti ... '" ... ... ... ... .... ... ... ... ... ... ... ... ... .... ... ... ... .. 21

1.9.2 Uteuzi wa sarnpuli... 21

1.9.3 Ukusanyaji wadata... 22

(11)

1.9.5 Uwasilishaji wa data... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ....... . 23

SURA YAPILI

2.0Utangulizi 25

2.1 Historia ya Hadithi Fupi 25

2.2 Vyombo~Halina Asasi ambazo zimecbangia Ukuaji wa Hadithi Fupi 33

2.3 Migogoro kuhusu Hadithi Fupi 34

2.4 Fafanuzi zaidi za Hadithi Fupi 38

2.5 Uhusiano katiya vipengele vya Hadithi Fupi " 41

2.5.1 Muundo na umbo 44

2.5.2 Dhamira '" 46

2.53 Mtindo _. 47

2.5.4 Mandhari 49

2.6 Hitimisho '" '" .., 50

SURA YATATU I'

3.0 Utangulizi 52

3.1.0 Pendo la Heba na Hadithi Nyingine .... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... 52

3.1.1.0 Pendo laHeba 53

3.].].] Taswira '" .. , ,. '" '" '" '" .. , '" , 53

3.1.1.2 DayoJojia ... ... ... ... ....... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... ... .... 54

(12)

3.1.2.1 Ngano ndani ya hadithi ,. 54

3.1.2.2 Jazanda , 55

3.1.3.0 Jitu 1a Kisasa , 56

3.1.3.1 Ngano ndani ya hadithi... 56

3.1.3.2 Taswira... 56

3.1.4.0 Jabaoamu , , 57

3.1.4.1 Taswira 57

3.1.4.2 Usimulizi 58

3.15.0 Genge __ 59

3.1.5.1 Tashbihi 59

3.1.5.2 Majazi , 60

3.1.6.0 Kisasi 62

3.1.6.1 Usimulizi... 62

3.2.0 Mizungu ya Manabii na Hadithi Nyingine ,.'" 63

3.2.1.0 Mizungu yaManabii __63

3.2.1.1 Kuchanganya ndimi 64

3~2.2.0Dukuduku la Mkimbizi 65

3.2.2.1 Usimulizi __. 65

3.2.3.0 Kutiwa Jando 65

3.2.3.] UsimuJizi 65

3.2.3.2 Majazi 66

3.2.4.0 Siriya Mume 67

(13)

3.2.4.2 Dayolojia 67

3.2.5.0 Uchochoro wa Mauti 68

3.2.5.1 Ulinganishi 68

3.2.5.2 Kuchanganya ndimi 68

3.2.5.3 Majazi 69

3.2.5.4 Taswira 69

3.2.6.0 Jua Litawaka 69

3.2.6. 1 Usimulizi 69

3.2.6.2 Cbuku , _.. 70

3.3 Hitimisho 71

SURA YANNE

4.0 Utangulizi 73

1 4.1 Pendo JaHebanaHadithi Nyingine 74

4.].0 Utangulizi _. 74

4.L 1 Pendo la Heba-John Habwe 74

4.1.2 Mtembo-Rayya Timammy 76

4.13 Jitu 1a Kisasa-Wafula R.M 78

4.1.4 Jahanamu-Mwenda Mbatiah 79

4.1.5 Genge-Kitula King'ei , : 82

4.1.6 Kisasi-Catherine Ndungo " '" 84

4.2.0 Mizungu ya Manabii na Hadithi Nyingine '" 85

4.2.1 Mizungu ya Manabii -Emmanuel Mbogo , 85

(14)

4.2.3 Kutiwa Jando-Hannah Mwaliwa . 87

4.2.4 Siri ya Mume-Owen Me Onyango '" 89

4.25 Uchochoro wa Manti-John Habwe . 90

4.2.6 Jua Litawaka-Rebeeea Nandwa ,., 91

4.3 Hitimisho 92

SURA YATANO

5.0 Utangulizi '" , 94

5.1 Muhtasari u.. 94

5.2 Matokeo ya Utafiti , , 98

5.3 Umuhimu wa Utafiti 100

5.4 Changamoto ZiJizoatbiri Utafiti '" ] 0]

5.5Mapendekezo .-102

MarejeJeo 104

(15)

SURA YAKWANZA

1.0 Utangulizi

Hadithi fupi ni mojawapo ya tanzu za fasihi andishi. Mohamed (1995:95) anasema

kuwa utanzu huu wa hadithi fupi ni utanzu wenye mkanganyo mno na hasa

unapolinganishwa na utanzu wa novela au riwaya Hii ni kwa sababu japo tanzu hizi

tatu butumia lugba ya nathari,badithi fupi agbaIabu huwa na tokio moja tn.

Ntiba (2011) anaeleza kuwa utanzu wa hadithi fupi za Kiswahili una historia fupi

zaidi katika fasihi ya Kiswahili ukiJinganishwa na tamthilia, riwaya na ushairi.

Anaongeza kuwa baditbi fupi ya kisasa katika Kiswahili ni maendeleo ya jamii. Li ha

ya uchanga wake, huu ni utanzu ambao unaendelea na kukua kwa haraka sana, Hii

ndio maana utafiti huu ulidhamiria kuchunguza jinsi matumizi ya lugha hujenga

mandhari katika hadi1bi fupi

Kulingana na Mohochi (1997) utanzu wa hadithi fupi umepuuzwa, Hata hivyo

anasema ni utanzu muhimu sana kwa jamii ya leo kama tanzu zingine za fasihi

I'

andisbi Naye Wamitila (2002:61) anahoji kuwa baditbi fupi huitwa hivyo kwa sababu

husimuliwa kwa ufupi. Kutokana na sifa hii, wahusika wake huwa wachache.

Mandhari aghaJabu huwa ni moja Maudhui yake pia huwa ni finyu, sambamba na

matumizi ya Iugha Upekee kama huu unaufanya utanzu huu kijitegemea na

kutofautishwa na riwaya au hata novela, Kwa hivyo utafiti huu ulichunguza upekee

(16)

Katika nchi za Magharibi, inakisiwa kwamba utanzu wa hadithi fupi ulizuka miaka

mia hamsini iliyopita Naye McOnyango (2006) anasema kuwa utanzu wa hadithi fupi

katika Afrika Mashariki ulizuka miaka sitini iliopita Kwa mujibu wa Habwe

(2010:7) hadithi fupi imekuwa njia kuu ya kushauri, kuarifu, kutumbuiza kuliwaza, kurekodi habari na kuelekeza katika jamii nyingi. Anaongeza kusema kuwa hadithi

fupi hnweza kushughulikia jambo lolote mradi liwe linasibu maisha ya binadamu.

Hivyo basi utafiti ulikusudia kuchunguza ni kwa jinsi gani mandhari huchangia katika

kuwasilisha ujumbe wa mwandshii katika hadithi fupi.

Mara nyingi wahusika katika hadithi fupi hawabadilishi mazingira. Aidha, mandhari katika hadithi tofauti huweza kulingana, Pia mandhari katika hadithi fupi zingine tofauti buweza kutofautiana Hali kama hii ndiyo ilimpelekea WamitiJa (2002:180)

akimnukuu Derrida kudai kuwa matini moja husoma matini nyingine. Hapa Derrida

aIinuia kumaanisha kuwa kueleza mandhari ya hadithi fupi moja hukusaidia katika

kuielewa mandbari katika badithi nyingine. Ni kutokana na ukweli huu ambapo utafiti

huu ulikusudia kuchunguza mandhari katika hadithi fupi kwa kuzingatia mtazamo

linganishi. Utafiti ulionyesha mwingilianomatini kwa misingi ya mandhari.

Japo hadithi ni utanzu wa kale zaidi katika jamii baada ya ushairi, umuhimu wake

ndio umepata kubainika na kutbaminiwa Utunzi wake vileviJe ndio umeweza Jrushika

kasi.Aidha uhakiki wake umeanzakutiliwamaanani. Ni katikamuktadbahuu ambapo utafiti buu uJikusudia kuhakiki mcbango wa mandbari katika kuwasilisha maudbui ya

(17)

1.1 Suala la utafiti

Utafiti huu ulijishughulisha na uchunguzi wa mandhari katika hadithi fupi teuJe.Suala

Ja mandhari ni muhimu katika usomaji na uhakiki wa kazi za kifasihi kama vile

hadithi fupi za Kiswahili. Maudhui yanayosawiriwa hufungamana na mandhari.

Aidha, matumizi ya Jugha ndiyo buwezesha mandhari kujengwa kwa jinsi fulani. Mwandisbi wa hadithi fupi anatumia ubanaji katika utunzi wake.

Kwa sababu hii uchunguzi huu ulidhamiria kubainishajinsi ambavyo lugba butumika

katika kujenga mandhari ya badithi fupi, Mandhari ni mabali au makazi maalum

yaliyojengwa na mtunzi na mnamotukia matukio mbalimbali ya kazi ya fasihi.

Mandhari huwa ni mubimu sana katika kazi za fasihi, Hii ni kwa sababu ni katika

mazingira haya ambapo wahusika hupatikana. Wahusika ndio hutumiwa na

mwandisbi kuwasiJisha ujumbe wake. Mathalan ikiwa mandhari imechorwa yenye

nyumba duni zilizochafuka na ambazo ni kuukuu inamaanisha kuwa mandhari hiyo

inatumiwa kuwasiJisba maudhui ya umaskini, Hivyo basi, utafiti buu uJicbunguza

mchango wa mandhari katika Jruwasilisha ujumbe wa mwandishi

Aidha, usomi awali uliweza kubainisha kwamba hakuna utafiti ambao tayari umefanywa kuhusu mandhari katika badithi fupi na jinsi mandhari hiyo bujengwa na

matumizi ya lugha Utafiti huu vilevile uJilinganisha usawiri wa mandhari wa

waandishi mbalimbali wa hadidhi fupi.Ulilinganisha pia na kubainisha jinsi uteuzi wa

(18)

1.1 Maswali ya utafiti

Utafiti huu uliongozwa na maswali yafuatayo:

a) Je,kuna tofauti jinsi waandishi wanavyosawiri mandhari katika hadithi fupi?

b) Ni ubia gani wa matumizi ya lugha unaojitokeza katika hadithi fupi?

c) Ni kwa njia gani mwandishi wa hadithi fupi huonyesha upekee katika matumizi yake ya lugha?

1.2 Malengo ya utafiti

Utafiti huu ulilenga:

a) Kudhihirisha jinsi waandishi wanavyosawiri mandhari katika hadithi fupi.

b) Kubainisha ubia katika matumizi ya lugha ya waandishi tofauti katika hadithi

fopi

c) Kuthibitisha kuwa kila mwandishi wa hadithi fupi huwa na upekee katika

matumizi yake ya lugha.

l.3Sababu za kuchagua mada

Ari' ya kushughulikia mada hii ilitokana na sababu mbalimbali. Kwanza baadhi ya

wabakiki kama vile Wamitila (2002), McOnyango (2006), Mbatiah (2000) na Habwe

(2010) wanataja kuwa aghalabu hadithi fupi huwa na mandhari moja isiyobadilika

badilika, Wanaonyesha pia kuwa matumizi ya lugha ya waandishi wa hadithi fopi ni

fiDYU.Ufinyu huu huwa DI kwa vipengele vyote vya hadithi fupi. K wa sababu hii,

(19)

lugha ya waandishi wa hadithi fupi. Utafiti ulibainisha kuwa kukiwa na ufinyu huu

ujumbe wa mwandishi huweza kuwasilishwa kikamilifu kwa hadhira lengwa.

Pili. mtafiti alichagua mada hii kwa kutambua kuwa mandhari ni muhimu katika

kuelewa ujumbe katika hadithi fupi. Hii ni kwa sababu kipengele hiki huwa ni

muhimu katika kuwasilisha maudhui Kwa sababu hii ikawa muhimu kuchunguza

mandhari mbalimbali na matumizi ya lugha katika hadithi fupi.

Tam, usomajj awaJj umebainisba Jruwa tafiti nyingi zi]jzofanywa kuhusu vipengele

vya kazi za fasihi zinahusu tanzu za riwaya, tamthilia na ushairi. Zilizofanywa kuhusu

hadithi fupi ni chache. Kwa mfano, Ntiba (2011) ametafiti kuhusu dhamira na mtindo

katika hadithi fupi. Hii ina maana kuwa pameJruwa na haja ya tafiti zaidi kufanywa

Maoni ya Mohochi (1997) ni kuwa utanzu wa hadithi fupi umeonewa sana kwa

misingi ya utafiti na uhakiki. Maoni haya yanashabihiana na ya Msokile (1992).

Msokile anaeleza kuwa utanzu huu haujashughulikiwa kikamilifu, Anaongeza kusema

kuwa hata wataalam wachache waliojaribu kushughulikia utanzu huu kwa ajili ya

ulmkiki hawajaweza kuzama. Ni kutokana na kauli kama hizi ambapo mtafiti

alichagua mada hii ili aweze kutoa mchango katika kupanua mawanda ya uelewa wa

utanzu huu.

Nne, kwa mujibu wa Mbatiah waandishi wengi hawachukulii utanzu wa hadithi fupi

(20)

yanashikiliwa na Wamitila (2002:66). Huyu anasema kuwa kazi za kwanza za

waandishi maarufu wa fasihi ya Kiswahili zilikuwa ni hadithi fupi. Anapiga hatua na

kuma mifano ya waandishi kama baa. Anataja Zainabu Burham, MS. Mohamed na S.A. Mohamed . Hii ni sababu nyingine iliyopelekea mtafiti kuchagua mada hii ili kuendeleza utanzu huu. Utafiti u1ithibitisha kuwa utanzu wa hadithi fupi

unajisimamia kwani husawiri mandhari na kuzingatia matumizi ya lugha kama tanzu

zingine za fasihi andishi.

Tano,jamii hubadiJika kadiri ya wakati. Jinsi jamii inavyobadiJika ndivyo mandhari

inavyobadilika. Vivyo hivyo, usawiri wa mandhari katika kazi za fasihi hubadilika. Kati ya mambo yanayochangia kubadilika kwa jamii, na hivyo mandhari ni maendeleo

ya kiteJrnoJojia Katika misingi hii, mada hii iJiteuJiwa ili kuchunguza mandhari na

mabadiliko yakekama yanavyosawiriwa katika hadithi fupi.

Sababu ya sita na ya mwisho ya kuchuguliwa kwa mada hii ni kwamba matokeo a

utafiti yatakuwa ya manufaa sana kwa wanajamii. Kwa mfano, matokeo yatawafaa

I'

waandishi wa hadithi fupi na fasihi ya Kiswahili kwa jumla, Hii ni kwa sababu utafiti ulipendekeza njia bora zaidi za kusawiri mandhari katika uandishi. Ulibaini pia njia

bora za kutumia lugha hasa katika hadithi fupi. Waandishi na wasomi wengine wa

fasihi nao watanufaika na mbinu nyingine za kuhakiki mandhari na matumizi ya Jugha

(21)

1.4 Upeo na Mipaka

Utafiti huu ulichunguza mandhari zinazosawiriwa na waandishi wa .hadithi fupi

pamoja na matumizi ya Jugha ya waandishi hawa Diwani zitakazotumiwa niPendo La

Heba na Hadithi Nyingine (1996) ya King'ei na Wafula na Mizungu ya Manabii na

Hadithi Nyingine (2010) ya Habwe.

Suala hili lilishughulikiwa katika muktadha wa hadithi fupi kumi na mbili kutoka

katika diwani hizi mbili. Diwani hizi zina vipengele ambavyo vilituwezesha kupata

data ya JrusbughuJikia katika utafiti huu, Hadithi mahsusi zilitungwa na watunzi

tofauti ambao walisawiri mandhari tofauti. Aidha, matumizi yao ya lugha ni tofauti

kutegemea malengo yao. Diwani hizi pia zilihaririwa na watunzi maarufu katika

ukanda huu wa Afrika Masbariki. Katika kila hadithi iliyoteuJiwa, mandhari

iliainishwa na kuchunguza matumizi ya lugha ambayo waandishi walitumia kujenga

mandhari katika kazi zao.

Uteuzi wa diwani hizi ulifanywa kimakusudi kwa sababu kadhaa Kwanza diwani

m6ja ni ya awali (1996) na nyingine ni ya hivi majuzi (2010). Tafauti hii ya kiwakati

-ilikuwa ni muhimu hasa kwa sababu utafiti huu ulizingatia mtazamo linganishi Pili.

mandhari ya hadithi hizi ni tofauti kwa sababu ni za waandishi tofauti. Hii ina maana

kuwa waandishi hawa na hata wahariri ni watu waliokulia katika mazingira tofauti na

hasa katika maeneo tofauti. Aidha, ni za watu walio na tajiriba inayotofautiana katika

(22)

1.6.0 Misingi ya Nadharia

Utafiti huu uJiongozwa na Nadharia ya Finominolojia,

1.6.1 Nadharia ya Finominolojia

Neno Finominolojia linatokana na maneno mawili: "finomina" na "olojia". Finomina

ni vitu haJisi jinsi viJivyo. Olojia ni uchunguzi. Hivyo basi Finominolojia ni

uchunguzi wa vitu. halisi jinsi vilivyo au vinavyoonekana, Ni uchunguzi kuhusu

mandhari fulani ambayo mtu. hutagusana nayo. Ni uchunguzi wa jinsi vitu

vinavyoonekana au vitu kama vilivyo kuJingana na anayevitazama.

Kulingana na Oxford Advanced Learner's Dictionary (2005:1089) Finominolojia ni

tawi la falsafa linalohusiana na mazingira ya tu.nachoona, tu.nachohisi na kadhalika

kinyume na kile kiJichoko au ukweJi uJioko kuhusu uJimwengu. UkweJi ni kuwa

mwandishi anaposawiri mandhari.fulani kama vile katika hadithi fupi huwa anaeleza

tajiriba yake na ya jamii inayomzunguka Finominolojia huweza kuelezwa kama

sayansi ya haJi haJisi Hapa kuna suaJa la ithibati. Ithibati ni dhana inayoonyesha

kupatikana kwa ukweli kupitia kwa mawazo ya mtu..

Mwasisi mkuu wa Nadharia ya FinomiJojia ni Edmund HusserJ aJiyepata wafuasi

wengi katika Chuo Kikuu cha Gottingen na Munich nchini Ujerumani. Baadaye

nadharia hii ilienea Ufaransa na hata Marekani na kwingineko. Waasisi wengine

(23)

Heidegger, Jean Paul Satre, Mourice Merleau-Ponty, Edith Stein, Max Scheler, Nicolai Hartmann, Eric Voegelin miongoni mwa wengine wengi.

Wasomi wa baadaye wa nadharia hii walisema kwamba maelezo kuhusu

Finominolojia yapaswa huhusisha maana ya vitu au haJi katika mazingira yetu kama

vile mabdcio,vita, ala,na wakati kama tunavyogusana navyo. Kulingana na Nadharia

ya Sayansi ya Auguste Comte Finominolojia ni uchanganuzi wa uhalisia ambao

sayansi yoyote ingeeleza,

Mihimili ya Nadharia ya Finominoloji ni pamoja na:

1. Kuchanganua aina ya mandhari kwa kuhihusisha na muktadha unaohusika, 2 Kuchanganua aina ya mazingiJa kwa kuzingatia sifa zake za kimsingi na

kuzieleza.

3. Kujihusisha na kuchunguza vitu huru katika haJi haJisi.

4. Kuchunguza jinsi maana inavyopatikana katika mandhari yetu inatokana na

matukio ya kihistoria yanayokusanyika kwa kipindi kirefu.

I'5. Kuhusika na kuchanganua hali halisi ya uelewa na dhamira, kwa kukisia kuwa

hutokea katika ulimwengu asili,

Katika kazi za fasibi vipengele kama vile mandhari na matumizi ya lugha baviwezi

(24)

Utafiti huu ulitumia mihimili mitatu ya nadharia hii. Kwanza ni kuwa

Finominolojia huchunguza jinsi maana kama inavyopatikana katika mandhari yetu

inatokana na matukio ya kihistoria yanayokusanyika kwa kipindi kirefu. Mhimili

huu ulitumiwa kueleza mchango na maana ya mandhari katika hadithi fupi.

Mbimili wa pili unahusu asili ya maana ya vitu vinavyotuzunguka na mandhari ya

mtn, Mhimili hun ulitumiwa kulingaoisha mandhari katika hadithi fupi na

kuonyesha uhusiano wake kimaana.

Mhimili wa tatu ni ule unaosema kuwa Finominolojia huhusisha upunguzaji.

Matumizi ya lugha huweza kuwasilisha maudhui kwa maneno machache. Hapa

mahlmizi ya Jugba katika hadithi teuJe yaJiJinganishwa

1.7.0 Yaliyoandikwa kuhusu Mada

Sahemu hii ilishughulikia yalioandikwa kuhusu mada Dizingatia yalioandikwa

kuhusu hadithi fupi, mandhari na matumizi ya lugha.

1.7.1 Badithi fupi

Misingi ya hadithi fupi inahusishwa kwa kiasi kikubwa na mhakiki wa Kimarekani

aliyeitwa Edgar Allan Poe. Ntiba (2011) anasema kuwa huyu ndiye mwasisi wa

utanzu wa hadithi fupi. Mnamo mwaka wa 1842, Poe alieleza sifa za hadithi fupi

(25)

maana kuwa hadithi fupi husomwa kwa kipindi kifupi. Mwasisi mwingine wa utanzu

huu ni Brendar Mathews. Huyu ndiye anaaminika kuwa wa kwanza kutumia neno la

Kiingereza, short story kumaanisba hadithi fupi. Kulingana na Wamitila (2002:66) utanzu huu umekua sana katika fasihi za lugha za Ulaya Hata hivyo, anaongeza

kusema kuwa suaJa hili sio suala la kushangaza kwa sababu fasihi ya Kiswahili bado

inaendelea kukua

Mengi yamesemwa kuhusu utanzu wa hadithi fupi katika fasihi ya lugha ya

Kiingereza Parker (1965:] -88) ameshughulikia maudhui ya hadithi fupi.Ameonyesha

baadhi ya maudhui yanayopatikana katika badithi fupi. Haya ni pamoja na mapenzi,

njaa na kadhalika Kwa mujibu wa Parker, hadithi fupi inayofaa ni ile

inayomwelekeza msomaji kuelewa maisha ya sasa na hata kutabiri ya baadaye.

Bailey (2002) anachangia kukua kwa hadithi fupi kwa kushughulikia vijenzi vya

hadithi fupi. Anaeleza kuwa wakati katika hadithi fupi ni mfupi buku wahusika

wakiwa wacbacbe. Kwa sababu hii, mwandisbi buwa bana uburu waJa nafasi ya

kuwakuza wahusika wake kikamilifu. Naye Mwanzi (1987) anatoa ufafanuzi zaidiwa

sifa za hadithi fupi. Anasema kuwa hadithi fupi za kisasa zina mizizi yake katika ngano.

Baadhi ya wasomi wanakubaliana kuwa hadithi fupi ilijitokeza na kusbugbuIikiwa

kama utanzu wa fasihi andishi katika kame ya kumi Da tisa (McClare:1980 na

(26)

ukilinganishwa na riwaya, ushairi na hata tamthilia. Naye Dlamini (1981) anahoji kuwa hadithi fupi za Kiafrika zilikuwa zikitajwa tu katika fasihi ya Kiafrika kwa

,

jumla na uhakiki wake ukapatikana chini ya uhakiki wa riwaya Hapa

kinachosisitizwa sana ni maelezo kuhusu hadithi fupi za Kimagharibi. Hata hivyo,

rnaelezo yanaonyesha baadhi ya sifa za hadithi fupi za Kiafrika.

Kuna baadhi ya wataalamu ambao wameeleza maana ya hadithi fupi katika muktadha

wa Kiafrika. Maelezo haya yalikuwa muhimu kwa utafiti huu. Hii ni kwa sababu diwani za hadithi fupi za Kiswahili ndizo zilizotumiwa katika utafiti. Hata hivyo, ni

watafiti wachache ambao wameshughulikia hadithi fupi katika muktadha wa Kiafrika.

Maoni ya hawa yalishughulikiwa hapa Sengo (1982) arneshughulikia suala la hadithi

fupiza KiswahiJi kwa ujumla Ameonyesba tofauti kati ya utanzu wa hadithi fupi na

tanzu zingine za fasihi andishi kama vile riwaya, tamthilia na ushairi. Aidha, arneshughulikia usahili wa hadithi fupi, ubunifu parnoja na rntindo wake.

Hakuna fasili ambayo inaweza kutufunulia maana ya hadithi fupi kwa muhtasari

kWani zinatofautiana sana katika urefu, maudhui, mtindo na muundo. Kibera (1988) anahoji knwa hadithi fupi ni muhimu sana katika ukanda wa Afrika Mashariki Utafiti

wake pia ni rnuhimu kwani mawanda ya hadithi fupi katika Afrika Mashariki ni

mafupi.Naye Msokile (1992) anajadili maoni ya wataalarnu wengine wa haditbi fupi. Hawa ni pamoja na Saroyan n~ Esenwein arnbao katika ufafanuzi wa hadithi fupi

walisisitiza vipengele vya ufupi na idadi ya maneno. Mtaalamu mwingine ni Mohochi.

(27)

Hapa alinuia kuonyesha kuwa hadithi fupi ni utanzu wa fasihi wenye kujitegemea na

wenye kaida mbalimbali zinazoongoza ujenzi wa fani yake.

Mukopi (2005) naye alitafiti ni kwa njia gani sifa za usimulizi zinavyoingiliana na

sifa za uandishi katika hadithi fupi za Kiswabili. Aliweza kukana kuwa hadithi fupi

ilitokana na mazimulizi ya ngano za kale. Utafiti wa Mukopi unatofautiana na utafiti

wetu kwa misingi kwamba utafiti huu ulijikita katika kucbunguza na kulinganisha

mandhari na matumizi ya lugha katika hadithi fupi. Haukujihusisha na masimulizi ya

kale.

Utanzu huu wa hadithi fupi ni utanzu wenye mkanganyo. Kulingana na Mohamed

(1995:94) utanzu wa hadithi fupi huchukua mkondo mmoja usiokuwa na vitawi vingi.

Hii ina maana kuwa bakuna ndani yake masimulizi ambayo bayahusiani moja kwa

moja na mwelekeo wa mkondo mkuu wa hadithi ambayo kwa kawaida inambusu

rnhusika rnrnoja au inawahusu wahusika wacbacbe.

Wamitila (2003:237) pia anachangia kuhusu hadithi fupi kwa kueleza kuwa hadithi

fupi ni hadithi inayojifunga kwa idadi ndogo ya wabusika na tukio fulani maalum,

inayoonyesba mabadiJiko ya sebemu na wakati wa matukio (mandhari) kwa upana na

isiyojiingiza kwenye undani wa wahusika. Wamitila (2002:vii) anapiga batua na

kusema kuwa badithi fupi ni utungo wa kinatbari ambao buwasilisba kisa na ujumbe

kwa kuturnia njia ya mkato na kutegemea ubanifu wa kisa kikubwa, Kimsingi kitu

(28)

na mhusika mmoja mkuu au wahusika wawili. Hata hivyo, anachokikumbuka

msomaji wa hadithi fupi sio mhusika bali ni tukio lenyewe. Huku ni kusema kuwa

tokio katika badithi fupi ni muhimu..

Kwa maoni ya Forster (1927:42) hadithi ni masimulizi juu ya matukio yaliyopangwa

kama yalivyotokea kiwakati. Hivyo basi kufaulu kwa mtunzi yeyote wa hadithi fupi

hutegemea uwezo wake wa kubuni na kupanga masimulizi. Akimuunga mkono Ohly

(1992: X) anaongeza kuwa hadithi fupi hujengwa katika tukio lisilo na mawanda

mapana na arnbalo Iirnechotwa kutoka katika jarnii.

1.7.2 Mandhari

Mandbari nirnahali au rnakazi rnaalum yaliyojengwa na rntunzi rnnarnotukia matukio

mbalimbali ya kazi ya fasihi, Njogu na Chimerah (2008:46) wanaeleza kuwa ni

mazingira ya wahusika parnwe na matukio, na inahusu mahali wanamokaa wahusika

na kuingiliana Mazingira haya ni ya kijarnii na ya kiuchumi ya wahusika hao, na nafsi

zao za kitabaka Kufahamu rnandbari kunatusaidia kueJewa hisia, imani, tabia na manmbile ya wahusika. Mandhari pia inatupa mwelekeo kuhusu maudhui.

Mandbari buweza kuwa ni popote. Mbatiab (200]:45) anaongeza kusema kuwa

mazingira yanaweza kuwa nyumbani, njiani au kwenye uwanja wa vita. Ni sura ya

mahali basa ikiwa ya kuvutia Hivyo basi,rnandbari ni rnahali popote arnbapotokio la

(29)

Kulingana na Moss na wengine (1987:46) mandhari ni mahali ambapo hadithi

hutokea Huweza kuwa moja au ikabadilika Moss anaongeza kuwa mandhari huwa ni

muhimu sana katika kuelewa hadithi, Aidha, anasema kuwa watu ni sehemu ya mandhari. Hapa tunazingatia jinsi wanavyowaza, wanavyoongea, wanavyovaa na hata tabiazao.

Kwa mujibu wa Wamitila (2003:210) mandhari hutumiwa kueleza sehemu ambako

tendo fulani hutendeka, Neno hili huweza kutumika kwa mapana kueleza pia mazingira ya kiteknoJojia ya tendo fulani Anaongeza kusema kuwa mandbari ina

nafasi na umuhimu 'mkubwa katika hadithi fupi, na kwamba ni lazima msomaji

ajitahidi kuangalia kama kuna uhusiano kati ya mandhari na vipengele vingine vya

utunzi kama wahusika, dhamira, maudhui, ujumbe na kadhalika, WamitiJa anahoji kuwa mazingira huweza kuwa ya kijamii, kitamaduni, kisasa, kihistoria na kadhalika. Hoja hii ina maana kuwa hadithi fupi inaweza kuwa na aina moja ya mandhari au

zaidi kati ya bizi tnlizotaja

I'

Naye Kezilahabi (1983) anahisi kuwa mandhari ni tatizo kubwa kwa waandishi wa

Kiswahili. Anadokeza kuwa kuna mandhari ya aina mbili: mandhari ya kubuni na

mandbari halisi, AnaeJeza kuwa mwandishi anayetumia mandhari ya kubuni tatizo la

mandhari si kubwa kwake. Tatizo ni kwa yule anayetumia mandhari halisi. Aidha,

anaongeza kuwa waandisbi wanaotumia mazingira wanayoyaeJewa vyema huweka

hadbarani matatizo. Kuhamisha wahusika kiholela husababisha mabadiliko ya

(30)

Baadaye Wamitila anaongeza kusema kuwa mandhari ni mahali na wakati ambapo

tukio au hadithi husimuliwa, (2007). Mahali hapa hurejelea mazingira ya kijiografia,

kitamaduni na thamani na bata mawazo ambayo yanayatawala mazingira yenyewe.

Anahoji kuwa hadithi fupi inalenga mandhari finyu, ile tu inayohusiana na mgogoro

mkuu. Kisa chenyewe pia hutokea kwenye kipindi kifupi.

Mandhari ya hadithi fupi kulingana na McOnyango (2007) ni lazima iwe mahali

pamoja Hapa pana maana kuwa wahusika katika hadithi fupi hawapewi nafasi ya

kubadilisba mazingira sana Waandisbi mbalimbali butumia mandbari mbalimbali

katika kazi zao za fasihi. Katika riwaya ya Rosa Mistika (1971) Kezilahabi ametumia

mandhari ya shambani katika kijiji cha Ukerewe. Hata hivyo, wahusika wake baadaye

waliweza kubadiJisha mandhari yakawa ya mjini na kadhalika,

Mohamed S.M katika riwaya ya Nyota ya Rehema (1976) ametumia mandhari ya

pwani, kwenye kisiwa, Hapa shughuli za ukulima zinathaminiwa sana Baadaye

baadbi ya wahusika wanabadiJi mandhari. Hata kuna wale wanaoenda UJaya Katika

,-riwaya ya Utengano (1980) Mohamed S.A anatumia mandhari ya pwani. Hata hivyo

wahusika wanabadilisha mandhari kutoka eneo moja la pwani hadi lingine. Kwa

mfano, Maimuna anatoka Liwazoni na 'kwenda Pumziko, Baadaye anaenda Bobea

kisha Futoni na mwisho akaishi Hitama.

Mandhari inayotawala riwaya ya Vipanya vya Maabara (2007) iliyoandikwa na

(31)

mandhari halisi ya kijiografia. Hata hivyo, wahusika wanabadilisha mazmgira.

Wanaenda maeneo mengine kama Naivasha Naye Muusya katika Sinema Bila Malipo

(2010) anasawiri mandhari ya kijijini, nyumbani kwa Mzee Nungu. Baadaye baadhi

ya wahusika wanahamia mjini Busia na hata katika taasisi za elimu kama vile Chuo

Kikuu cba Samani,

Kitsao anatumia mandhari ya kijijini katika tamthilia ya Uasi. Hata vivyo, mandhari

hii inabadilika kutoka nyumbani kwa John, kwenda nyumbani kwa Mzee Chande,

nyumbani kwa Nyamawi na hata njiani.

Kuna mazmgira ya kihistoria katika tamthilia ya Mashetani (1971). Matukio

yanayosawiriwa yanafungamana na matukio ya kihistoria yalitokea baada ya

mapinduzi yaliyofanyika visiwani mwaka wa 1964. Katika tamthilia ya Nitoolewa

Nikipenda (1982) Wa Thiong'o na Mirii wanatumia mandhari ya kihistoria, Inahusu

matukio ya wakati wa ukoloni na yale yaliyofuata nchi za kiafrika zilipojinyakulia

uhnm, Mandhari ya kijiogmfia ni mkoa wa kati nchini Kenya

Mberia katika tamthilia ya Maua Kwenye Jua La Asubuhi (2004) ametumia

mandhari ya nchi ya Kiafrika iliyo na makabila mengi. Katika nchi hii vita vya

kikabila hutokea mara kwa mara na watu wengi kuuli a huku mali ikiharibiwa.

Katika diwani ya hadithi fupi ya Arusi ya Buldoza na Hadithi Nyingtne, mandbari ya

hadithi ya "Dakika ya Mwisho" ni kwenye Hoteli. Hoteli hii iliitwa Lover's Corner,

(32)

Katika diwani ya Shingo ya Mbunge na Hadithi Nyingine (Wamitila :2007), kuna

hadithi " Tingatinga" ya Mbogo. Katika hadithi hii, mandhari ni ya mjini. Nayo

diwani ya Mimba fingali Mimba na Hadithi Nyingine (McOnyango :2006) kuna

hadithi ya "Mimi Sijui". Hadithi hii inatumia mandhariya uwanjani. McOnyango

anasawiri uwanja uIiokuwa unafanyika Mechi ya kandanda,

Katika diwani ya Kurudi Nyumbani na Hadithi Nyingine (Mbatiah: 2007), Mwangi

anatumia mandhari ya nyumbani katika hadithi "Mioyo ya Chuma". Hapa ni

nyumbaoi kwa Mzee Kakai, Vilevile katika diwani yaMayai Waziri wa Maradhi na

Hadithi Nyingine, (Wamitila : 2004) kuna hadithi ya "Siku ya Mganga". Katika

haditbi hii Mpilipili ametumia mandhari ya mahali pamoja, Ni ya nyumbani kwa

Mganga MwaibaJe. Katika diwani yaMwendawazimu no Hadithi Nyingine, (Mbatiah:

2000) mandhari kuu katika hadithi ya "Jitu la Kisasa" ya Wafula ni nyumbani kwa

Mzee Lomo, katika kijiji cha Lambaka, Hapa ni pale palipokuwa na bafla ya mazishi.

1.7.3 Matumizi ya Lugba

Tafiti na maandishi ya awali kubusu matumizi ya lugha yalikuwa ya umuhimu sana

katika utafiti wetu. Hii ni kwa sababu matumizi ya lugha ni kati ya vipengele

vilivyochunguzwa katika utafiti huu. Wafula na Njogu (2007) wanataja kuwa

matumizi ya lugha hudhihirika katika muktadha maalum. Naye Chesaina (1996:69)

anaeleza matumizi ya lugha kama jinsi ambavyo waandishi hufinyanga lugha ili

(33)

mzuri wa hadithi fupi ni yule ambaye matumizi yake ya lugha yatakuwa na athari kwa

msomaji wa hadithi hiyo.

Kwa mujibu wa Wamitila (2003:240) matumizi ya lugha ndiyo nyenzo kuu katika

uandishi wa kifasihi. Anaongeza kuwa matumizi ya lugha ya mwandishi wa hadithi

fupi huathiri kwa kiasi kikubwa jinsi msomaji anavyoathiriwa na kazi hiyo. Mwanzi

(1997) katika tasnifu yake ya uzamifu anashughulikia mtindo wa hadithi fupi za

Ngugi wa Thiong'0, Leonard Kibera na Gtace Ogot. Hapa anazungurnzia matumizi ya

Jugha kama viJe taharuki, mazungumzo na ishara Hata bivyo, ucbunguzi huu

haukuzingatia ulinganishaji wa matumizi ya lugha ya waandishi mbalimbali. Suala

hili ndilo lililoshughulikiwa katika utafiti huu.

Pasipo na matumizi ya lugha mwandishi hawezi kutoa mawazo yake. King'ala

(1985:26) anadai kuwa mwandishi buwezeshwa na matumizi ya lugha kuwasilisha

mawazo yake kwa msomaji wake. Anaendelea kusema kuwa matumizi ya lugha ya

mwandishi yaweza kuwa yanavutia wasomaji au yakawa dufu, ambayo hayawatii

moyo wasomaji. Haya yote hutegemea ufundi wa msomaji katika kutumia lugha.

Hivyo basi, ni matumizi ya lugha ambayo hufanya ujumbe wa mwandishi ueleweke

vyema au usieleweleke na msomaji. Kwa misingi hii, mwandishi rnzuri ni lazima

atumie nahau, methali, tashbihi, isitiari na kadhalika, Kwa kufanya hivyo, uaadishi

(34)

Wasomi wengi wanakubaliana kuwa matumizi ya lugha yana shabaha mbalimbali

kutegemea matakwa ya watumiaji wa lugha hiyo. Ukweli ni kuwa msanii huongozwa

na hisia zake au viungo alivyonavyo moyoni vinavyomkereketa na kumlazimisha

aandike mambo yanayomkera ili jamii iweze kuona mgogoro na matazizo yaliyomo

katika jamii na hivyo kutafuta ufumbuzi wa migogoro hiyo.

Matumizi ya lugha ni uteuzi wa maneno maalum na utumiaji wake kwa nia ya

kuelezea vizuri au kudhihirisha ukwasi wa lugha alio nao mtunzi. Kaui na Wafula

(2008) wanaongeza kusema kuwa matumizi ya lugha buonyesha usanii wa

mwandishi. Utafiti huu unanuia kuonyesha jinsi ambavyo matumizi haya ya lugha

huweza kutofautiana kutoka mwandishi mmoja hadi mwingine.

Matumizi ya lugha ya waandishi mbalimbali hutofautiana. Hata hivyo, wakati

mwingine hulingana. Kwa mfano, Walibora (1996) ametumia methali namna kwa

katika riwaya ya Siku Njema. Kezilahabi naye butumia lugba ya moja kwa moja na

ambayo ni nyepesi, kama vile katika riwaya yaRosa Mistika (1971). Mohamed (2010)

ametumia majazi katika riwaya ya Nyuso za Mwanamke. Naye Muusya (2010)

ametumia maswali ya balagha sana katika riwaya yaSinema BilaMalipo.

TamthiJia nyingi za Kiswahili zimeweza kutumia jazanda Hizi m pamoja na

Mashetani (1971), Kifo Kisimani (2001), Maua Kwenye .Jua La Asubuhi (2004) na

(35)

Utafiti huu hivyo basi ulinuia kuchunguza mandhari na matumizi ya lugha ya

waandishi mbalimbali katika hadithi fupi. Vipengele hivi pia vililinganishwa ili

kuhaini ulingano na tofauti.

1.8.0 Mbinu za utafiti

1.8.1 Mahali pa utafiti

Utafiti ulifanywa maktabani. Mtafiti aJipitia vitabu, majarida na makaJa nyingine

zinazoonyesha historia na mabadiliko katika hadithi fupi, mandhari na matumizi ya f

lugha. Pia kupitia kusoma maktabani mtafiti alijifahamisha na nadharia ya

Fioominolojia Hii ni nadharia iliyoongoza utafiti hull. Pia aJisoma kazi za awali

.J

zinazohusiana na utafiti huu ili kubainisha yaliyoandikwa kuhusu mada.Aidha, mtafiti

alitumia mtandao ili kubainisha masuala ibuka kuhusiana na mada hii. Hatua hii

ilichangia katika kuimarisba utafiti wenyewe.

1.8.2 Uteuzi wa sampuli

Sampuli katika utafiti huu ilizingatia mbinu kusudio. Hii ni kwa sababu ililenga

diWam mbili, Moja ni diwani iliochapisbwa awali na nyingine ni ya hivi karibuni.

Diwani hizi niPendo la Heba na Hadithi Nyingine (1996) naMizungu ya Manabii na

Hadithi Nyinyine (2010). Tofauti hii ya kiwakati ilikusudiwa ili kuwezesha

uliaganishi kwani utafiti huu ulizingatia mtazamo linganishi. Katika diwani hizi mna

jumla ya hadithi 22. Hapa utafiti ulitumia hadithi 12. Katika kuteua hadithi hizi pia

tulitumia mbinu kusudio. Hii ni kwa sababu hadithi zilizochunguzwa ni zile

(36)

ilitosheleza data tuliyohitaji katika utafiti hull. Kutoka kila diwani, hadithi sita mahsusi ziliteuliwa kama ifuatavyo:

Pendo La Heba na Hadithi Nyingine.

Pendo la Heba Uk. 1- 10

Mtembo Uk.27-31

Jitu la Kisasa Uk. 39-43

Jahanamu Uk.44- 50

Genge Uk. 5]-59

Kisasi Uk.66-71

Mi::ungu yaManabii naHadithi Nyingine.

Mizungu ya Manabii Uk. 31-60

Dukuduku la Mkimbizi Uk.61- 80

Kutiwa Jando Uk.81-90

Siri yaMume Uk. 137- 150

Uchochoro wa Mauti Uk. 151- 162

Jua Litawaka Uk. 189-204

1.8..3 ~ kusanyaji wa data

Utafiti huu uliJenga kukusanya data ya kimaeJekezo. Mtafiti aJielezea historia ya

hadithi fupi,jinsi matumizi ya lugha katika hadithi fupi hujenga mandhari na pia jinsi

(37)

Katika utafiti huu mbinu iliyotumika katika ukusanyaji wa data ni usomaji wa hadithi

fupi. Hizi ni hadithi kumi na mbili zilizoteuliwa kutoka kwenye diwani teule. Vitabu

vingine, majarida na maandishi mengine kuhusu suala hili la utafiti yalisomwa Tafiti

za awali zenye mada zinazohusiana na utafiti huu zilipitiwa. Katika ukusanyaji wa

data hii, mtafiti aliongozwa na malengo ya utafiti.

1.8.4 Uchanganuzi wa data

Data iliyokusanywa ilichanganuliwa ili kufikia malengo ya utafiti. Uchanganuzi

ulimulika mchango wa matumizi ya lugha katika kujenga mandhari ya hadithi fupi. Uchanganuzi utatumia mtazamo linganishi. Mtafiti alitathmini uhusiano uliopo baina

ya waandishi mbalimbali wa hadithi fupi katika matumizi ya lugha na usawiri wa

mandhari. Aidha katika uchanganuzi, mtafiti aJitatbmini tofauti ilioko baina ya

waandishi tofauti tofauti wa hadithi fupi katika matumizi ya lugha na katika usawiri

wa mandhari.

1.8.5 Uwasilishaji wa matokeo ya utafiti

,-Matokeo ya data iJiyokusanywa yaliwasiJishwa kwa njia ya maelezo kwa kuzingatia

maJengo ya utafiti. Sura ya kwanza ambayo ni utangulizi ilishughulikia maswala ya

kikaida kwa mujibu wa matakwa ya idara ya Kiswahili, Chuo Kikuu cha Kenyatta.

Haya ni mambo kama vile suala la utafiti, madhumuni, maswali ya utafiti, sababu za

kucbagua mada,upeo na mipaka, misingi ya nadharia na yaliyoandikwa kuhusu mada, Sura ya pili ilishughulikia historia na maendeleo ya hadithi fupi. Utafiti uliangazia

(38)

tatu ilishughulikia jinsi ambavyo rnaturnizi ya lugha ya rnwandishi hujenga rnandhari

katika hadithi fupi, Sura hii pia iiionyesha kuwa rnaturnizi tofauti ya lugha ya

waandishi tofauti huzua mandhari tofauti tofauti katika hadithi fupi,

Sura ya nne ilionyesha jinsi ambavyo rnandhari irnesawiriwa katika hadithi tofauti. Pia

ilionyesha vile ambavyo rnandhari huchangia katika kuwasilisha rnaudhui ya

mwandisbi wa hadithi fupi, Sura ya tano inaknwa ndiyo ya mwisho. Sura hii

(39)

SURA YAPILI

BISTORIA NA MAENDELEO YA BADITHI FUPI KA TlKA KISWABILI

2.0 Utangulizi

Katika sura hii tulishughulikia historia ya hadithi fupi katika lugha ya Kiswahili. Pia

katika sura hii tuIifasiri dhana ya hadithi fupi na kuiweka wazi kwa kuitofautisha na

dbana zingine kama vile novela, riwaya na ngano. Kwa kufanya hivi mlitathmini

fasiri ambazo zimetolewa na wataalamu mbalimbali kuhusu hadithi fupi.

Lengo la utafiti buu lilikuwa ni kucbunguza jinsi matumizi ya lugba bukuza mandhari

katika hadithi fupi na vile mandhari hiyo huchangia katika kuwasilisha ujumbe wa

mwandishi. Utafiti huu uIitumia hadithi fupi teuIe za Kiswabili. Vilevile katika sura

hii tulishugbulikia vipengele vingine vinavyokamiJisbana na kuchangiana katika

kuwasilisha ujumbe wa mwandishi wa hadithi fupi. Vipengele hivi ni pamoja na

dhamira ya mwandishi, wahusika, muundo wa hadithi fupi na kadhalika,

2.t

Bistoria ya Baditbi Fupi

I'

Wataalarnu arnbao wameweza kujihusisha na ukuaji wa hadithi fupi ni parnoja na

Mbatiab (2000), WamitiJa (2002), Arege (2004) McOnyango (2006) King' ei na Kobia

(2007), Habwe (2010) miongoni mwa wengine. Hawa wameweza kushughulikia "

historia ya fasihi ya Kiswahili hadithi fupi ikiwepo . Kwa mujibu wa wasomi hawa

utaniu mkongwe zaidi ni ushairi. Baadhi yao wanasema kuwa ushairi huo ulikuwa

unasimulia hadithi. Tanzu zingine za fasihi andishi ni riwaya, novella na tamthilia.

(40)

Mashairi ya Kiswahili yalianza kuhifadhiwa punde Waarabu walipokuja pwani ya

Afrika Mashariki. Hiki ni kipindi kabla ya miaka ya 900 k.k Wakati huu hati za

KiaIabu ndizo zilitumiwa kuandika mashairi hayo.

Historia ya tanzu zingine kama vile riwaya, novella, tamthilia na hadithi fupi

inahusishwa na nyakati za majilio ya watu wa kutoka Ulaya Magharibi. Hizi ni tanzu

za fasihi cmdisbi.Tanzu hizi ziliweza kuandikwa wakati huo na kuhifadhiwa kwa hati

za Kirumi. Maandishi haya yalianza katika kame ya kumi na sita. Kabla ya wakati

huu,kazi ya nathari iliyopatikana kwa lugha ya Kiswahili ilikuwa ni masimulizi, yaani

ngano kama vile Hekaya za Abunuwasi.

Kuhusu hadithi fupi za Kiswahili Mulewa (2008) anaeleza kuwa utanzu huu unaweza

kueleweka vyema katika muktadha wa historia nzima ya fasihi ya Kiswahili. Fasihi hii

nayo ni ile ambayo imeandikwa pamoja na ile ambayo busimuliwa tu. McOnyango

(2006) anaeleza kuwa utanzu mkongwe wenye ukuruba na ule wa hadithi fupi ni ule

wa hadithi za Waswahili za kupokezanwa kizazi hadi kingine kwa njia ya mdomo;

yaamngano.

Ukweli ni kwamba kila jamii iJikuwa na masimulizi kama haya.

.Habwe (20I0) naye anafafanua kuwa hadithi fupi imekuwa njia kuu ya kushauri,

(41)

Anaongeza kusema kwamba katika Afrika, masimulizi yalikuwa yanafanywa jioni

baada ya shughuli za kutwa Katika kila jamii kulikuwapo na wataalam waliokuwa na

ujuzi na uzoefu wa kutamba hadithi. Rata hivyo Habwe amebainisha wazi kwamba

hadithi fupi za kisasa kama tunavyozijua siku hizi hazitokani na masimulizi ya kale

bali zinatokana na athari za fasihi ya Kiingereza.

Wasomi wengine wanakubaliana kuwa hadithi fupi ni hadithi tu, ziwe ni za kisasa

zilizoandikwa au zile za jadi zilizosimuliwa tu. Jinsi ambavyo kila jamii ilikuwa

tofiwti na nyingine ndivyo iJiJruwana bistoria tofauti ya baditbi .

Mhakiki wa Kimarekani Edgar Allan Poe anachukuliwa kama mwasisi wa utanzu huu

wa hadithi fupi pamoja na mhakiki aliyefahamika kama Brander Mathews. Mathews

anaaminika Jruwa ndiye mtu wa kwanza Jrutumia neno Ja Kiingereza "short story"

kumaanisha hadithi fupi. Kulingana na Wamitila (2002) fikira za Poe zinazorejelewa

sana ni zile za mwaka wa 1842.

Mlaka mingi baadaye utanzu wa hadithi fupi za kisasa ndio uliweza kufika katika

eneo la Afrika Mashariki. Zilianza kuandikwa kwa lugha ya Kiswahili katika kame ya

20_Kwa mujibu wa McOnyango (2006) tafiti za awaIi kubusu badithi fupi katika

lugha ya Kiswahili zilifanywa na watu kama vile Albert Gerard. Gerard anasema

kuwa tangu miaka ya 1950 tafsiri za KiswahiJi za baditbi fupi za Kichina na Kirusi

(42)

kikwetu zinazokaribiana na hizi tafsiri kulifanya kuzipokea kuwa rahisi. Baada ya

kupokea tafsiri hizi, Waswahili walianza kutunga na kuandika hadithi zao fupi.

Mchango wa Mohamed (2005) unatusukumiza kuamini kuwa hakuna mpaka kati ya

hadithi fupi na masimuJizi yaliyopatikana katika jamii za Kiafrika Anasema maisha

yaJreya utotoni aIiishi katika kibanda kimoja na wanawake kadhaa akiwemo mamake.

Anaeleza kuwa wanawake hawa walikuwa na vipawa vya kutongoa, kusimulia,

kuimba na kadhalika kwa umahiri mkubwa Naye Mohamed akawa anawahusudu

wanawake hawa kwa ubingwa wao. Katika kujikakamua kuwa kama woo ndipo

alitokea kuwa mwandishi. Hata hadithi zake za kwanza zilitokana na masimulizi

.waliyokuwa wakisimuliwa wakiwa watoto na wazazi woo. Kile ambacho amefanya

Mohamed ni kuonyesha athari za masimulizi ya awaIi katika hadithi fupi za kisasa

Mbatiah ameepuka kuzungumzia uhusiano ulioko kati ya asili ya hadithi fupi na

masimulizi. Badala yake Mbatiah (2000) anaeleza kuwa waandishi wa hadithi fupi

huweza Jrutumia mitindo ya fasihi simulizi katika kazi zoo. Kwamaoni yake utanzu

I'

wa hadithi fupi hutumia mitindo ya ngano kama utanzu mwingine wowote wa fasihi

andishi. Anaongeza kusema kuwa waandishi wa utanzu huu wamefanya majaribio ya

kutumia mbinu za ngano simulizi katika kazi zoo. Mfano mzuri ni wa kazi za Taban )0

Liyong. Huyu wahusika wengi wa kazi zake ni wanyama. Gabriel Ruhumbika katika

hadithi yake ya 'Dua Ja Kuku Lilivyompata Mwewe' ameweza kutumia mbinu ya

(43)

Katika miaka ya 1960 hadithi fupi za Kiswahili zilianza kutokea katika magazeti hasa

nchini Tanzania Hadithi zingine zilianza kushirikishwa kwenye mashindano ya

uandishi wa badithi fupi. Hadithi fupi zilizoshiriki katika mashindano zilisomwa

katika idhaa ya BBC na baadaye zikachapishwa katika mifululizo ya diwani. Kwa

mfano diwani ya Mapenzi ni Kikohozi, Kinywa jumba la maneno na Pavumapo

Palilie.

Baada ya miaka ya 1960 utanzu wa hadithi fupi katika lugha ya Kiswahili uliendelea

kukua, Wamitila (2002) anaeleza kwamba rnaendeleo makubwa katika uwanja wa ucbapishaji yalidhihirika kuanzia miaka ya sabini Machapisho yaliyotokea ni pamoja

na Pepeta za Yahya, Zaka fa Damu na Hadithi Nyingine (1974) na Uwike Usiwike

Kutakucha (1978) na Ruhumbika Katika miaka ya 1980 machapisho yaliyotolewa ni

pamoja na: 'iiakuja kwa siri (1981) ya Msokile, Dhuluma na Hadithi Nyingine (1980

) ya Banzi,naNipe Nikupe naHadithi Nyingine (1982) ya Banzi.

Kwa rnujibu wa Ntiba (lOll:24) bakukuwapo na rnacbapisbo rnengi ya diwani ya

hadithi fupi katika miaka ya tisini, Mfano wa diwani za hadithi fupi zilizochapishwa

ni Pendo fa Heba na Hadithi Nyingine (1996) ya King'ei na Wafula. Ntiba anaeleza «

kuwa ni katika rniaka ya 2000 arnbapo kulitokea rnJrurupuko wa machapisho ya

haditbi fupi za Kiswahili. Diwani zilizotolewa wakati huu ni pamoja na:

Mwendawazimu na Hadithi Nyingine (2000) na Mwendah, Mayai Waziri waMaradhi

(44)

Wamitila, Kurudi Nyumbani na Hadithi Nyingine (2007) ya Mbatiah, Likizo ya Mauti

na Hadithi Nyingine (2007) na King' ei na Kobia naMizungu ya Manabii na Hadithi

Nyingine (20t 0)yaHabwe.

Pamoja na yote haya Mohamed (2005) anahisi kuwa bado fasihi ya Kiswahili ina

mikusanyiko miehache ya hadithi fupi. Anasema sababu za mikusanyiko hii kuwa

micbache bazijulikani vyema Lakini mwenyewe anakisia sababu kadbaa. Kwanza

anasema huenda ni vile utunzi wa utanzu huu ni mgumu na kwamba hakuna watunzi

mahiri wa kuutunga. Pili ni kwamba huenda wasomaji wa fasihi ya Kiswahili

hawajazoea· wala kukomaa kiasi eha kusoma utanzu huu, Na tatu anakisia kuwa

huenda waehapishaji wa vitabu huogopa tu kutoa diwani za hadithi fupi wakidhani

hazitapata mauzo.

Mohamed anasema kuwa vyovyote viwavyo uandishi wa hadithi fupi ni mgumu kiasi

kwa vile muundo wake uhitaji kubana mambo kama vile visa visivyowanda na

kucbukua vitawi na viebipukizi, kumtumbukiza msomaji ghafla katika kiini eha

hadithi yenyewe, kumbana katika taharuki na kumpa hatima ya angusho la ghatla

lenye mtikiso na mshangao. Kile ambacho Mohamed anasisitiza hapa ni kwamba

ugumu katika utunzi wa baditbi fupi busababisbwa na ukweli kuwa mwandishi

hapewi uhuru wa kujifaragua kwa urefu.

Hata hivyo utanzu huu umeweza kuimarika mno. Mohochi (1995) anaeleza kuwa

\ .

(45)

kame ya kumi na tisa, hali imekuwa ya maendeleo. Watunzu wengi wameweza

kujihusisha na utunzi wa hadithi fupi, Wameweza kutunga kuhusu masuala

mbalimbali Raya ni pamoja na elimn, unyanyasaji wa kijinsia, dini, uongozi mbaya, siasa, ukinzano wa ukale na usasa, historia, uchumi, ubakaji, maradhi ya ukimwi na kadhalika

Baadhi ya diwani za hadithi fupi ziliweza kuhusisha mkusanyiko wa hadithi za

mwandishi mmoja Hizi ni pamoja na Kicheko

em

Ushindii 1978) ya Mohamed S.M,

Arusi yo Buldoza na Hadithi Nyingine (2005), Sodiki Ukipenda na Hadithi Nyingine

(2005) na Mfuko Mtupu na Hadithi Nyingine (2005) za Mohamed S.A. Hata hivyo siku hizi nyingi za diwani zinazotolewa ni rnikusanyiko ya hadithi fupi zilizoandikwa

na waandishi mbalimbali Diwani hizi ndizo zina uwezo mkubwa wa kuhakiki jamii

ya Kiafrika. Hii ni kwa sababu kila mwandishi huwa na tajriba tofauti na wenzake.

Hivyo rnatukio yanayoshughulikiwa huwa ni rnapana. Hata rnitindo ya uandishi huwa

pena Hii ni kwa sababu kila mwandishi huwa na mtindo tofanti

,-Tafiti zifuatazo zimeweza kufanywa katika utanzu huu wa hadithi fupi katika miaka

ya hivi karibuni:

Fani katika Hadithi Fupi katika KiswahiJi (Mohochi 1995)

Mtindo na Maudhui katika Hadithi Fupi za Kiswahili (Mbuthia 2003)

UmabuJuti katika Hadithi Fupi za KiswabiJi (Mukopi 2005)

Wahusika katika Hadithi Fupi za Kiswabili (Mulewa 2008)

(46)

Tafiti hizi ni ishara kuwa japo utanzu huu ni mchanga, unaendelea kukua kwa haraka

sana, Kando na utanzu huu kushughulikia masuala ya kisasa, umeweza kutambulika katika asasi za kielimu, Mbatiah (2000) alitoa wito wa umuhimu wa utanm huu utambuliwe. Alipendekeza hadithi fupi zifundishwe katika taasisi za elimu.Miaka michache baadaye pendekezo lake lilitiwa maanani. Nchini Kenya hadithi fupi za

KiswahiIi zilianza kufundishwa katika shule za upili kama sehemu ya fasihi ya

Kiswahili. Kwa sasa (2012) diwani yaMayai Waziri wa Maradhi na Hadithi Nyingine

imetahiniwa mara sita katika mtihani wa kitaifa wa kidato cha nne, KCSE.

Baadhi ya hadithi fupi zimeweza kuandikwa kwa kuzingatia nadharia mpya ya

uandishi na uhakiki wa fasihi. Hii ni nadharia ya uhalisiaajabu au uhalisiamazingaombwe. Mohamed (2005) anaeleza Jruwa mtazamo huu wa kifasihi

uwekuwa maarufu sana katika siku za hivi majuzi. Ni mtazamo unaowakilisha kubadilika kwa fasihi ya Kiswahili. Utanzu huu urnekuwa ukibadilika pamoja na

fasibi nzima Hadithi fupi zilizondikwa kwa kutumia mtazamo huu zimeweza kuwa na

mnaso mkubwa Jambo hili linajitokea wazi kwani pale ambapo katika diwani kuna

..

hadithi yenye kuzingatia mtazamo huu, aghalabu anwani ya hadithi hiyo ndio

huteuliwa kuwa anwani ya diwani nzima

Mifano ya diwani kama hizi ni Sadiki Ukipenda no Hadithi Nyingine ( 2(05) ya

Mohamed S.A. Katika mkusanyiko huu, hadithi 'Sadiki Ukipenda' imeandikwa kwa misingi ya nadharia ya uhalisiaajabu. Pia kuna hadithi ya 'Arusi ya Buldoza' katika

(47)

Nayo pia iliteuliwa kuwa anwani ya kitabu kizima. Mfano mwingine wa hadithi kama

hizi ni ile ya 'MayaiWaziri wa Maradhi' katika mkusanyiko wa Mayai Waziri wa

Maradhi na Hadithi Nyingine (2004) ya Wamitila

tj- f

b.

~ ,;2.2 Vyombo, Bali na Asasi ambazo zimechangia Ukuaji wa Badithi Fupi :.>

...:

,

$

Vyombo vya habari kama vile magazeti, runinga na redio vimetumiwa kusambaza ~.:

hadithi fupi Pia vyombo hivi vimeweza Jrutumiwa katika kuchamhua hadithi fupi

zenye maudhui mbalimbali. Kwa mfano gazeti la TaifaLeo limekuwa na makala

ambayo imekuwa ikishughuJikia lugha na fasihi ya Kiswahili. Kwenye fasihi, mambo

.

\ ambayo yameweza kushughulikiwa ni uchambuzi wa badithi fupi, historia ya badithi

fupi na kadhalika Gazeti hili pia limeweza kuchapisha hadithi fupi ili zisomwe na

wasomaji wake kwenye gazeti.Hii ni ithibati tosha kuwa utanzu wa hadithi fupi wa

lugbayaKiswahili umewezakupigabatua

Vituo vya redio kama vile Redio Citizen KBC idhaa ya Kiswahili na QFM vimeweza

kujihusisha na uchambuzi wa fasihi ya Kiswahili kama vile hadithi fupi. Vituo vya •

runinga vilevile vimeweza kukuza badithi fupi Vituo hivi ni pamoja na runinga ya

KBC, runinga ya Citizen na kadhalika Kando na stesheni hizi kuchambua vipengele

vya haditbi fupi,vinacbangia kueneza baditbi fupi.

Mashirika ya uchapishaji aidha yamechangia kukua na kuenea kwa hadithi fupi katika

Kiswahili. Mashirika haya yamewezesha watu wengi kupata na kusoma hadithi fupi.

(48)

wasomaji. Mashirika haya m pamoja na Longhorn Publishers, Jomo Kenyatta

Fountation, Phoenix Publishers, Moran Publishers, Focus Publishing Ltd, Oxford

University Press na kadhalika,

Taasisi za elimu zimechangia sana kukua na kuenea kwa hadithi fupi za Kiswahili.

Taasisi hizi ni pamoja na shul~ za msingi, shule za upili na vyuo vikuu. Kama

tulivyoeleza awali, hadithi fupi zimekuwa zikitahiniwa nchini Kenya katika mtihani

wa kitaifa kidato cha nne, KCSE. Diwani ya Mayai Waziri wa Maradhi na Hadithi

Nyingine (2004) imekuwa ikitahiniwa kwa muda sasa

Diwani ya Damu Nyeusi na Hadithi Nytngine (2007) nayo imeteuliwa ianze

kutahiniwa mwaka wa 2013. Ili kufanikisha ufundishaji wa hadithi fupi shuleni,

miongozo huweza kuandikwa ikichambua diwani za haditbi fupi, Mfano wa miongozo

.hii ni Mwongzo wa Damu Nyeusi na Hadithi Nyingine (King'ei, Muusya na Mwangi:

2012). Hadithi fupi pia hufunzwa katika vyuo vikuu. SuaJa hili limeendeleza sana

haditbi fupi,

2.3Mgogoro kuhusu Baditbi Fupi

Kwa mujibu wa lribemwangi (2007:vi) utanzu wa hadithi fupi ni utanzu unaozua

mjadala baina ya wabakiki na waandisbi wa hadithi fupi. Mjadala buu unabusu vigezo

vya knpimia hadithi fupi. lribemwangi anahisi kuwa ni jambo lisilo wazi kuweka

mpaka baina ya hadithi fupi na tanzu zingine za kinathari hasa novella na riwaya Hii

(49)

Walibora na Mohamed (2007:3) wanasema kuwa mgogoro kuhusu umuhimu na dhana

ya utanzu na kanuni zake ulianza kutokea nyakati za akina Plato, Socrates na

Aristotle, basa walipojadili dbana ya tamthilia

Sikn hizi kunao makundi matatu yanayotofautiana kuhusu suala la dhana. Ntiba (2011) anaserna kuwa kundi la kwanza linaongozwa na Benedetto Croce. Wengine

waliojihusisba na kundi hili ni pamoja na Giovanni Gentile, Antonio Gramsci na RG

Collingwood. Kundi hili linashikilia kuwa dhana ya utanzu ni potofu. Hii ni kwa

sababu inamzuia rnsornaji kuisoma kazi kama ilivyo, na badaJa yake kurnwelekeza

,

.

kujadIli sana kanuni za utanzu na arnbazo baadhi yake zinaweza kukosekana

Akitetea kauli hii, Croce ananukuu katika Heather Dubrow (1982:83-84) na kusema

kuwa rnwainisbo wa tanzu bupotosba rnwelekeo wa rnsornaji anayejaribu kuisoma

kazi fulani kwa kutumia kanuni tangulizi za utan7J) huo. Anaongeza kusema kuwa

kanuni hizo humfanya msomaji kutojali utambuzi unaomjia akilini papo kwa hapo

kwa vile hufuata kanuni na mantiki ilivyokwisha wekwa ili ifae kazi zote za utanzu

,-huo,

Kundi Ja pili ni lile ambaIo linajaribu kuonyesha urnubirnu wa tanzu basa katika

taaluma ya fasihi. Kundi hili naJo lilihusisha wasomi kama Urnberto Eco na John

Locke. Mtazarno wa kundi hili unaelekea kupinga ule wa Croce na wenzake.

Linaonyesba kuwa fasihi huweza kusorneka na kueleweka vyema ikiwa imegawika

(50)

mawili tangulizi. Kundi hili hufuata kauli ya quintilian iliyochapishwa katika Heather

Dubrow(1982:52). Kauli hii inasema kuwa wakati ambapo tunapaswa kuiga aina ya

muundo wa watangulizi wetu, ni muhimn pia kubuni njia mpya ya uandishi, Hivyo

basi kwa mujibu wa kundi hili si kila wakati tunapaswa kufuata kanuni za utanzu na

kwamba tunapozifuata, huwa si lazima tuzifuate kikamilifu.

Ntiba (2011) naye anachangia kwa kusema kuwa ni vigumu kufikia fasili ya utanzu

wa hadithi fupi ya knkubaliwa na kila mtu. Kauli hii ni kweli kwa sababu wataalamu

wengi na basa wale wanaojihusisha na baditbi fupi za Kiingereza wanapendekeza

idadi maalum ya maneno ambayo hadithi fupi inapaswa kutimiza. Hata hivyo

kunakuwapo na mgogoro baina yao kuhusu maneno hayo yanapaswa kuwa mangapi.

Nao wasomi na waandishi wa hadithi fupi za Kiswahili wanapinga huko kuhesabu

maneno ya hadithi. Wanadai kwamba dhana ya neno si moja katika lugha tofauti..

MathaJao dhana hii inatofautiana katika lugha ya Kiingereza na ile ya Kiswahili.

Tofauti hutokana na matarajio kwamba kila hadithi hutokana au kujihusisha na

utamaduni tofauti. Wataalamu wanashikilia kuwa hadithi fupi hutakiwa kutokana na

ntamaduni ambapo hadithi hi 0imeibuka

Poe baada ya kusoma kitabu cha Tales (1938) cha Nathaniel Hawthorne kuhusu

hadithi fupi alieleza;

Hadithi fupi ni sura katika riwaya, tukio au kitukio ambacho

(51)

msomaji na kumfanya aamini kuwa ingeweza kuharibika ikiwa itakuzwa

na kuwa ndefu au kama itafanywa sehemu ya kazi kubwa.

Poe aliweza kutoa mapendekezq kuhusu mambo muhimu ya kuangaliwa katika

uandisbi wa hadithi fupi. Mapendekezo bayo yameweza kutumiwa na waandishi

weogi kama mwongozo wa kuandika hadithi fupi Akimnukuu Poe, lribemwangi (2007:vii) anaelezea mapendekezo hayo kama ifuatavyo:

Iwe fupi kiasi cha Jrutoatbiri msuko wa kisanaa.

Iwe na urefu wa kuweza kusomeka katika mkao mmoja.

ltumie maneno yatakayoitoa athari aliyoinuia mwandisbi

]weze kusababisha hisia au atbari ya aina moja

[we na matumizi mazuri ya maneno ili kusababisha mguso wa hisia kuliko wa

kiakili.

Akichangia kuhusu mapendekezo haya ya Poe, Maupassant alisisitiza kuwa hadithi ~

fupi inapaswa kuwa na mwisho wa ghafla na wa kusisimua, Anafafanua kuwa mwandishi wake ana jukumu 1a kuelezea ukweli kuhusu sehemu fulani ya nchi anayojihusisha nayo na matendo yanayosimuliwa yawe ya kuaminika na yalingane na

hali hahsi ya jamii inayozungumziwa

Ntiba (2011) anakiri kuwa mgogoro uliopo kwa sasa ni katika kule kujaribu

(52)

utata wa kuelezea ni nini hadithi fupi. Fasili ambazo zimetolewa na baadhi ya

waandishi na wahakiki zimezua mjadala mkubwa.

.

Kuna sababu kadhaa ambazo zinafanya kuwe na ugumu wa kutoa fasili inayokubalika

na watu wote ya hadithi fupi. KuJingana na Mbatiah (2000) sababu moja ni kwamba

hadi1hi fupi inakaribiana sana na riwaya na kukaribiana zaidi na novella. Kwa

kiwango kikubwa tanzu hizi zinatumia stadi za utunzi zinazofanana. Pili utanzu huu

huweza kubadilika kutoka sifa yake moja hadi nyingine, kutoka mwandishi mmoja

hadi mwingine na pia hutofautiana kwa mitindo ya Jruandika haditbi fupi, Sababu

nyingine ni kuwa, waandishi wengi hutumia utanzu huu kama ngazi ya kupandia

kwenye uandishi wa nathari ndefu kama vile noveJIa na riwaya.

Mohamed (2005) anakiri madai ya Mbatiah. Anaeleza kuwa alipokuwa akiandika

hadithi zake za kwanza aliweza kujifunza mambo mengi. Mambo haya ni pamoja na

kusanii, kubuni, kuelewa hisia mpya za binadamu, utu, ukweli, mapenzi. chuki, uhuru,

kujiamini, kupambana, kutetea haki yake na mambo mengine mengi kuhusu maisha.

I'

Pia aliweza kujifunza stadi za lugha. Hii ina maana kuwa mwandishi huyu alitumia

utanm huu wa hadithi fupi kujifunza kuandika. Baadaye alianza kuandika riwaya na

kuwa mwanariwaya mashuhuri katika ukanda wa Afrika Masharikii.

Hii ina maana kuwa utanzu wa hadithi fupi aghalabu bunyimwa uhuru wake na badala

(53)

2.4 Fafanuzi Tofauti za Badithi Fupi

Wataalam na wahakiki wa hadithi fupi wameweza kueJeza dhana ya hadithi fupi kwa

njia mbalimbali. Fafanuzi hOOni pamoja na zifuatazo:

Mbatiah (2000) anaeleza hadithi fupi kama masimulizi yaliyoandikwa kinathari juu ya

tajriba fulani ya maisha, Aghalabu mwandishi huiwasilisha tajriba hiyo kwa kujikita

katika tnkio moja Uti wa mgongo wa utanzu huu ni badithi Ufafaanuzi huu

unasisitiza sana vipengele vya hadithi fupi ambavyo ni usimulizi na tukio kuwa moja

Wamitila (2002) anafafanua badithi fupi kama utungo mfupi wa kinathari

unaojishughulisha na suala fulani kuu wenye wahusika ambao hawakuzwi kwa kina

na unaotumia mbinu za kimaelezo za kibanifu zenye uelekezi wa kiwango cha juu.

Utungo huu hautumii mandhari pana na una athari kuu umoja Unaweza kusomwa

kwa kikao kimoja kifupi. Ufafanuzi huu umezingatia sifa kadhaa za hadithi fupi. Hata hivyo suala muhimu ni ubanifu katika uandishi wa hadithi fupi, Hii ni kwa maana ni

kutokana na ubanifu huu ambapo ufupi wa hadithi hujitokeza, wahusika wakawa hawakuzwi vya kutosha na mandhari inayoshughulikiwa kuwa finyu.

Arege na wengine (2004) wanaeJeza kuwa hadithi fupi ni utanzu wa fasihi ambao

hubainishwa kwa ufupi wake unapolinganishwa na tanzu nyinginezo kama riwaya na

tamthilia Maelezo haya yamejikita katika sifa ya ufupi ya hadithi fupi Hata hivyo

(54)

Kwa mujibu wa Wasike na wengine (2005) hadithi fupi ni kazi ya fasihi ambayo

inaweza kusomwa katika kikao kimoja, ina maudhui yasiyo changamano, wahusika

wachache na ploti iliyo sahili. Maelezo baya yanazingatia ufupi a muda wa kusoma

pamoja na usahili wa ploti ya hadithi fupi.

Kulingana na McOnyango (2006)~badithi fupi ni tungo bunifu Ienye muundo wa

masimulizi mafupi ya maandishi ya kinathari, lenye tukio moja kuhusu mhusika

mmoja kwenye mandhari madogo yeny~ mtiririko rnzuri wa vitendo na huwasilisha

hisia moja kwa msbikamano na wnoja kati ya vipengeJe mubimu vya tungo zima

Ufafanuzi huu umekipa msisitizo kipengele cha ubunifu pamoja na kile cha mnato wa

hadithi.

Wataalam wengine waliotoa ufafanuzi wa hadithi fupi ni King'ei na Kobia (2007).

Hawa wanaeleza hadithi fupi kama utunzi wa kinathari unaomulika suala au tukio

moja na unaweza kusomwa katika kikao kimoja Wawili bawa kwenye maelezo yao

wanasisitiza kipengele cha tukio moja katika hadithi fupi.

flab e (2010) amefafanua badithi fupi kama utungo mfupi unaosimulia tukio la

kubuni au halisi Iinalotokea katika jamii na kuwasilishwa kisanii, Huwa fupi ili

kusimulia tukio kwa ufupi, lakini kwa ukamiJifu wake. Hujikita katika kipindi kifupi

cba maisba ya binadamu. Laweza kulishughulikia jambo lolote mradi liwe linasibu

maisha ya binadamu. Katika ufafanuzi wake, Habwe anasisitiza kuwa asili ya kile

(55)

Mtazamo wa mtafiti ni kwamba hadithi fupi ni kazi ya sanaa inayosimulia kuhusu

tajriba ya jamii kwa njia ya kubana Kutokana na ubanifu huu, mandhari yake huwa ni

finyu,dhamira ya mwandishi huwa ni moja na wala wahusika wake huwa hawajengwi vya kutosha kando na kuwa wanakuwa wachache.

Kutokana na maelezo haya ya wataalam mbalimbali, ni dbahiri kuwa kuna vipengele vyajumla kadhaa ambavyo huweza kutambulisha hadithi fupi. Kwa sababu hii Wright

(1989) anapendekeza kuwa badala ya kuweka mipaka ya wazi na kusema kuwa matini

fulani ni badithi fupi au siyo baditbi fupi, ni bola kucbunguza kwa makini vipengele

mbaIimbaIi vya hadithi na kuona kama matini ina vipengele hivyo au la. Vipengele

muhimu vya haditbi fupi vilivyojitokeza katika fafanuzi hizi tuJivieleza hapa chini.

2.5Uhusiano kati ya Vipengele vya Haditbi Fupi

Ili kazi ya fasihi iweze kuainishwa kama hadithi fupi inafaa kuwa na vipengele

kadbaa VipengeJe bivi ndivyo tulivyosbugbuJikia bapa Hata bivyo ni muhimu Jrutaja

hapa kuwa waandishi wazuri wa kazi zote za sanaa ya lugha hawatakiwi kujifunga na

~

kanuni kali zisizobadilika, (Walibora na Mohamed 2007). Kauli hii ina maana kuwa kazi yoyote nzuri ya sanaa hujaribu kuwa mpya kupitia majanbio ya ubunifu wa aina

fulani. Hivyo basi, hadithi fupi huweza kuwa tofauti kutegemea mtunzi. Pamoja na

hayo kuna vipengeJe vya kimsingi vya baditbi fupi Hivi ni pamoja na:

Hadithi fupi huwa ni tungo bunifu kwa kuwa masimulizi yenyewe huwa

(56)

Ntiba (2011) mwandishi wa hadithi fupi ni sharti azue kisa au tukio ili kulihadithia.

Anaongeza kusema kuwa hata kama jambo ambalo anasimulia aliwahi kuliona au

kulisikia, hu1akiwa alihadithie kwa kuingiza au kudondoa vitukio ili hadithi isomeke

kama kazi ya kisanaa bali isiwe ripoti ya moja kwa moja. Kijumla, hadithi fupi huwa

ni tungo bunifu kwani hutokana na mawazo ya mwandishi.

Usimulizi ni kipengele kingine muhimu kuhusu hadithi fupi. Hadithi fupi hutumia

lugha ya kimasimulizi, Hii ni lugha ya kimaelezo ambayo hutoa ujumbe kuhusu

jambo, mtu,mabaJi,tukio na kadhaJika.MasimuJjzj baya buwa niya moja kwa moja.

Idadi ya maneno vilevile huwa ni kigezo cha kupimia hadithi fupi. Sifa hii ndio

inayoathiri vipengele vile vingine. Hii ina maana kuwa kutokana na ufupi wa hadithi

mawanda yanayoshughuJikiwa buwa ni finyu, Wabusika buwa ni wachacbe nayo

mandhari ikiwa haibadiliki sana Ufupi huu pia unazua nadharia kuwa hadithi fupi

inapaswa kusomwa kwa kikao kimoja. Kikao hiki kinapaswa kuwa cha kati ya nusu

saana saamoja

Wamitila akimnukuu Henry (2002) anasema hadithi fupi inafaa iwe na maneno kati ya

250 na ]500. Hata hivyo kuna lugha ambazo hazitumii idadi ya maneno kama kigezo

cha baditbi fupi. Lakini Ntiba (20]]) anasema kuwa maneno yakipita ]0,000 basi

References

Related documents

Figure 7 Highest posterior density (HPD) intervals for effects parameters fi tted to systolic blood pressure data collected on 188 mice from an incomplete diallel of Collaborative

site, sulfur dioxide and hydrochloric acid higher at the farm site, and nitric acid had. the same

In our examination, we have tried different inside and outside releases like void, surface and crown utilizing factual parameters, for example, skewness and

A segment based texture analysis method is developed by Chan et al. Segment the crowd into variable motion directions; then, extract some segment features like

ABSTRACT : In this paper, Model based approach is implemented to control a heat exchanger prototype using optimization technique for parameter tuning of PID

The propulsion mechanism used is completely mechanical, if the electrical counterpart has to be provided, the system will have to rely on external source of

We therefore screened for gain-of-function enhancers of jing gain of function in the eye and identified the Drosophila homolog of the disease gene of human a

Using an sequenced a partial cDNA clone from an adult male algorithm for analyzing pairwise alignments of long se- cDNA library, and then isolated and sequenced clones quences